Kuna majambazi walifanikiwa
kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika
sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja
akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri taarifa ya habari Itangaze tumeiba
Sh Ngapi!
Kuna majambazi walifanikiwa kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri taarifa ya habari Itangaze tumeiba Sh Ngapi!
dah...!! Hii mzuri