Kaka zangu wametembea na mwanamke mmoja

Kaka zangu wametembea na mwanamke mmoja

Vipi kuhusu ubavu wako unauhakika haujapita pale.
 
Kama kuna baba wadogo washirikishe waongeee na huyo bro wa hapo home,ikishindikana hata mama mwambie amkanye kakako mke wa mtu sumu na ukimwi unaua.
Chanzo ni hari ngumu ya maisha ukumbuke tayari ana mke kamuacha mkewe kaja kuishi kwa mama kwanini hakubaki kwenye chumba chake kama anauwezo la pili mkewe mganga sio malaya ndio maana anafanyia ndani kulinda heshima ya mumewe tusilishwe tu kila kinachokuja suruhu kaka ahame akapange
 
Pole sana kwa hilo jambo ni kubwa linakuchafua kulitatua ni rahisi wewe mwambie kaka ukweli ajue kuwa na nduguye wameshiriki wote sahani moja lakini kuepuka balaa komaa na kaka yako ahame hapo nymbn muda wake wa kuishi kwa wazazi haupo tena picha itakuwa imeisha
 
Pole sana kwa mkasa wa ndugu zako.
Nani mkubwa kati yako wewe na hao kaka zako? Hili litasaidia tu kuchagua njia ya kuongea nao.

Huna namna zaidi ya kuongea nao juu ya hali hiyo hasa huyo anayeishi naye nyumba moja. Usipofanya hivyo kuna hatari zaidi ya hiyo inaweza kufuata. Fikiria huyo kaka yako mkewe hatupo kwa sasa,mganga naye hakai sana hapo. Tatizo ni huu uhuru walionao unaweza kufanya mapenzi yakakolea zaidi,badala ya kujiiba wakahisi wana haki ya kufanya hivyo.

Pia,kwa tabia aliyonayo huyo dada ni kwamba hakuna usalama hapo,kama siyo leo ni kesho.

Si vema kupoteza ndugu kwa tatizo unaloweza kulitatua. Wakikulaumu ni kwa muda tu,mapenzi yakiwaisha rohoni kinyongo kitaisha pia. Ila jiandae kwa lawama kwamba unawafuatilia(si kosa kwa ndugu unayemjali).

Ukikaa kimya pia,ipo siku mmoja atakulilia kwanini hukusema ilihali unajua.

POLE
Asante Sana
 
Mm Niko tofauti na wewe. Hao ni ndugu zako watakuja kupata ukimwi. Wapigie simu uwamnie wakikuchukia watajiju kuna siku watakuelewa. Usisambaze hii taarifa kwa ndugu. Utaanzia wapi kumwogopa kaka yako kwenye jambo serious kiasi hicho.?
Asante Sana
 
Unataka wa kupitie na ww, acha kihele hele tafuta pesa nyegele ww
 
Dah....nimesoma uzi mara 1000 ...mimi sijaona tatizo lolote lile....[emoji41]
 
Back
Top Bottom