TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Jamani ule utabiri wa watu wa hali ya hewa ni kuwa mvua zitanyesha kwa siku tano. Kimahesabu leo ndo siku ya tano kwa maana nyingine leo ni fainali. msije mkaenda viwanja aidha wakati wa kurudi njia zikawa hazipitiki au ukakuta nyumba haipo. take care you all and have a nice weekend