Kali za 2018.. Mupya tupu

Kali za 2018.. Mupya tupu

Mbona huu ujumbe moyo umefanya paaaaa!!! Ila sio mbaya, mshana jr is my brother...

Heeey Sam, mamboo habari za siku tele?

Nimekumiss kwakweli, usijali mshana hawezi nidhuru halafu kumbe ni kaka yako. ... ila kama utakuwepo jumanne waweza nisindikiza au utakuwa kazini?
 
Heeey Sam, mamboo habari za siku tele?

Nimekumiss kwakweli, usijali mshana hawezi nidhuru halafu kumbe ni kaka yako. ... ila kama utakuwepo jumanne waweza nisindikiza au utakuwa kazini?


Kwanza nimefurahi sana tumevuka mwaka salama na hasa kujua ubukheri wa siha njema. Hakuna jinsi unaweza kututofautisha na my bro...hata mimi naamini kabisa hawezi kuwa na madhara. Nenda tu atakupatia mupya kabisa za motomoto, si unajua mwaka wenyewe ndio tunaufungua kwenye box.

Ningependa sana kukusindikisa tena kuna mambo nafuatilia huko misugusugu ila ratiba imegoma. Kama bado upo tuombe uzima tu

Nikutakie kila la kheri Kasie
 
Kwanza nimefurahi sana tumevuka mwaka salama na hasa kujua ubukheri wa siha njema. Hakuna jinsi unaweza kututofautisha na my bro...hata mimi naamini kabisa hawezi kuwa na madhara. Nenda tu atakupatia mupya kabisa za motomoto, si unajua mwaka wenyewe ndio tunaufungua kwenye box.

Ningependa sana kukusindikisa tena kuna mambo nafuatilia huko misugusugu ila ratiba imegoma. Kama bado upo tuombe uzima tu

Nikutakie kila la kheri Kasie

Nashukuru kunipa baraka zako na kunitia hofu kuwa hakuna mbaya kwa kaka yako.

Basi wacha nijiandae na safari ya kesho maana maili moja si mchezo. ... ntakuwa nje ya Dar atii hehehehee.
 
16b3cb7baac836f1c3eb7821a92a1f7e.jpg
 
Back
Top Bottom