dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,498 3,465 May 14, 2024 #1 Hapa ni mzani wa kahama (mwendakulima) na haya mashimo yapo unapoingia na kutoka mzani Kwa kweli ni mashimo makubwa sana na hatarishi kwa vyombo vinavyoingia kupima uzito. TANROADS kwanini wamekaa kimya?
Hapa ni mzani wa kahama (mwendakulima) na haya mashimo yapo unapoingia na kutoka mzani Kwa kweli ni mashimo makubwa sana na hatarishi kwa vyombo vinavyoingia kupima uzito. TANROADS kwanini wamekaa kimya?
OscarkambonaJr JF-Expert Member Jun 1, 2022 2,163 3,624 May 14, 2024 #2 Hapo vocha ya laki 4 inamaliza kila kitu ni kukoroga simple zege na kuzima.Tatizo menejea anakaa ndani akitoka ndani ya V8
Hapo vocha ya laki 4 inamaliza kila kitu ni kukoroga simple zege na kuzima.Tatizo menejea anakaa ndani akitoka ndani ya V8