Kakakuona aonekana Kongowe

Kakakuona aonekana Kongowe

Leo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!

Mwambie asubiri tunamjadala mzito wa bandari huku, anaweza kujitokeza hata kesho kama hana haraka
 
Kakakuona wa siku hizi michosho.

Waafrika bado tunasafari ndefu sana aiseee.

Imani za kizamani hizo hamna kitu ka hicho sikuhizi...usipolima kitaalamu hupati mahindi mengi
... babu alinisimulia enzi ile akionekana popote nchini ilikuwa breaking news RTD; hadi Mwl. Nyerere alikuwa anaombwa kutoa maoni yake na Jacob Tesha. Kizazi hiki cha dotCom sijui hata kama kinajua maana ya mila na desturi zetu.
 
Leo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!

Kawaonesha kuwa mnapaswa kuweka imani zenu kwa Mungu 🤣🤣🤣

Huyo ni sharobaro mambo ya kale hayajui😎
 
Mambo ya ya kijinga tu, mrudisheni porini aendelee na maisha yake.

Hivi hatuna askari wa wanyama pori huko?
 
Leo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!

Amekataa chochote?! Basi huu mkataba ni feki hatuutaki.
 
Leo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!

Mbona hawajamuwekea na K Vant?
 
Back
Top Bottom