Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Habari za hapa Jukwaani
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Kahama-KUWASA inapenda kuwatangazia wananchi wote kwa ujumla kuwa kuanzia tarehe 4/1/2019 gharama ya maji itaongezeka kama ifutavyo;
Mf. Kwangu mwezi December nimetumia Unit 44 na kulipa Jumla ya Tsh. 44,660+2500 ya service Charge=47,160.
Ikiwa January nitatumia Unit hizo hizo 44 nitalipa 74,272 sawa na Ongezeko la 27,112. Wameondoa Tsh 2500 ya Service Charge na kuniongezea 27,112. Hii ndio Serikali ya Wanyonge
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Kahama-KUWASA inapenda kuwatangazia wananchi wote kwa ujumla kuwa kuanzia tarehe 4/1/2019 gharama ya maji itaongezeka kama ifutavyo;
Mf. Kwangu mwezi December nimetumia Unit 44 na kulipa Jumla ya Tsh. 44,660+2500 ya service Charge=47,160.
Ikiwa January nitatumia Unit hizo hizo 44 nitalipa 74,272 sawa na Ongezeko la 27,112. Wameondoa Tsh 2500 ya Service Charge na kuniongezea 27,112. Hii ndio Serikali ya Wanyonge