we kichaa,Maneno hayo...nilikutongoza pm ukanipiga mzinga wa laki
Dah yaani kweli wee wakuniita kichaa?we kichaa,
Waache wenye akili timamu
Hapa ndipo kuna kiini.Dah! Ndio tatizo la kuokota usipopendwa!
Alikuwa anajua kabsa, na kipindi tunakula nilimwambia naenda kuandaa sehemu ya kupumzika akasema sawa. Cha kushangaza naambiwa nataka kumbaka, hilo neno liliniuma sana nikaamua kumpa nauli asepe tu.
Sihitaji kuonewa huruma na vijanaDah yaani kweli wee wakuniita kichaa?
Aise mwanamke aio wakumuonea huruma. Nimeamini
Sawa yote hayo kwa kuwa nimeshindwa kukutumia nauli ya laki moja.Sihitaji kuonewa huruma na vijana
Ahsante mkuu. Tulielewana sema tu ndo hivyo hawa akili zao sijui zikoje.Kwanza Pole kuna kosa la kiufundi ulifanya ... ngoja nikwambie mimi mpaka ningie garama kwa demu tayari nimesha kuwa na uhakika wa kupewa kipochi manyoya tofauti na hapo una beti ...... ilitakiwa utengeneze mazingira kiasi kwamba yeye ndo akwambie baby nipo tayari nikukute wapi? Cjui kama u anielewa .... huyo inaonekana ulifosi akamua kukukomoa ...move on temana naye wala usimtafte tena
Mkuu maneno mengine watu hawapendi kutamka wazi wazi, ila kama na yeye ni mtu mzima ni suala la kujiongeza tu.Ulikosea ungemwambia naenda kuandaa sehemu ya kukutomb* huko fresh?
Kweli mkuu, sema tu wengine hatuna roho ya visasi. Akinibania mimi ipo siku ataitoa kwa mwamba mwingine. Acha maisha yaendelee.
Nimecheka kweli aisee.
Unajua Kuna siku nilitaka kufanya hivyo
Niliingia gharama nyingi sana na nikabania mzigo nilichafukwa sana. Nilitamani nimfate sangoma mmoja ammerekebisha yule mshenzi.
Nikaona sio mambo yangu acha nimpotezee tu.
Huwa wanakera sana Wanawake wa siku hizi wabadilike watafanywa kitu mbaya.
Kuna jamaa juzi kaleta Uzi hapa baada ya demu kumzungusha kamtupia majini hadi demu kufa.
Kama humtaki mtu mwambie Plain wengine Wana visasi.
Mkuu kitanda nimekiacha kama kilivyo. 😂😂Imewahi nitokea wakati nasoma adavance mm nililipa lodge demu hakutokea nilichokifanya nilioga bafuni Yale maji ya moto na vile visabun vya lodge vilikua vinne hadi nilivimaliza maana ilikua ni mwendo wa kuoga Tu badae asubuh nikavaa gambuti zangu ruka ruka sana kwenye kitanda chafua sana mashuka...walau nikajisikia hela yangu imeenda kihalali
😂😂😂😂😂😂 Nishakapotezea.Usimjibu kaache si kalijiona cake,,
Huko kanajilaumu
Kataongeza speed ya kukuteka,kaache kateseke.
Unafikiri ni Rahisi tu eti?Ungebaka
Kwa upuuzi huu hampati nchiHukuelewa somo huyo alikuwa anataka kukutunuku jicho,wewe baharia vipi unatuangasha wenzio?