Kahama: TANROADS washindwa kufukia mashimo ya Mzani yalipo mbele yao

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,498
3,465
Hapa ni mzani wa kahama (mwendakulima) na haya mashimo yapo unapoingia na kutoka mzani

Kwa kweli ni mashimo makubwa sana na hatarishi kwa vyombo vinavyoingia kupima uzito.

TANROADS kwanini wamekaa kimya?
FB_IMG_1715689816365.jpg
FB_IMG_1715689819203.jpg
FB_IMG_1715689825417.jpg
FB_IMG_1715689829376.jpg
FB_IMG_1715689822501.jpg
 
Hapo vocha ya laki 4 inamaliza kila kitu ni kukoroga simple zege na kuzima.Tatizo menejea anakaa ndani akitoka ndani ya V8
 
Back
Top Bottom