Kahwa safi na fresh iliyokaangwa chini ya saa 48

Kahwa safi na fresh iliyokaangwa chini ya saa 48

ubuntuX

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
1,997
Reaction score
2,242
Kama mdau niliebahatika kulelewa kwenye mazingira ya kutegemea kilimo cha kahawa kwetu Arusha, nilikua nasikitika sana watumiaji wengi wa kahawa kutojua ladha halisi na fresh ya Kilimanjaro. Kahawa nyingi sio fresh aidha zimekaa sana au quality ya Buni ni sio nzuri. Kwa miaka mitatu iliyopita nilikua naroast kahawa ya kiwango cha juu,kuisaga n kuiuza kwa Ndugu,Marafiki na watu kadhaa wanaoujua ninachofanya.

Mwaka huu nimeanza kuitangaza Rasmi as A Premium coffee Roaster. Nauza a premium arabica coffee staright from Kilimanjaro ambayo inakua Roasted 48 hours kabla ili kuhakikisha unapata fresh coffee yenye ladha zote.

Bei za Kahawa ya Brewa

Kahawa yetu ni ya daraja la juu — Premium Arabica kutoka Kilimanjaro, iliyokaangwa kwa ustadi na kufikishwa kwako ndani ya masaa 48 tu baada ya kuchomwa. Hakuna kahawa bora zaidi sokoni kwa sasa
Bei ya Kahawa
• 200g – TSh 10,000
Inatosha vikombe 20–25, perfect kwa wiki moja ya matumizi binafsi

• 450g – TSh 19,000
Ideal kwa familia, ofisi ndogo au matumizi ya kila siku
Unapochagua Brewa, unapata kahawa safi si kahawa iliyokaa shelfini mwezi mzima kama zingine
Huduma Maalum kwa Ofisi & Biashara

Tunatoa subscription ya kila wiki au kila mwezi, kwa ofisi, maduka, saluni, boutique, studio na biashara yoyote inayopenda kuwapa wafanyakazi au wateja wake kahawa bora.
• Delivery ni bure ndani ya Dar es Salaam
• Tunapokea maombi ya mashine za kahawa pia (Drip au Automatic)
• Tunaweza kusaga kulingana na matumizi yako: French press, Drip, Moka au hata Whole Beans

Unahitaji kahawa kwa ajili ya:
• Tukio maalum?
• Hoteli au mgahawa?
• Kifurushi cha zawadi kwa wateja au marafiki?
Tuma oda yako, na tutakutengenezea kifurushi maalum kulingana na mahitaji yako.

Agiza Leo kwa WhatsApp:
[+255753038470]

WhatsApp Image 2025-07-17 at 18.43.44.jpeg
WhatsApp Image 2025-07-17 at 18.43.44.jpeg
pexels-nicola-barts-7937505.jpg
dreamina-2025-07-15-2548-Please enhance the existing Brewa Coffee....jpeg
[+255753038470]
 
Well presented, Very nice packaging and logo. I hope wapenda kahawa watakuunga mkono.

Nashauri pia ukiongeza bajeti consider packaging ya glass/ kioo…. Binafsi sipendi usumbufu wa kufungua vimifuko (from costumer point of view)

lost files Mpenda kahawa ukishahamia pale kwako na kama kuna balcony na kama utakuwa na mama chanja wako nitakuwa nakuagizia hii…
 
Well presented, Very nice packaging and logo. I hope wapenda kahawa watakuunga mkono.

Nashauri pia ukiongeza bajeti consider packaging ya glass/ kioo…. Binafsi sipendi usumbufu wa kufungua vimifuko (from costumer point of view)

lost files Mpenda kahawa ukishahamia pale kwako na kama kuna balcony na kama utakuwa na mama chanja wako nitakuwa nakuagizia hii…
shukran mkuu.
 
Well presented, Very nice packaging and logo. I hope wapenda kahawa watakuunga mkono.

Nashauri pia ukiongeza bajeti consider packaging ya glass/ kioo…. Binafsi sipendi usumbufu wa kufungua vimifuko (from costumer point of view)

lost files Mpenda kahawa ukishahamia pale kwako na kama kuna balcony na kama utakuwa na mama chanja wako nitakuwa nakuagizia hii…
Hunitakii mema,si ulisema niache kahawa?? anyway kama Mkuu yupo vizuri kama alivyojinadi nachukua number yake,.vipi twin utakubali kuonja?just a sip..labda hupendi kahawa sababu hujakutana na kahawa nzuri kama ya Huyu jamaa yetu..
 
Back
Top Bottom