Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga akosoa agizo la Rais Magufuli

official scandal

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
386
798
Katika kile kinachooneka kuwa ni ''overconfidence'' mkuu wa Kaimu mkuu wa Bandari amekosoa uamuzi wa rais wa kuzuia safari za nje ya nchi kuwa uamuzi huo unaathiri utendaji/ufanisi wa bandari hiyo;

IMEELEZWA kuwa agizo la Rais John Magufuli kusitisha safari za nje kwa watendaji wa serikali nchini zimesababisha Bandari ya Tanga kufanyakazi chini ya kiwango na kulazimika kukodi vifaa kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa bandari ya Tanga,Henry Arika wakati mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alipofanya ziara ya siku mmoja kukagua shughuli zinazofanywa na bandari hiyo.

Alisema kuwa hatua hiyo ya kusitishwa kwa safari mpaka vibali imechangia bandari hiyo kupata hasara na kulazimika kukodi Tug ya kupakuwa mizigo kutoka nangani kwenye meli hadi katika pwani ya bandari hiyo.

“Mheshimiwa mkuu wa mkoa japo agizo hilo linafaida kwa serikali lakini tunamuomba Mheshimiwa Rais angalie upya agizo hilo kwani kuna baadhi ya taasisi zinazojiendesha kibiashara zinaathirika na utendaji wake wa kila siku kushuka”alibainisha Kaimu Meneja huyo.

Aliiomba serikali kuangalia namna bora ya kutenganisha taasisi hizo katika utoaji wa vibali kwani kwa hili limesababisha kushindwa kupelekaTug meli ya kukokotea vyombo vya majini yao kwa ajili ya ukarabati nchini Kenya.

“Tagi tuliyonayo katika bandari ya Tanga ni mmoja pekee na manahoza waliisimamisha kufanyakazi toka mwezi Novemba mwaka jana hivyo tumelazimika kukodi Tug kutoka mjini Mombasa ili kurahisisha utoaji wa mizigo”alisema Arika.

Ambapo aliongeza kuwa hali hiyo situ inakwamisha utendaji kazi bali inachangia hasara kwa Mamlaka kwani hulazimika kutumia gharama kubwa kwaajili ya uwendeshaji kifaa cha kukodisha.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alisema kuwa uwamuzi wa Rais ni kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo ya nchi yanapatikana kwa haraka na kwa kutumia raslimali kwa uwangalifu.

RC MAHIZA ATEMBELEA BANDARI YA TANGA AKUTANA NA WAFANYAKAZI
 
Mpuuzi sana. Angeandika barua kueleza anayosema. Baadaye asubiri majibu ya serikali. Kama hajaomba anabwata nini?
Magufuli anasema safari zisizo za lazima. Hajazuia moja kwa moja.
 
Naona povu linawatoka kulishauri hili jipu. Yaani Magufuli akamtoe
. Sasa mtu hujaomba ruhusa na issue ni kununua kifaa inahusiana vipi na safari zinazoongelewa hapa je Bandari ya DSM inapata hasara kama hiyo hiyo ya Tanga kwa sababu safari zisizo za lazima zimekatwaza? Kwani hicho cha mombasa wali google na kukodisha juu kwa juu, AAHg hili jipu tuu linaweweseka
 
maagizo ya Dr Magufuli si maandiko ya Mwenyezi Mungu , yanapingika tu , cha msingi alitakiwa aeleze namna safari za nje zinavyoweza kuboresha bandari yake .
 
K
Mpuuzi sana. Angeandika barua kueleza anayosema. Baadaye asubiri majibu ya serikali. Kama hajaomba anabwata nini?
Magufuli anasema safari zisizo za lazima. Hajazuia moja kwa moja.

Kweli kabisa. Kwani ubovu wa hiyo tug unahusikaje na safari. Pia kibali huchukua muda gani kupatikana? Huyo meneja ni mzembe na labda amezoea kwenda kuzurura Mombasa weekend na sasa amebanwa.
 
Alijaza fomu ya kuomba kibali akanyimwa? Alichozuia ni safari zisizo na tija kwa Taifa. Na kama una Safari yenye tija unafata taratibu cha kuomba kibali ili upate go ahead.
Nina wasiwasi na statement.....
 
Katika kile kinachooneka kuwa ni ''overconfidence'' mkuu wa Kaimu mkuu wa Bandari amekosoa uamuzi wa rais wa kuzuia safari za nje ya nchi kuwa uamuzi huo unaathiri utendaji/ufanisi wa bandari hiyo;

IMEELEZWA kuwa agizo la Rais John Magufuli kusitisha safari za nje kwa watendaji wa serikali nchini zimesababisha Bandari ya Tanga kufanyakazi chini ya kiwango na kulazimika kukodi vifaa kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa bandari ya Tanga,Henry Arika wakati mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alipofanya ziara ya siku mmoja kukagua shughuli zinazofanywa na bandari hiyo.

Alisema kuwa hatua hiyo ya kusitishwa kwa safari mpaka vibali imechangia bandari hiyo kupata hasara na kulazimika kukodi Tug ya kupakuwa mizigo kutoka nangani kwenye meli hadi katika pwani ya bandari hiyo.

“Mheshimiwa mkuu wa mkoa japo agizo hilo linafaida kwa serikali lakini tunamuomba Mheshimiwa Rais angalie upya agizo hilo kwani kuna baadhi ya taasisi zinazojiendesha kibiashara zinaathirika na utendaji wake wa kila siku kushuka”alibainisha Kaimu Meneja huyo.

Aliiomba serikali kuangalia namna bora ya kutenganisha taasisi hizo katika utoaji wa vibali kwani kwa hili limesababisha kushindwa kupelekaTug meli ya kukokotea vyombo vya majini yao kwa ajili ya ukarabati nchini Kenya.

“Tagi tuliyonayo katika bandari ya Tanga ni mmoja pekee na manahoza waliisimamisha kufanyakazi toka mwezi Novemba mwaka jana hivyo tumelazimika kukodi Tug kutoka mjini Mombasa ili kurahisisha utoaji wa mizigo”alisema Arika.

Ambapo aliongeza kuwa hali hiyo situ inakwamisha utendaji kazi bali inachangia hasara kwa Mamlaka kwani hulazimika kutumia gharama kubwa kwaajili ya uwendeshaji kifaa cha kukodisha.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alisema kuwa uwamuzi wa Rais ni kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo ya nchi yanapatikana kwa haraka na kwa kutumia raslimali kwa uwangalifu.

RC MAHIZA ATEMBELEA BANDARI YA TANGA AKUTANA NA WAFANYAKAZI
Hayo ni majungu, lengo lako ni kumharibia mwenzio kibarua?
 
Katika kile kinachooneka kuwa ni ''overconfidence'' mkuu wa Kaimu mkuu wa Bandari amekosoa uamuzi wa rais wa kuzuia safari za nje ya nchi kuwa uamuzi huo unaathiri utendaji/ufanisi wa bandari hiyo;

IMEELEZWA kuwa agizo la Rais John Magufuli kusitisha safari za nje kwa watendaji wa serikali nchini zimesababisha Bandari ya Tanga kufanyakazi chini ya kiwango na kulazimika kukodi vifaa kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa bandari ya Tanga,Henry Arika wakati mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alipofanya ziara ya siku mmoja kukagua shughuli zinazofanywa na bandari hiyo.

Alisema kuwa hatua hiyo ya kusitishwa kwa safari mpaka vibali imechangia bandari hiyo kupata hasara na kulazimika kukodi Tug ya kupakuwa mizigo kutoka nangani kwenye meli hadi katika pwani ya bandari hiyo.

“Mheshimiwa mkuu wa mkoa japo agizo hilo linafaida kwa serikali lakini tunamuomba Mheshimiwa Rais angalie upya agizo hilo kwani kuna baadhi ya taasisi zinazojiendesha kibiashara zinaathirika na utendaji wake wa kila siku kushuka”alibainisha Kaimu Meneja huyo.

Aliiomba serikali kuangalia namna bora ya kutenganisha taasisi hizo katika utoaji wa vibali kwani kwa hili limesababisha kushindwa kupelekaTug meli ya kukokotea vyombo vya majini yao kwa ajili ya ukarabati nchini Kenya.

“Tagi tuliyonayo katika bandari ya Tanga ni mmoja pekee na manahoza waliisimamisha kufanyakazi toka mwezi Novemba mwaka jana hivyo tumelazimika kukodi Tug kutoka mjini Mombasa ili kurahisisha utoaji wa mizigo”alisema Arika.

Ambapo aliongeza kuwa hali hiyo situ inakwamisha utendaji kazi bali inachangia hasara kwa Mamlaka kwani hulazimika kutumia gharama kubwa kwaajili ya uwendeshaji kifaa cha kukodisha.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alisema kuwa uwamuzi wa Rais ni kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo ya nchi yanapatikana kwa haraka na kwa kutumia raslimali kwa uwangalifu.

RC MAHIZA ATEMBELEA BANDARI YA TANGA AKUTANA NA WAFANYAKAZI
Kama Tag iliharibika Novemba na kibali cha kusafiri nje hutolewa ndani ya siku 14, inawezekana walichelewa kuomba au kilikuwa na uzembe.
 
Katika kile kinachooneka kuwa ni ''overconfidence'' mkuu wa Kaimu mkuu wa Bandari amekosoa uamuzi wa rais wa kuzuia safari za nje ya nchi kuwa uamuzi huo unaathiri utendaji/ufanisi wa bandari hiyo;

IMEELEZWA kuwa agizo la Rais John Magufuli kusitisha safari za nje kwa watendaji wa serikali nchini zimesababisha Bandari ya Tanga kufanyakazi chini ya kiwango na kulazimika kukodi vifaa kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa bandari ya Tanga,Henry Arika wakati mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alipofanya ziara ya siku mmoja kukagua shughuli zinazofanywa na bandari hiyo.

Alisema kuwa hatua hiyo ya kusitishwa kwa safari mpaka vibali imechangia bandari hiyo kupata hasara na kulazimika kukodi Tug ya kupakuwa mizigo kutoka nangani kwenye meli hadi katika pwani ya bandari hiyo.

“Mheshimiwa mkuu wa mkoa japo agizo hilo linafaida kwa serikali lakini tunamuomba Mheshimiwa Rais angalie upya agizo hilo kwani kuna baadhi ya taasisi zinazojiendesha kibiashara zinaathirika na utendaji wake wa kila siku kushuka”alibainisha Kaimu Meneja huyo.

Aliiomba serikali kuangalia namna bora ya kutenganisha taasisi hizo katika utoaji wa vibali kwani kwa hili limesababisha kushindwa kupelekaTug meli ya kukokotea vyombo vya majini yao kwa ajili ya ukarabati nchini Kenya.

“Tagi tuliyonayo katika bandari ya Tanga ni mmoja pekee na manahoza waliisimamisha kufanyakazi toka mwezi Novemba mwaka jana hivyo tumelazimika kukodi Tug kutoka mjini Mombasa ili kurahisisha utoaji wa mizigo”alisema Arika.

Ambapo aliongeza kuwa hali hiyo situ inakwamisha utendaji kazi bali inachangia hasara kwa Mamlaka kwani hulazimika kutumia gharama kubwa kwaajili ya uwendeshaji kifaa cha kukodisha.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza alisema kuwa uwamuzi wa Rais ni kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo ya nchi yanapatikana kwa haraka na kwa kutumia raslimali kwa uwangalifu.


Atumbuliwe tu aache kudanganya. Magufuli hakuzuia au kukataza usafiri wa nje. Alichokataa ni watu kusafiri kiholela. Mbona hilo linafanywa hata na Uingereza, Marekani etc? Wee wadhani mtendaji wa Uingereza anajisafiria tu kama ilivyokuwa wakati wa 'yule'?







RC MAHIZA ATEMBELEA BANDARI YA TANGA AKUTANA NA WAFANYAKAZI
 
Huyo maneja ni mpiga dili fulani hivi, si alikuwa dar port kitengo cha commercial.........
Kumbe kashapelekwa tanga Kuna ni ?
 
Back
Top Bottom