ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Nayo ni wilaya kama Kahama?! Au ni makao makuu ya mkoa?Kwa Njombe katika kilimo kuna fursa kubwa sana
Ukuaji ni wa kasi kwa miji yote ila ni ukuaji holela, mipango miji wamejitenga na wananchi matokeo yake ujenzi holela unatamalaki.Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Njombe ni mkoa.Nayo ni wilaya kama kahama ?! Au ni makao makuu ya mkoa?
Kama ni banks zipo za kutosha kila mjiAngalia idadi ya banks na matawi yake
Mbona Shinyanga mjini ni makao makuu ya mkoa lakini Kahama iko speed kuliko Shy Town?Njombe ni mkoa
Shinyanga ina kaupendeleo tu kisa iko barabara kuu, ila kwa speed ya sasa ya Kahama inapitwa mengi.Mbona Shinyanga mjini ni makao makuu ya mkoa lakini Kahama iko speed kuliko shy town?
Hivi idadi ya matawi ya Bank zilizoko Kahama unaweza linganisha na ubaridini (Njombe)?Kama ni banks zipo za kutosha kila mji
Kahama kuna nini ambacho hakipo kwingine?Usifananishe KAHAMA na vitu vya kijinga
Yaani kwenye mapesa mengi ya mbao na kila mazao ndo ulinganishe na Kahama bush huko?Hivi idadi ya matawi ya Bank zilizoko kahama unaweza linganisha na ubaridini (njombe)?
Hata kauzibe kawekwaje Njombe itakuwa na kuzipita Iringa na Songea ndani ya miaka 10-15 ijayo, ule ni mkoa wa fursa na wachapakazi.Shinyanga ina kaupendeleo tu kisa iko barabara kuu, ila kwa speed ya sasa ya kahama inapitwa mengi.
.
Njombe haipafikii Kahama japo inawekewa kauzibe sana
Kahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.Yaani kwenye mapesa mengi ya mbao na kila mazao ndo ulinganishe na Kahama bush huko?
Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa Njombe una matatizo.Hata kauzibe kawekwaje Njombe itakuwa na kuzipita Iringa na Songea ndani ya miaka 10-15 ijayo,ule ni mkoa wa fursa na wachapakazi
Shinyanga sio kwamba inapendekewa hapana ilisha consolidate position yake miaka mingi,kabla ya migodi Kahama ilikuwa kijiji wakati tayari shy ni mji mkubwa na pili shy ina fursa ya kujengwa viwanda coz iko tambarare na iko jirani na mwanza
Sio mbali wewe, nimeishi Mwanza 3 yrs ni only 160 km to Shinyanga. Miji hiyo kupitwa au hapana ni factor ya growth rate ambapo kwa sasa iko favourable kwa Njombe kuliko Songea na Iringa so tofautisha kukimbia na kutembea.Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa njombe una matatizo
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 utazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Imepitiwa na barabara inayounganisha nchi za maziwa makuu, mazao ya kilimo ni mengi, migodi mikubwa ya dhahabu na pia wachimbaji wadogowadogo ni wengi, kando yake tu kuna machimbo ya almasi makubwa na madogo, rasimali watu inayojituma ndio msingi mkuu.Kahama kuna nini ambacho hakipo kwingine?
π π π π πMiji yote ina UKIMWI wa hatari