ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Maccm ni ukoo wa panya.
machadema ni ukoo wa manyang'au
Maccm ni ukoo wa panya.
huo ni wa machadema yamepeana ubunge yakiwa bungeni utadhani yapo kwenye kikao cha ukoo
huo ni wa machadema yamepeana ubunge yakiwa bungeni utadhani yapo kwenye kikao cha ukoo
Wtz inabidi tubadilike.huu mpango wanaokuja nao ccm.walalahoi.watakuwa hawana chao ndani ya ccm.baba akifa nafasi anaandaliwa mtto. Cjui km wenyewe ccm awajastukia hili.lkn vigogo wamekumbatia hili swala wanajua kinachoendelea Hawa wengine.wachini pesa inatembea awajitambui km wameuzwa kiaina.jaluo akifa nafasi anachukua mtoto hata km uwezo hana lkn jaluo alikuwa maarufu jina kubwa.wengine wakijaribu wanakatwa je kwamtindo huu miaka 20 siwote watakuwa watoto Wa vigogo
Ukoo wa mapanya
chama cha majangili..
machadema ni ukoo wa manyang'au