Mi limenichanganya swala dogo sana la mambo ya saa eti saa 7 ni saa 1 na saa 8 tunaita saa mbili.Hilo la calenda ndo nalifanyia kazi nipo na li google search engine.Nisaidie na tatizo langu nitarudi kwenye swala la kalenda ila kuna ma complicator wa kisabato wanajua sana hiyo kitu.