Kakobe alitumwa?

Kakobe alitumwa?

Eti mwacheni anajenga tanzania mpya!! hiyo tanzania mpya inayo jengwa kila mara iko wapi mmetawala zaidi ya miaka 50 miaka yote mlikuwa wapi??
So kwa kuwa miaka 50 hakujafanyika kitu basi inabidi tuache tu. Marekani unayoiona leo ilijengwa zaidi ya miaka 100. Punguani we..
 
Viongozi wanaosikika ni wa Ccm, sijasikia kiongozi wa upinzani wakiongelea hili suala la Rais kutubu.
Hivi unavyotengeneza mkakati wako ukitiki unataka uonekane ili iweje. Sana sana utakunywa zako mvinyo huku umekunja nne na kupiga miluzi. Huku unawaacha nyumbu waendeleze kazi.
 
So kwa kuwa miaka 50 hakujafanyika kitu basi inabidi tuache tu. Marekani unayoiona leo ilijengwa zaidi ya miaka 100. Punguani we..
kwahyo point yko kubwa hapo ni ipi, au hujui kila mtu Yukon kwenye TIME ZONE yake mkuu
 
So kwa kuwa miaka 50 hakujafanyika kitu basi inabidi tuache tu. Marekani unayoiona leo ilijengwa zaidi ya miaka 100. Punguani we..
Hunaelewa nini wewe, hiyo marekani indaendelea kutokana na misingi ilioachwa na waliopita, sio huku kwetu kila kiongozi anatifuatifua na kujidai anajenga tanzania mpya.
 
Kuna paragraph umeanza kuandika kuwa "kwa haya ya Askofu Kakobe Upinzani unajimaliza wenyewe"
Sasa si mkunje mguu mtulie upinzani ujimalize wenyewe?
 
KAKOBE ALITUMWA? MBONA WAPINZANI WAMEFANYA MASHAMBULIZI YAKE DHIDI YA RAIS MAGUFULI KUWA AGENDA ZAO? WAMEKOSA AGENDA ZA KUJISHINDANISHA NA SERIKALI YA CCM KWA WANANCHI?

Tangu Kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship(FGBF), Zacharia Kakobe atumie Madhabahu kumshambulia rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. John Pombe Magufuli, Wanasiasa wa Upinzaji wamedandia shutuma za Kakobe na kuzifanya agenda zao kuendeleza kwa kasi ya ajabu porojo za kutaka kuwafanya viziwi na vipofu Watanzania waache kuona na kusikia juhudi za Serikali chini ya Rais Mahiri kabisa, JPM za kuijenga Tanzania mpya na badala yake waamini uzushi, porojo na vimaneno maneno vya hovyo hovyo kwamba rais akatubu, sijui rais hakosolewi na upuuzi mwingi tu.

Kwa jicho la tatu unaweza kuamini kuwa yale hayakuwa maneno ya KAKOBE bali alilipwa na kutumwa kufanyakazi ya wanasiasa ambao kupitia kwa viongozi wa dini aina ya Kakobe wanaweza kupambana na serikali ambayo kimsingi imeonesha kuzikonga nyoyo za wananchi wake kutokana na uchapakazi wake uliotukuka.

Hivi Unawezaje kutofautisha maneno ya Kakobe na porojo za wanasiasa kwamba kuna utawala wa kidikteta, kuminya demokrasia, kutokubali kukosolewa? Hivi hayo madhaifu ya Serikali yanaonekana machoni mwa wana siasa na akina Kakobe? Wanachi wa kawaida ambao kiu yao ya siku nyingi ya kutaka kuona watoto wao wanasoma bure, madawa yanapatikwpana mahospitalini, madini yao, gesi yao, Mafuta yao hayaibiwi na wajanja, Barabara za juu na chini zinajengwa, Reli ya kisasa inajengwa, bei nzuri ya mazao, urasimu katika kupatikana kwa pembejeo na mbolea unatokomezwa, wanafunzi wanapata mikopo kwa wakati , wao hawana macho?

Najiuliza tu:

Kwanini upinzani unajipa kilema cha kujimaliza kwa hoja na mbinu nyepesi nyepesi sana kiasi hiki kupambana na Serikali mahiri kama hii ya awamu ya tano? Uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 upinzani utachomoka kweli kwa hoja za akina Kakobe kweli? Eti serikali haikosoleki, kweli? Mwananchi apigie kura upinzani kwa sababu hiyo tu? Sawa haikosoleki lakini tuna maji, tunapata mbolea kwa bei nafuu na kwa wakati, watoto wetu wanasoma bure na wale wa vyuo vikuu wanapata mikopo kwa wakati, madawa yako hospitalini n.k. Hivi wananchi wakiwapa hizo kama sababu za kumchagua tena JPM mtakuwa na la kuwashawishi tena?

Wapinzani mnapoteza muda kukwapua mashambulizi ya akina kakobe na kuyafanya agenda zenu , mtaumbuka, muwe wabunifu wa hoja nzito za kwenda nazo kwa wananchi siyo hizi za kuwanunua nunua wenye njaa kama akina Kakobe na kuanza kuzikomalia.

Mnachekesha sana. Hivi mnategemea Mshinde uchaguzi kupitia waumini wa Kakobe ambao hata kanisa lake pale Mwenge pamoja na kuwa dogo lililojibananisha pale njiani halijai? BAVICHA mmoja akasema CCM msimpuuze Kakobe ana waumini wapiga kura mil.10. Ujinga mtupu. Watanzania hatujafikia mil.50. Watoto ambao hawajafikia umri wa kupiga kura ndiyo wengi, wanaojiandikisha kupiga kura ni wengi lakini wanaojitokeza kupiga kura hata mil.10 hawafiki. Ina maana wote wanaokwenda kupiga kura wote wanatoka kwa Kakobe? Hizi ni akili za Makarai ya Zege kwelikweli.

Waumini wa Kakobe wenyewe ni kama watu waliokata tamaa ya maisha sijadhani kama wanakuwa na hata wazo la kupiga kura. Ni wale wanaokwenda kuvuliwa mikufu ya dhahabu na Kakobe na kuiuza kwa ajili ya kujipatia fedha huku akiwahadaa kwamba vitu hivyo vya thamani ni chukizo kwa Mungu, hawa watapata muda wa kupiga kura? Ni wale ambao wanaabudu kwa kusikiliza ujumbe wa Mungu wao (KAKOBE) redioni maana akisafiri hakuna ruhusa ya mtu mwingine kuendesha ibada. Hawa wanapiga kura kweli?

Wapinzani jitafakarini sana, waaseni vijana wenu mitandaoni wabuni mbinu mpya za kupambana na serikali ili kupitia kwao siku moja mshike dola. Hamuezi kushika dola kwa Hoja za akina Kakobe.
Sijaona points,pumba tupu
 
mkuu, kakobe ana kanisa kila mkoa na wilaya zote hapa tz, sio pale mwenge tu, halafu makanisa makubwa hapo dsm na kwingine hayo ya walokoke wengi wao ni waumini wake/walikuwa waumini wake/yeye ni mwalimu wao. hivyo that attack is not only against full gospel members wa kakobe, mimi sisali full gospel, but imekuwa attack kwangu, ni attack kwa kundi kubwa sana. kwani ulishawahi kwenda kusali pale, pale mwenge ana waumini si chini ya alfu ishirini, ambao ni watu wazima, kila mkoa ana waumini, walokole wapo kila mkoa na wilaya na kijiji...wapumbavu kama wewe ndio wanaoligawa taifa hili kwa ku strike icon persons....nchi hii tumekabidhi wa watu wasiojulikana kabisa aisee.
Kuwa na makanisa sio kigezo cha kuwa mtumwa wa kimawazo tuu la kundi la watu ambao hawana masrahi na nchi
Nb... akili ykimejaa matoopppee tuuu
 
KAKOBE ALITUMWA? MBONA WAPINZANI WAMEFANYA MASHAMBULIZI YAKE DHIDI YA RAIS MAGUFULI KUWA AGENDA ZAO? WAMEKOSA AGENDA ZA KUJISHINDANISHA NA SERIKALI YA CCM KWA WANANCHI?

Tangu Kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship(FGBF), Zacharia Kakobe atumie Madhabahu kumshambulia rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. John Pombe Magufuli, Wanasiasa wa Upinzaji wamedandia shutuma za Kakobe na kuzifanya agenda zao kuendeleza kwa kasi ya ajabu porojo za kutaka kuwafanya viziwi na vipofu Watanzania waache kuona na kusikia juhudi za Serikali chini ya Rais Mahiri kabisa, JPM za kuijenga Tanzania mpya na badala yake waamini uzushi, porojo na vimaneno maneno vya hovyo hovyo kwamba rais akatubu, sijui rais hakosolewi na upuuzi mwingi tu.

Kwa jicho la tatu unaweza kuamini kuwa yale hayakuwa maneno ya KAKOBE bali alilipwa na kutumwa kufanyakazi ya wanasiasa ambao kupitia kwa viongozi wa dini aina ya Kakobe wanaweza kupambana na serikali ambayo kimsingi imeonesha kuzikonga nyoyo za wananchi wake kutokana na uchapakazi wake uliotukuka.

Hivi Unawezaje kutofautisha maneno ya Kakobe na porojo za wanasiasa kwamba kuna utawala wa kidikteta, kuminya demokrasia, kutokubali kukosolewa? Hivi hayo madhaifu ya Serikali yanaonekana machoni mwa wana siasa na akina Kakobe? Wanachi wa kawaida ambao kiu yao ya siku nyingi ya kutaka kuona watoto wao wanasoma bure, madawa yanapatikwpana mahospitalini, madini yao, gesi yao, Mafuta yao hayaibiwi na wajanja, Barabara za juu na chini zinajengwa, Reli ya kisasa inajengwa, bei nzuri ya mazao, urasimu katika kupatikana kwa pembejeo na mbolea unatokomezwa, wanafunzi wanapata mikopo kwa wakati , wao hawana macho?

Najiuliza tu:

Kwanini upinzani unajipa kilema cha kujimaliza kwa hoja na mbinu nyepesi nyepesi sana kiasi hiki kupambana na Serikali mahiri kama hii ya awamu ya tano? Uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 upinzani utachomoka kweli kwa hoja za akina Kakobe kweli? Eti serikali haikosoleki, kweli? Mwananchi apigie kura upinzani kwa sababu hiyo tu? Sawa haikosoleki lakini tuna maji, tunapata mbolea kwa bei nafuu na kwa wakati, watoto wetu wanasoma bure na wale wa vyuo vikuu wanapata mikopo kwa wakati, madawa yako hospitalini n.k. Hivi wananchi wakiwapa hizo kama sababu za kumchagua tena JPM mtakuwa na la kuwashawishi tena?

Wapinzani mnapoteza muda kukwapua mashambulizi ya akina kakobe na kuyafanya agenda zenu , mtaumbuka, muwe wabunifu wa hoja nzito za kwenda nazo kwa wananchi siyo hizi za kuwanunua nunua wenye njaa kama akina Kakobe na kuanza kuzikomalia.

Mnachekesha sana. Hivi mnategemea Mshinde uchaguzi kupitia waumini wa Kakobe ambao hata kanisa lake pale Mwenge pamoja na kuwa dogo lililojibananisha pale njiani halijai? BAVICHA mmoja akasema CCM msimpuuze Kakobe ana waumini wapiga kura mil.10. Ujinga mtupu. Watanzania hatujafikia mil.50. Watoto ambao hawajafikia umri wa kupiga kura ndiyo wengi, wanaojiandikisha kupiga kura ni wengi lakini wanaojitokeza kupiga kura hata mil.10 hawafiki. Ina maana wote wanaokwenda kupiga kura wote wanatoka kwa Kakobe? Hizi ni akili za Makarai ya Zege kwelikweli.

Waumini wa Kakobe wenyewe ni kama watu waliokata tamaa ya maisha sijadhani kama wanakuwa na hata wazo la kupiga kura. Ni wale wanaokwenda kuvuliwa mikufu ya dhahabu na Kakobe na kuiuza kwa ajili ya kujipatia fedha huku akiwahadaa kwamba vitu hivyo vya thamani ni chukizo kwa Mungu, hawa watapata muda wa kupiga kura? Ni wale ambao wanaabudu kwa kusikiliza ujumbe wa Mungu wao (KAKOBE) redioni maana akisafiri hakuna ruhusa ya mtu mwingine kuendesha ibada. Hawa wanapiga kura kweli?

Wapinzani jitafakarini sana, waaseni vijana wenu mitandaoni wabuni mbinu mpya za kupambana na serikali ili kupitia kwao siku moja mshike dola. Hamuezi kushika dola kwa Hoja za akina Kakobe.
Kwann unapata shida!,kwann unahuzuni moyoni mwako?kwann unamashaka na kile unacho kiamin?

~Na hic hii vita si yako mbona km huna silaha za kutosha,na wala hujajiimarisha ipasavyo?wewe huna mtu hapa duniani mwache mwenye watu unafikir yy haon?

~Umetusaidia kuwaza lkn mawazo yako hayawezi kuwa bora sana labda kama unataka kuwa isabela kwenye mkanda wa sarafina.

~Ungetumia muda huo ulio andika kutafuta pesa aisee ungekuwa mbali saana.haya karibu kula maana kazi yako ngumu,nawa tule basi tumepika kingi.
 
Hunaelewa nini wewe, hiyo marekani indaendelea kutokana na misingi ilioachwa na waliopita, sio huku kwetu kila kiongozi anatifuatifua na kujidai anajenga tanzania mpya.
Kwahiyo unahisi hiyo misingi ilijengwa kwa siku moja au kwa kelele zenu humu? Ssa hvi tunajengewa misingi bora zaidi mnapinga. Hili ndo tatizo la vijana mliozaliwa juzi hamjui tulikotoka tupo wapi na tunaelekea wp.. mnaona tu maisha yanaendelea.
 
KAKOBE ALITUMWA? MBONA WAPINZANI WAMEFANYA MASHAMBULIZI YAKE DHIDI YA RAIS MAGUFULI KUWA AGENDA ZAO? WAMEKOSA AGENDA ZA KUJISHINDANISHA NA SERIKALI YA CCM KWA WANANCHI?

Tangu Kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship(FGBF), Zacharia Kakobe atumie Madhabahu kumshambulia rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. John Pombe Magufuli, Wanasiasa wa Upinzaji wamedandia shutuma za Kakobe na kuzifanya agenda zao kuendeleza kwa kasi ya ajabu porojo za kutaka kuwafanya viziwi na vipofu Watanzania waache kuona na kusikia juhudi za Serikali chini ya Rais Mahiri kabisa, JPM za kuijenga Tanzania mpya na badala yake waamini uzushi, porojo na vimaneno maneno vya hovyo hovyo kwamba rais akatubu, sijui rais hakosolewi na upuuzi mwingi tu.

Kwa jicho la tatu unaweza kuamini kuwa yale hayakuwa maneno ya KAKOBE bali alilipwa na kutumwa kufanyakazi ya wanasiasa ambao kupitia kwa viongozi wa dini aina ya Kakobe wanaweza kupambana na serikali ambayo kimsingi imeonesha kuzikonga nyoyo za wananchi wake kutokana na uchapakazi wake uliotukuka.

Hivi Unawezaje kutofautisha maneno ya Kakobe na porojo za wanasiasa kwamba kuna utawala wa kidikteta, kuminya demokrasia, kutokubali kukosolewa? Hivi hayo madhaifu ya Serikali yanaonekana machoni mwa wana siasa na akina Kakobe? Wanachi wa kawaida ambao kiu yao ya siku nyingi ya kutaka kuona watoto wao wanasoma bure, madawa yanapatikwpana mahospitalini, madini yao, gesi yao, Mafuta yao hayaibiwi na wajanja, Barabara za juu na chini zinajengwa, Reli ya kisasa inajengwa, bei nzuri ya mazao, urasimu katika kupatikana kwa pembejeo na mbolea unatokomezwa, wanafunzi wanapata mikopo kwa wakati , wao hawana macho?

Najiuliza tu:

Kwanini upinzani unajipa kilema cha kujimaliza kwa hoja na mbinu nyepesi nyepesi sana kiasi hiki kupambana na Serikali mahiri kama hii ya awamu ya tano? Uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 upinzani utachomoka kweli kwa hoja za akina Kakobe kweli? Eti serikali haikosoleki, kweli? Mwananchi apigie kura upinzani kwa sababu hiyo tu? Sawa haikosoleki lakini tuna maji, tunapata mbolea kwa bei nafuu na kwa wakati, watoto wetu wanasoma bure na wale wa vyuo vikuu wanapata mikopo kwa wakati, madawa yako hospitalini n.k. Hivi wananchi wakiwapa hizo kama sababu za kumchagua tena JPM mtakuwa na la kuwashawishi tena?

Wapinzani mnapoteza muda kukwapua mashambulizi ya akina kakobe na kuyafanya agenda zenu , mtaumbuka, muwe wabunifu wa hoja nzito za kwenda nazo kwa wananchi siyo hizi za kuwanunua nunua wenye njaa kama akina Kakobe na kuanza kuzikomalia.

Mnachekesha sana. Hivi mnategemea Mshinde uchaguzi kupitia waumini wa Kakobe ambao hata kanisa lake pale Mwenge pamoja na kuwa dogo lililojibananisha pale njiani halijai? BAVICHA mmoja akasema CCM msimpuuze Kakobe ana waumini wapiga kura mil.10. Ujinga mtupu. Watanzania hatujafikia mil.50. Watoto ambao hawajafikia umri wa kupiga kura ndiyo wengi, wanaojiandikisha kupiga kura ni wengi lakini wanaojitokeza kupiga kura hata mil.10 hawafiki. Ina maana wote wanaokwenda kupiga kura wote wanatoka kwa Kakobe? Hizi ni akili za Makarai ya Zege kwelikweli.

Waumini wa Kakobe wenyewe ni kama watu waliokata tamaa ya maisha sijadhani kama wanakuwa na hata wazo la kupiga kura. Ni wale wanaokwenda kuvuliwa mikufu ya dhahabu na Kakobe na kuiuza kwa ajili ya kujipatia fedha huku akiwahadaa kwamba vitu hivyo vya thamani ni chukizo kwa Mungu, hawa watapata muda wa kupiga kura? Ni wale ambao wanaabudu kwa kusikiliza ujumbe wa Mungu wao (KAKOBE) redioni maana akisafiri hakuna ruhusa ya mtu mwingine kuendesha ibada. Hawa wanapiga kura kweli?

Wapinzani jitafakarini sana, waaseni vijana wenu mitandaoni wabuni mbinu mpya za kupambana na serikali ili kupitia kwao siku moja mshike dola. Hamuezi kushika dola kwa Hoja za akina Kakobe.
Ungetumia the same efforts katika kuandika 'business proposal', ungekuwa bonge la tajiri. Akili unazo, ila hujui uzitumie wapi. Huko uliko siko, umepotea.
 
Back
Top Bottom