Kalenga kama Arumeru mashariki

Kalenga kama Arumeru mashariki

huo ni wa machadema yamepeana ubunge yakiwa bungeni utadhani yapo kwenye kikao cha ukoo

wewe ni mpiga debe huna tofauti na mateja huna chako nyinyiemu mabwana zako wanaweka watoto wao na watoto wako watakula sembe mpaka wakome.Jitambue
 
Wtz inabidi tubadilike.huu mpango wanaokuja nao ccm.walalahoi.watakuwa hawana chao ndani ya ccm.baba akifa nafasi anaandaliwa mtto. Cjui km wenyewe ccm awajastukia hili.lkn vigogo wamekumbatia hili swala wanajua kinachoendelea Hawa wengine.wachini pesa inatembea awajitambui km wameuzwa kiaina.jaluo akifa nafasi anachukua mtoto hata km uwezo hana lkn jaluo alikuwa maarufu jina kubwa.wengine wakijaribu wanakatwa je kwamtindo huu miaka 20 siwote watakuwa watoto Wa vigogo

Bro' kumbe ulikuwa haujui kuwa CCM ina wenyewe!!!!,Wenye CCM ni VIGOGO na familia zao wengine wanaobaki ni wasindikizaji tuuuu.
 
Naona #Ifweero kashuka JF kama mvua baada ya kupigiwa mkwara"we bado umelala tu,wapinzani wamechachamaa jf nenda kajibu mapigo nitakunyima posho ohooh!"
 
Ubunge si wa kurithishana kama mashamba , wanakalenga msikubali ubwanyenye huu - toeni adhabu kali iwe fundisho kwa watawala. kule Arumeru waliadhibiwa ila hawajakoma.
 
Mungu tunusuru, huyu shetani ccm anataka kuliangamiza taifa kabisa kwa kutuletea uongozi wa kifamilia.
 
wanaisi iinchi niyao nawazazi wao ngoja wakamuliwe kamasi wajielewe kuwa watu awaangalii baba yako alikuwa nani serekalini
 
ccm inawenyewe na si hawa waramba miguu waliojazana hapa jf wakizisotea buk 7!!!
 
chadema mnatapatapa wenyewe mpaka aibu ! Hahahahahahahahaahah mgimwa mbunge anayesubiri kuapishwa kalengaaaa, mtachonga sana
 
buk 7 itakutesa sana,jiandae kwa kutafuta shughuri halali na si hii ya kitumwa ya buk 7 kwani kuanzia 2015 itakoma baada ya chama chakavu kufa!!!

Usije kuta ni huyu hapa anasuburi kuripoti mambo ya chama.Hapo karidhika kabisa na. buk 7 na kwake ni sherehe tuu ImageUploadedByJamiiForums1394197519.417455.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom