Maeneo ya Sinza utasikia "Kaka nicusikirabu"...ukisema hapana, atakuambia..."Nywele zako zina mba nikuoshe na dawa"..utasikia kaa basi kwenye foleni ya ili usubiri kuoshwa kichwa...wakati mwingine huwa naondoka tu na nywele zangu...
Na olewako ukubali kufanyiwa hayo yote utajuta hyo bili utakayoletewa,...