Kakolanya ni pengo Yanga , mkubali au mkatae

Ingawa Beno alifanya wanayoyaita ni "makosa" katika kudai haki zake za msingi lakini ukweli unabaki palepale, ni kipa bora katika makipa waliopo Yanga kwa msimu huu. Yanga wamemuachia klabu Zahera, yeye ndo msemaji wa klabu, yeye ndo mhasibu na yeye ndio mwenyekiti au Rais. Hilo jambo litakuja kuigharimu Yanga!
Kuna wakati Kabwili alikuwa anaomba abadilishwe. Alitoa ishara ya kuomba mabadiliko ila Kindoki alimnasihi aendelee.
Kokalanya hatumtaki , hao viongozi WA yanga si ndio hao waliizembea kusajili kipa kwenye dirisha dogo, hapa zahera ana tatizo gani ?
 
Kokalanya hatumtaki , hao viongozi WA yanga si ndio hao waliizembea kusajili kipa kwenye dirisha dogo, hapa zahera ana tatizo gani ?
Tumuombee Kabwili asipate majeraha au kuumia vinginevyo Kindoki atahusika na mbio za ubingwa. Ila sikatai nakumbuka zamaani sana Ke Mkapa aliwahi kukaa langoni, sijui safari hii nani atadaka.
 
Kabwili ni kipa mzuri sana. Sikutegemea kuona alichofanya jana, autimatically nilihisi angekua na hofu ila ameweza kujiamni na kufanya kazi yake vizuri. sijaona goli la kumlaum gori kipa pale.
Kabwili hata kama ni mzuri lakini sio kwa mechi ya juzi. Ila Yanga hawakua na ujanja mwengine, ni heri ya huyu dogo kuliko Kindoki a.k.a "Shati"
 
Niliona kwa hii mechi ndemla alifaa kuliko chama

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu wangu,

Shida tumekariri kua Chama ni Mtaalamu. Kuna wakati mpira unakataa. Kwa mashuti ya ndemla ni uhakika huyu dogo angekua anaugulia mikono now, na pengine kadhaa yangetinga.
 
Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli

Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya kumeturahisishia sana .
Vichwa vinavyopigwa na Kagere mtu kama Kabwili akijaribu kuvidaka lazima mpira umsukumizie ndani.
 
Back
Top Bottom