Acha kumfukuzia mtu ndege wakeIngia google tu maadamu kiingereza kiwepo utakuta yote haya
Mtafute umtunuku kibox manyoyaMimi pia nampenda sana huyu mkaka sijui kabila gani?
Tulia wewe ushakua mtu usichokielewa nini hebu nyumbulika mtoto wa kikeSiri gani tena mkuu? Mbona sikuelewi kaka
TOA MAONI NA USHAURI BADALA YA KUTUKANA..
Nimejikuta nakunja sura gafra kama nimekula kinyesi...Hii sentensi haitampendeza The bold kabsaa,kuwakatisha tamaa wengine na kuona kila story ili iwe nzuri lazima aisimulie yy,
Nilovyomuelewa mimi ni kwamba. Serikali ya Soviet ndiyo iliyopika habari za rubani kuongeza kasi. Kiuhalisia aliwasha taa za nje kuonesha kutii amri ya kutua."Inasemekana rubani wa ndege ya Korea alipunguza speed ya ndege kisha akawasha taa za nje za ndege akiashiria ya kwamba alikuwa tayari kufuata maelekezo ya ndege vita ili ende kutua wapi salama salmini bila mikwaruzano wala kugombana "
Chini yake ukasema "Kulingana na taarifa za jeshi inaonekana rubani wa ndege ya raia ya uvamizi alikuwa mbishi sana huku akikataa commands zilizo mtaka aifuate ile ndege ya vita ili imuelekeze wapi ni sehemu anapotakiwa kutua kwa usalama wake ,badala yake yule rubani mvamizi akaongeza speed na kuanza kukimbia kwa kasi ya ajabu kuelekeza ndege kwenda Finland."
Kati ya taarifa hizi mbili zinazo muhusu rubani mmoja wa ndege ya uvamizi ipi ni ipi sasa ?