Kikwete kwenu kaahidi nini ?
Kwetu kapita juzi kaahidi daraja la kisasa, tukamwambia hatuna mto. Akaahidi na kutuletea mto pia...!!!!
Je kwenu kaahidi nini ??
kikwete kwenu kaahidi nini ?
Kwetu kapita juzi kaahidi daraja la kisasa, tukamwambia hatuna mto. Akaahidi na kutuletea mto pia...!!!!
Je kwenu kaahidi nini ??
Kikwete kwenu kaahidi nini ?
Kwetu kapita juzi kaahidi daraja la kisasa, tukamwambia hatuna mto. Akaahidi na kutuletea mto pia...!!!!
Je kwenu kaahidi nini ??
Kwetu Mlandizi kahaidi kutuletea waizraeli watusaidie kulima nyanya kwenye bonde la mto RUVU. Tunamuuliza anajua anachokisema?
1. At what point of the river will the project be implemented?
2. Je anajua madhara ya uwekezaji huo kwa afya ya water users (Kibaha, Bagamoyo and Dar es salaam)?
3. Je hizo sumu za viatilifu atazikwepaje kwenye maji au watapractice organic agriculture which is impossible kwenye mazingira yale ?
4. Kama NAFCO walichemsha, kwa nini walichemsha.
5. Nadhani mkulu amechangnywa sana na na DR. PETER Slaa na ana hofu ya kushindwa ndo maana anatoa ahadi kama za mwendawazimu asiye kuwa na washauri wa kumuelekeza aseme nini.
ndio hapo sasa!!!Kwetu Mlandizi kahaidi kutuletea waizraeli watusaidie kulima nyanya kwenye bonde la mto RUVU. Tunamuuliza anajua anachokisema?
1. At what point of the river will the project be implemented?
2. Je anajua madhara ya uwekezaji huo kwa afya ya water users (Kibaha, Bagamoyo and Dar es salaam)?
3. Je hizo sumu za viatilifu atazikwepaje kwenye maji au watapractice organic agriculture which is impossible kwenye mazingira yale ?
4. Kama NAFCO walichemsha, kwa nini walichemsha.
5. Nadhani mkulu amechangnywa sana na na DR. PETER Slaa na ana hofu ya kushindwa ndo maana anatoa ahadi kama za mwendawazimu asiye kuwa na washauri wa kumuelekeza aseme nini.