Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,576
- 107,000
Hawa watu ni muhimu na kwa jinsi CCM ilivyowatekeleza, inahitajika wawepo katika kampeni ya Chadema
wana umuhimu kaka maana wanaweza ku-testify uharamia wa CCM na ni viongozi hawa wa Waumini wao wenye ushawishi mkubwasijui kama wanaumuhimu wowote kwa chadema (maoni yangu binafsi)
Hamuwakumbuki mpaka kwenye kukaribia uchaguzi, kama si ufisadi ni nini?Hawa watu ni muhimu na kwa jinsi CCM ilivyowatekeleza, inahitajika wawepo katika kampeni ya Chadema
Chadema haijashika mpini ila makali kama Kakobe na MtopeaHamuwakumbuki mpaka kwenye kukaribia uchaguzi, kama si ufisadi ni nini?
Mkiwapa dau la maana kwa nini wasiwapigie debe?Chadema haijashika mpini ila makali kama Kakobe na Mtopea
...ni viongozi hawa wa Waumini wao wenye ushawishi mkubwa