The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Kwani Majengo hujengwa Kama mapambo au kulingana na mahitaji?Unaonesha jengo la ghorofa moja wakati wenzenu Mwanza watajengewa jengo la ghorofa nne, poleni sana.
Ilemela vs mbeya
Mbeya msipojikojolea mwaka huu ,,uchawi upo
Ile town nyasakaView attachment 2476725View attachment 2476726
Hii ndiyo Nyasaka, ilemela Mwanza Tanzania, lakini lata na nyasaka ya kanisani, nyasaka centre, na nyasaka maduka tisa hii bado ongeza na maeneo mengine ya Nyasaka mkuu.Ilemela vs mbeya
Mbeya msipojikojolea mwaka huu ,,uchawi upo
Ile town nyasakaView attachment 2476725View attachment 2476726
Kwa Mwanza wameona kuna uhitaji mkubwa kuliko huko mashambani.Kwani Majengo hujengwa Kama mapambo au kulingana na mahitaji?
Huduma zimeanza nyie mnazo?
Kungekuwa Mashambani mbona wasianzie Mwanza 😂😂?Kwa Mwanza wameona kuna uhitaji mkubwa kuliko huko mashambani.
Pesa gani? Mnagawiwa bureMwenye njaa na maskini anatoa wapi Pesa? 😁😁😁😁😁
Kipindi bugando inajengwa, na kuanza kutoa huduma za kibingwa kwa kanda ya ziwa, mbeya ilikuwa na idadi ya watu 3750, wakati huo hamna ata kijiji bali ni mapori tu.Kungekuwa Mashambani mbona wasianzie Mwanza 😂😂?
Njaa ikipanda kwenye ubongo Ni hatari sana 🤣🤣
Mnachotaka kujengewa saizi tayari Mbeya imejengewa na Huduma zinatoka,wapi shamba Mbeya au Mwanza?
Watuite tupange foleni tukachukue hicho chakula cha bure.Pesa gani? Mnagawiwa bure
Hata Sasa mbona mnapanga fokleni Kila asubuhi 😂😂Watuite tupange foleni tukachukue hicho chakula cha bure.
Umehamia huko tena baada ya kuaibika kwenye hospital ya Mkoa 🤣🤣Kipindi bugando inajengwa, na kuanza kutoa huduma za kibingwa kwa kanda ya ziwa, mbeya ilikuwa na idadi ya watu 3750, wakati huo hamna ata kijiji bali ni mapori tu.
We ongea yote lakini huna pa kutokeaUmehamia huko tena baada ya kuaibika kwenye hospital ya Mkoa
Hata huko tunapiga za uso,wodi ya Meta Ile mpya huipati Kanda ya ziwa yote hakuna
Geita ni Kijiji kinajambiwa na Mafinga,hamna kitu hapoWe ongea yote lakini huna pa kutokea
Geita on... migodi inatema cheche sa hvi wazawa wanashusha vituView attachment 2477868View attachment 2477869
Jengo zuri sana...We ongea yote lakini huna pa kutokea
Geita on... migodi inatema cheche sa hvi wazawa wanashusha vituView attachment 2477868View attachment 2477869