OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,819
- 106,582
Safi sana... Kagasheki asitarajie mteremko...
Kutoka ngara vituo ving vishaanza kaz toka mnamo saa moja .
Kagasheki ameshinda.....Ukweli mchungu
Meya wa zamani wa Bukoba mjini, Anatory(NCCR) ametangazwa mshindi wa kiti cha Udiwani.
SOURCE:ITV
Kaka Kweli?
Kuna mtu kaweka matokeo kama ifuatavyo na kiasi fulani namuamini UBUNGE - CHADEMA WAMEPATA 26936, CCM- 24470, matokeo yamebandikwa.Hongeraa Kagasheki, Maana Dah Ingekuwa Aibu Teh Teh
Balantanda umeiona hii?Matokea ya bukoba mjini , lwakatare
Ni kweli...Wasiliana na mtu yeyote aliyepo Bukoba mjini sasa hivi...CCM wanashangilia