Kagasheki ajenga mazingira ya Rushwa Misitu

Kagasheki ajenga mazingira ya Rushwa Misitu

Mkuu mwache atunyime tu. Mbona kazi ni ndogo tu, njiti moja tu ya kiberiti inaangamiza na hapo atawajua wanamufindi sasa. Mwezi wa nane vibali huwa tayari lakini sasa tunautafuta mwezi wa kumi ye kakalia ngoja aonyeshwe..
Utakua unamkomoa nani ukipiga msitu wa sao hill moto? Napenda kutofautiana kimtazamo hapa. Misitu ni mali ya watanzania wote na hivyo ni lazima iuzwe kwa watanzania wote bila kujali dini, rangi, kabila wala sehemu anayotoka.

Mbona mlima kilimanjaro watu wote wanapandisha watalii bila kupendelea wachaga ingawa na wao wanazima mioto?

Mbona kwenye madini watu wote wanapewa fursa sawa. Sikubaliani ni mtazamo wa kuwabeba wanamufindi eti kwa kuwa ndo wanazima moto. Sikubaliani pia na wazo la kuuza kwa mnada kwa makampuni makubwa. Ila ninachotaka ni tutumie neno watazania badala ya wanamufindi.
 
Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Imemaliza kazi na maoni juu ya vibali vya kuvuna Misitu juzi tu hapa Jumamosi ya tarehe 14. Walikuwa wakitafakari approach mpya dhidi ya Malighafi za misitu kama ilivyoshauriwa na BRN "Big Results Now".

Maoni hayo ndiyo yametumwa Ofisi ya Waziri Kagasheki asubuhi hii! Hii habari umeleta hapa wakati inawezekana hata Waziri Kagasheki alikuwa hajapitia maoni hayo ya Bodi ya TFS.

Wanaolalamika Mheshimiwa kukalia vibali hivyo kwa sababu hizo hapo juu wanapotosha umma na si ajabu ni miongoni mwa wale ambao wana shauku ya kupata vibali hivyo na wanatumia kila njia ili kulazimisha taratibu bila kujali ufanisi katika utendaji.

Anatuchelewesha siku zote walikuwa wapi? Mwezi huu shughuli za uvunaji huwa tayari. Mwambieni afanye faster watu hali mbaya hapa Mufindi.
 
Wewe uko wizarani unaandika UTUMBOkama huu ili iweje? Kwani wakichelewa wewe inakuuma nini? Huoni kama vile wewe na wenzio ndio mnataka hivi vibali? shenzi mkubwa wewe! :heh:#@!#$%&&^%#%#
 
:disapointed:Wewe uko wizarani unaandika UTUMBOkama huu ili iweje? Kwani wakichelewa wewe inakuuma nini? Huoni kama vile wewe na wenzio ndio mnataka hivi vibali? shenzi mkubwa wewe! :heh:#@!#$%&&^%#%#
 
Njoo hapa kagasheki utuambie kuvuna tunaanza lini? Hizi habari za kuokoteza ndizo zinazo wachanganya wananchi
 
Wewe uko wizarani unaandika UTUMBOkama huu ili iweje? Kwani wakichelewa wewe inakuuma nini? Huoni kama vile wewe na wenzio ndio mnataka hivi vibali? shenzi mkubwa wewe! :heh:#@!#$%&&^%#%#

Kama haya mambo huyajui ni bora ukae kimya au uendelee kuchangia mada zenu za uccm na uchadema. Hii waachie wanaoielewa vizuri... Mambo ya vibali tunayaelewa tunaoishi kwenye hii misitu. Vumbapu wewe...
 
Ni kweli Kagasheki anapaswa kutoa tamko sio kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom