Kaingia mkenge!!!!

Kaingia mkenge!!!!

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,484
Binti: honey vp mbona sikuelewi?
Men: kivipi?
Binti: jamani kabla hatuenda gesti siuliambia kuwa tukimaliza utanijengea nyumba?
Men: aaa! Ilikuwa trick ya kukupata, mi mwenyewe nalala stand!
Binti: umesema???
Men: hujanisikia??
Binti: haya bhana, nashukuru!
Men: nashukuru na mimi pia, nilienjoy sana!!


Hahahahahahahahaha!!!! Imekula kwa..........
 
imekula kwa binti.. ila madada zetu si wanapenda kudanganywa.. demu ukimwambia ukweli anakuona unamdanganya ila ukimdanganya anaona kama ndio unasema ukweli
 
imekula kwa binti.. ila madada zetu si wanapenda kudanganywa.. demu ukimwambia ukweli anakuona unamdanganya ila ukimdanganya anaona kama ndio unasema ukweli
<br />
<br />
yes!! Wacha wajifunze!
 
raha mpate wote halafu adai malipo, sawasawa alivyo fanyiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom