Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,726
- 218,288
Hii ndio Taarifa mpya iliyopatikana leo kutoka huko Iringa kwenye Jimbo la Kalenga , kwamba kwa vile Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Chongolo anafanya ziara Kwenye Jimbo la Kalenga basi ikaamriwa bendera zote za Chadema zing'olewe usiku wa manane ili Mtukufu Chongolo asizione.
Bado haijafahamika kama siasa hizi za Kishamba zimeletwa na Chongolo Mwenyewe au watu wa Kalenga wameamua tu kujipendekeza.
Bali tunawakumbusha tena Watu wa Kalenga kwamba , kanuni ni ile ile tu wala haijabadilika , KILA UBAYA UTALIPWA.
Bado haijafahamika kama siasa hizi za Kishamba zimeletwa na Chongolo Mwenyewe au watu wa Kalenga wameamua tu kujipendekeza.
Bali tunawakumbusha tena Watu wa Kalenga kwamba , kanuni ni ile ile tu wala haijabadilika , KILA UBAYA UTALIPWA.