Neno shamba boy umelitamka mwenyewe. ... mie nnachojua anayemwagilia mmea hasa ambao unatoa matunda au maua huwa na mahaba na mmea huo na kila siku huhakikisha mmea wake umepata maji ya kutosha ili utoe maua mazuri yenye kuvutia au matunda matamu na akivuna maua huyapamba ndani na kumeletea manukato mazuri na tabasamu pana. Kwa upande wa matunda basi hukaa kivulini na kula tunda hilo huku akiburudika.
Mmea ukimea na kuwa mkubwa humpa mtunzaji wa mmea huo kivuli cha kupumzika pale jua linapokuwa kali.
Wanaume wanaovaa misuli au mishipi watanielewa.