Kakobe na Sheikh Mtopea mko wapi kui-support Chadema?

Kakobe na Sheikh Mtopea mko wapi kui-support Chadema?

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
75,576
Reaction score
107,000
Hawa watu ni muhimu na kwa jinsi CCM ilivyowatekeleza, inahitajika wawepo katika kampeni ya Chadema
 
sijui kama wanaumuhimu wowote kwa chadema (maoni yangu binafsi)
 
sijui kama wanaumuhimu wowote kwa chadema (maoni yangu binafsi)
wana umuhimu kaka maana wanaweza ku-testify uharamia wa CCM na ni viongozi hawa wa Waumini wao wenye ushawishi mkubwa
 
...ni viongozi hawa wa Waumini wao wenye ushawishi mkubwa





labda kwa huyo sheikh; lakini huyo bw. kakobe ameanza kuchoka baada ya kulumbana sana na serikali kuhusu lile sakata la umeme.


aidha kashfa zake za hivi karibuni zimefichua kuwa kwa upande wa maadili, ambayo ndiyo nguzo ya ushawishi katika jamii, amekosa kwa kuwatumia wafuasi wake kama vitendea kazi.


tatu, bw kakobe ambaye ni swahiba wa mrema. sasa amesalitiwa na mrema ambaye ni pro-ccm na wakati serikali ya chama hicho kinatishia usalama wa uwekezaji wa huyo mr
 
Back
Top Bottom