Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Askofu Kakobe ameifananisha tiba ya Loliondo kwa babu na iliyokuwa taasisi feki ya DECI huku akidai imesababisha watu kuacha tiba za kuaminika za hospitali na kukimbila huko.
Maswali yangu ni haya:
1. Si kweli kwamba hata yeye aliwaombea watu waliokata tamaa na tiba za hospitali au amekuwa akijitangaza kuwa na uwezo wa kuombea na kutibu magonjwa sugu ?
2. Amefanya uchunguzi ili kujiridhisha kwamba huo ni utapeli?
3. Swali la mwisho ni kwamba: inawezekana ana wasiwasi wa idadi ya waumini wake kupungua wakikimbilia Loliondo kutesti zali?
Naombeni mawazo yen Great Thinkers
Nawashukuru kwa utulivu wenu>
Maswali yangu ni haya:
1. Si kweli kwamba hata yeye aliwaombea watu waliokata tamaa na tiba za hospitali au amekuwa akijitangaza kuwa na uwezo wa kuombea na kutibu magonjwa sugu ?
2. Amefanya uchunguzi ili kujiridhisha kwamba huo ni utapeli?
3. Swali la mwisho ni kwamba: inawezekana ana wasiwasi wa idadi ya waumini wake kupungua wakikimbilia Loliondo kutesti zali?
Naombeni mawazo yen Great Thinkers
Nawashukuru kwa utulivu wenu>