Weak point.Adamu aliishi miaka 900 na ushee. Katika muda huo alizaa watoto kibao. Familia ya Yakobo ilikaa Misri miaka 400 na wakatoka watu 2m.
Sasa fikiria Kaini labda alioa miaka 500 baada ya kumuua ndugu yake, si alikuta dunia imejaa vitukuu na vituu vya Adamu. Vingine ni vidangaji havijali kuwa wewe ni Kaini au umevipita miaka 460.
Kama haipo kwenye Biblia basi haina nguvu. Tunataka maandiko ya bibleUkisoma "The book of Adam and Eve" (Hakipo kwenye biblia ya kawaida),Utakuta mistari hii hapa chini.
2 And thereafter, Cain slew Abel, but Adam was then one hundred and thirty years old, but Abel was slain when he was one hundred and twenty-two years. And thereafter Adam knew his wife and he begat a son and called his name Seth.
xxiv 1 And Adam said to Eve, 'Behold, I have begotten a son, in place of Abel, whom Cain slew.'
2 And after Adam had begotten Seth, he lived eight hundred years and begat thirty sons and thirty daughters; in all sixty-three children. And they were increased over the face of the earth in their nations.
Hapo utaona Adam alizaa watoto 63 jumla wakike 30 na wakiume 33,walioana wao kwa kwao na kuzaliana.So kuna uwezekano mkubwa pia Cain alimuoa moja ya dada zake pia.
SawaUkisoma "The book of Adam and Eve" (Hakipo kwenye biblia ya kawaida),Utakuta mistari hii hapa chini.
2 And thereafter, Cain slew Abel, but Adam was then one hundred and thirty years old, but Abel was slain when he was one hundred and twenty-two years. And thereafter Adam knew his wife and he begat a son and called his name Seth.
xxiv 1 And Adam said to Eve, 'Behold, I have begotten a son, in place of Abel, whom Cain slew.'
2 And after Adam had begotten Seth, he lived eight hundred years and begat thirty sons and thirty daughters; in all sixty-three children. And they were increased over the face of the earth in their nations.
Hapo utaona Adam alizaa watoto 63 jumla wakike 30 na wakiume 33,walioana wao kwa kwao na kuzaliana.So kuna uwezekano mkubwa pia Cain alimuoa moja ya dada zake pia.
Ushapata jibu la swali lako au bado??..Sawa
Watag na wachangiaji waislamu watupe facts zao.Bado maana nahitaji jibu kutoka vyanzo mbalimbali vya dini
Haya makitu hayapatani na akili ya mtu timamu
Ukionana nae muulize ni wapi Mungu aliandika kwamba ndugu waoane ili waongezeka afu baadae akabadili.
Hiyo biblia uliyoandika matukio mwngine ipo wapi? Hapa ndio wanapotuibia hawa jamaa
IndeedWeak point.
ExactlyKama haipo kwenye Biblia basi haina nguvu. Tunataka maandiko ya bible
Yaani kuna uzembe katika kuchagua imani..ishu yoote hawataki kusema kwamba tupo wanaadam ambao walizaliwa ma binaadam na wanaadam ambao hawatakiwi kùandikwa asili yao kabisa sababu wakiandikwa hamtaishi kwa raha mustarehe! Inawezekana Adam anawakilisha wanaume tu! Na hawa anawakilisha kiumbe mwingine ambae asili yake bado ina utata mpaka leo! BINAADAM HATUKO SAWA.
Adam na hawa ni babu na bibi yako.haya mambo ya kufatilia familia za watu ndio ya sha nishindaga mimi
Utanitagi akirudiNatamani kuzisoma hizi theory zako in deep Chief, if you don’t mind unaweza kuendelea zaidi?
Utanitagi akirudi
Yanapatikana ila maandiko yana uzito sana, ndiyo maana Matendo 17:30 inasema "Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu."Haya makitu hayapatani na akili ya mtu timamu