Kali za Bungeni Leo

Kali za Bungeni Leo

Umenichekesha sana. Na mswada wa marekebisho ya sheria ya Magazeti umekataliwa. Serukamba ni hatari.
 
Ukiambiwa mwanaCCM ni sawa na ugojwa , Werema bure kabisa , mwanasheria wa serikali shabiki wa ccm wapi na wapi
 
Kwa miaka 50 hakuna sheria inayosema majaji waape kwa Rais ingawa najua huwa wanaapa kwa mazoea tu mnafanya mambo kienyeji enyeji tu,leo wewe AG unasema kuapa mbele ya Rais hakuingilii uhuru wa mahakama,what a nonsense-Tundu Lissu
 
Hata kama ni hawara? Hahahaaaaaaa basi Baba Ana mahawara wengi....nonsense
 
hivi mtu kama huyu anachaguliwa kuwa Mwnasheria mkuu utegemee nini ? Garbage Matunda ya Manzese University

Nadhani moja ya sifa ya kuwa Mwanasheria Mkuu ni kuwa arrogant maana yake hata Chenge alikua hivi hivi,yaani Werema ana kiburi na dharau hadi anakera mimi ningekua ndo Tundu Lisu ningeshampiga ngumi
 
Anayevaa nguo za baba yako ndiye mama yako. Mhe. Jaji Fredereck Werema.

Haya ndiyo maneno tunayosema ni ya Viongozi waliofikisika...mawazo yamejaa unyang'au na hayana ujenzi kwa fikra za mtanzania yeyote anayehitaji msaada wa ufahamu.

Huyu ndiye Mwanasheria Mkuu wa Taifa linalotaka ukombozi kisheria, Kikatiba na kimaendeleo!! HAKUNA KITU HAPA!
 
Nadhani moja ya sifa ya kuwa Mwanasheria Mkuu ni kuwa arrogant maana yake hata Chenge alikua hivi hivi,yaani Werema ana kiburi na dharau hadi anakera mimi ningekua ndo Tundu Lisu ningeshampiga ngumi

kumpiga ngumu mfu wa fikra ni kujitafutia matatizo tu bwana. Mtu wa aina ya Werema ni wa kumpuuza tu kwani naye ni janga la taifa.
 
Anayevaa nguo za mama yako ndio baba yako lakini Lissu akamwambia nashangaa Ag kwa kuniambia maneno mabaya akaendelea lakini huyu sasa amekiwa mpiga debe wa CCM jana alikuwa akimsifu mwigulu eti ameona mbali kuhusu wapinzani kweli AG ni nosense
 
Na ndo mana nakagonga katoto chake cha fom 3, cheusi kama baba ake.
 
Nchi ikiwa na viongozi wa namna hii eti bado tunajiuliza kwa nini bado masikini!
 
Back
Top Bottom