Kahama VS Njombe/Mafinga

Kenge amuka utajinyea hyo nyumba au fremu za biashara πŸ˜‚πŸ˜‚ siku hizi huku zinabomolewa na mamlaka ya mipango miji labda ujenge vijijini town huo uchafu matako kunuka nyie
Rudi darasani ukajifunze a e I o u Kwanza ndio uje tujadiliane..
Amka βœ…,Amuka ❌ πŸ˜†πŸ˜†
 
Kijiji et unasema Lori nying huna akili matako kunuka ewe kuwa na heshima na ordinary city of kahama yenye stand ya malori ya kiwango afrika mashariki pia yenye shule Bora za private kuliko hko mashambani kwenu matako nyie
Kahama ni gulio kama.magulio mengine ya manamba 🀣🀣
 
We kenge hujaona stand kahama inajengwa tena majengo hidden roof vip mbwa jike
Ina....Ina......😁😁😁😁😁😁
Sasa hiyo ni Manispaa au kituko? Ndio maana tunawaambia hamna kitu huko kuanzia Bukoba Hadi Geita kote mumejaa manamba wa kutumikishwa
 
Ona hii ng'ombe eti SoonπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† soon ...... Hiyo soon Yako Hadi aje Mwendazake mwingine 🀸🀸🀸
 
Mjengew TU mabanda nyie sisi tujengwe vitu og vya muda mrefu lakin nyie vibanda vinaporeza hadhi soon baada ya ujenzi
Hii inaitwa side effects ya dozi naona unalia Kwa uchungu sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Siku zote tutawajambia Hadi mkome .

Mbeya inaenda kupata njia 4 kama Sam Nujoma Road nyie Fishing village ya Mwanza mtapata 2030 huko 😁😁
 
Yan nimecheka hadi basi et Kanda ya ziwa Kuna fursa ya utalii kuzidi kusini Yan Hawa manyumbu asee ni WA shamba hata Kanda za tanzania halijui
Hivi kumbe ew ni mbwa mwitu kabisa Kwa akili Yako ebu taja vivutio vya watalii kusini nam nikpe vyetu kwanza vinajulikana usijizime data kenge ew

Haya taja vivutio vya kusini
 
Hivi kumbe ew ni mbwa mwitu kabisa Kwa akili Yako ebu taja vivutio vya watalii kusini nam nikpe vyetu kwanza vinajulikana usijizime data kenge ew

Haya taja vivutio vya kusini
Sina Muda wa kufundisha ingia kwenye web ya TANAPA upate majibu kenge ww tumechoka kukufundisha
 
Mnapost frem za biashara huku kwetu zipo vijijini but mjin hatutaki huo uchafu tnataka tower
Kama mnaita tawa kigorofa kama hichi nyie si washamba tu Lisa ndo kigorofa kilefu mkoa mzima wa shinyanga hizo Huku zimejaa ko tunaziona kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…