Ili kupata majibu ya hili kwanza kubali kuwa Biblia nibmkusanyiko wa vitabu kadhaa na mbao zilizokuwa na maarifa mbalimbali yaliyitunzwa kimaandishi. Siyo lazima sana uafiki hili ila elewa kuna mawazo ya watu pia katika rejeleo na mawazo hayo huwa yanalinda maslahi fulani ya watu.
.................................................. I am,