Kale kaharufu una kaondoaje?

Kale kaharufu una kaondoaje?

damtanzania

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
752
Reaction score
1,465
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu.

Hakuna asiye jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao.

Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi.

Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako?

Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke.
 
Mh!!! Kweli leo jpili,inaonekana unaokutana nao ndo wana harufu inayokukera,kwa asili mwanamke ana harufu fulani nzuri ya kike ambayo haikeri bali inahamasisha kunako 6×6,hata ukizama uvinza iko poa ilimradi awe msafi.
 
Acha kuzoa watu wasiojua kujiswafi......hakuna kaharufu kakukera kama mtu ni msafi zaidi harufu safi ya papuchi yenyewe.

Ndugu, sio kuzoazoa, hata mitaani tunakutana nao, asijitingishe tu, harufu iyooo inatoka!
 
Mh!!! Kweli leo jpili,inaonekana unaokutana nao ndo wana harufu inayokukera,kwa asili mwanamke ana harufu fulani nzuri ya kike ambayo haikeri bali inahamasisha kunako 6×6,hata ukizama uvinza iko poa ilimradi awe msafi.

Mi nakuambia ndugu yangu, yaani usimkute amevua, yaani hadi hewa chumbani ina badilika!
 
Sijawai kutana na Harufu. Mkuu,japokuwa nimegegeda wengi,ila usafi nadhani unahusika.
 
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu. Hakuna asie jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao. Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi. Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako? Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke
inawezekana unazolokota wewe ndio zina harufu
 
Back
Top Bottom