Kakakuona aonekana Kongowe

Kakakuona aonekana Kongowe

... babu alinisimulia enzi ile akionekana popote nchini ilikuwa breaking news RTD; hadi Mwl. Nyerere alikuwa anaombwa kutoa maoni yake na Jacob Tesha. Kizazi hiki cha dotCom sijui hata kama kinajua maana ya mila na desturi zetu.
Wanaamini walicholetea na mtu mweupe kuliko cha mababu zao
 
Nikikumbuka ileee" KAKAKUONA ALITABIRI MREMA RAIS" Nachokaaa!
 
Imani za kizamani hizo hamna kitu ka hicho sikuhizi...usipolima kitaalamu hupati mahindi mengi
hahahaha, kwamba ishu ni kufanya kazi tu..bado safari ni ndefuuu
 
Back
Top Bottom