Kagame ni tishio la usalama Afrika Mashariki na kati. Akiingia vitani, Tanzania, Kenya, Congo na Burundi ziungane zimpige

Rais Paul Kagame Mbona hana Noma na MtuChuki tu, Wakati wa Mauwaji ya Kimbari Kagame alipambana na Kuwatia Adabu Interahamwe.

Anastahili pongezi,Wakati huo RPF ilikuwa peke yake wanafiki wote walikuwa wakifurahia Mauwaji.

Paul Kagame akaingia Front dhidi ya Interahamwe na Theoneste Bagosora ambae jeshi zima la Rwanda aliligeuza kuwa ni Interahamwe.

Sisi tulichofanya ni Kumtuma Kinana Wakati huo ni Waziri wa Ulinzi kwenda Rusumo falls kupiga Selfie na Maiti zilizokuwa zikiporomoka Mtoni.

Mgogoro Baina ya Kagame na Museveni ni wa Kukaa chini na Kusikilizana.
Hakua Kageme peke take uliza macommrade wenzake wako wapi
 
Hakua Kageme peke take uliza macommrade wenzake wako wapi
Kagame alishaweka wazi hatomvumilia mtu yeyote anetaka kuirudisha Rwanda kwanye Chuki za Kikabila.

Baadhi ya Maafsaa wenzake kuna Makundi Mawili Moja linataka kulipiza Kisasi cha Mauwaji waliofanyiwa 1994 kundi lingine Linataka Rwanda irudi kwenye Mfumo wa Kifalme.

Haya makundi ndio yanataka kuliingiza Taifa la Rwanda kwenye Migogoro

Mzee Museveni ndio Raisi Mzee katika jumuiya ya AM yeye ndio angekuwa anaamua Migogoro asiingizwe Kingi na Makundi ya Kikabila.
 
Mleta mada bado hajapata chai naona…..katika vitu vyote hakuna anayeweza kukuonyesha uwezo wake openly hizo ni siri kwa kila jeshi...huwezo sema Fulani ni dhaifu…..
JAMBO LA MSINGI NI MARIDHIANO..KWA ANAMANI VITA SIKIE TU NDUGU YANGU...
 
Ni wazi kwamba kagame akishinda vita dhidi ya Uganda,atakuwa anaisogelea Tanzania na kuizunguka kwa asilimia kubwa na kupanua uwanda wa vita.

Njia pekee kwa Tanzania,Uganda na Congo,pamoja na Burundi ni kumwondoa Kagame ili ukanda huu uwe salama.Pia kuondoa aina ya utawala anaopandikiza katika mataifa mbali mbali

Ni wazi kwamba Rwanda anategemea bandari zetu kupokea silaha kutoka mataifa ya ulaya na marekani,tuiminye njia hii asipate silaha

Tuzuie vyakula visiingie nchini mwake mpaka itokee sintofahamu kwa wananchi

Na ikibidi,kama vita imeanza na uganda,nchi za ukanda zipandikize mamluki was kusaidia jeshi la Uganda na kuunda vikosi kwa mamia vya kupambana kwa kujitegemea ili kutawanya nguvu za Kagame na jeshi lake.Hii itaipa mwanya Uganda kumchapa vizuri kwa kuwa jeshi litakuwa limetawanyika kudhibiti mapambano madogo madogo
Sijawahi kubeza andiko la mtu yeyote mwenye kutoa maoni yake, lakini katika hili mtoa mada ameonesha ufahamu kidogo sana wa mambo.

Eti anasema, Tanzania, Uganda, Congo na Burundi ziungane kuipiga Ruanda? Ni Ruanda ipi hiyo anayoisema. Ni hii ambayo eneo lake ni sawa 26,338 km2 (10,169 sq mile) ikiwa ni pungufu karibu mara tatu ya mkoa wa Morogoro ambao eneo lake ni 70,624 km2 (27,268 sq mile) au kuna nyingine.

Kivyovyote vile Ruanda ni dhaifu sana kwa Tanzania na kama ikitokea kuna mgogoro wowote ambao utasababisha vita sisi Tanzania tutaonekana tumewaonea Wanyarwanda, kama vile mtu mzima anavyompiga mtoto mchanga.

Alafu, suala la Uganda na Ruanda kuingia kwenye mgogoro ni sawa na ndugu wawili wenye nyendo za kiuhalifu wamehitilafiana. Uganda haina legitimacy yoyote ya kuifanya ionekane ina maana na haki zaidi ya Ruanda.

Jambo la mwisho, ni nani basi huyo atakaeyapeleka majeshi ya Tanzania yakapigane na kipenzi cha mtawala wetu? Kwa sasa Ruanda si jirani ama ndugu yetu tu bali ni rafiki yetu mkuu.

Tambua kuwa Tanzania ni Super power wa jumuia ya Afrika Mashariki. Unganisha eneo lote la Uganda, Kenya, Ruanda pamoja na Burundi bado ukubwa wake hautafikia eneo la Tanzania.

Acha kuchezea nchi ya Tanzania.
 
Yani nchi zote za east Africa zimpige kagame,,anauwezo kiasi gani wa kijeshi huyu mwamba,,

Wakati ni kuwapa nguvu tu wale waasi wanatosha kummaliza mmbu,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kilichokauka sababu ya roho mbaya ndicho chanzo cha miongozo mibovu ya tawala za kidicteta maneno ya Maziwa makuu,angalia Sudan kusini nao wameigaa kuongeza mda wa kukaa madarakani. Mwafrica hata akae Miaka 1000 madarakani hawezi leta maendeleo yeyeto kwa watu wake
 
Yaani huyu mjinga auwe hao hao wahutu na Watusi wake na wacongo.siku ajichanganye tu kwetu tunamwanzishia asubuhi mpaka kesho asubuhi tunaanua matanga pale kigari.
Kagame mpuuzi sana. Hauoni udogo wa nchi yake, anajidanganya na jeshi lake.

Tulimfurumusha Idd Amini kutoka Uganda sembuse yeye na nchi yake ambayo ni moja ya nchi ndogo Afrika.
 
Tanzania ilisha saidia sana ukombozi wa nchi kibao kibao na nyingine ndio kama izo zinatupiana maneno ila kwa Tz ya safari hii hatuitaji kwenda vitani wala kuunga mkono zambi za watu wengine wao wapigane waaune alafu siku izi wanyarwanda wa swaiba zao wakaribu ni wa 254 hata jana wakati PK anamkaribisha Uk shangwe zilitawala ktk ule ukumbi
 
Kagame mpuuzi sana. Hauoni udogo wa nchi yake, anajidanganya na jeshi lake.

Tulimfurumusha Idd Amini kutoka Uganda sembuse yeye na nchi yake ambayo ni moja ya nchi ndogo Afrika.
Kwaiyo victory memory ya Tanzania ni ushindi wa vita ya kagera ?

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Sijawahi kubeza andiko la mtu yeyote mwenye kutoa maoni yake, lakini katika hili mtoa mada ameonesha ufahamu kidogo sana wa mambo.

Eti anasema, Tanzania, Uganda, Congo na Burundi ziungane kuipiga Ruanda? Ni Ruanda ipi hiyo anayoisema. Ni hii ambayo eneo lake ni sawa 26,338 km2 (10,169 sq mile) ikiwa ni pungufu karibu mara tatu ya mkoa wa Morogoro ambao eneo lake ni 70,624 km2 (27,268 sq mile) au kuna nyingine.

Kivyovyote vile Ruanda ni dhaifu sana kwa Tanzania na kama ikitokea kuna mgogoro wowote ambao utasababisha vita sisi Tanzania tutaonekana tumewaonea Wanyarwanda, kama vile mtu mzima anavyompiga mtoto mchanga.

Alafu, suala la Uganda na Ruanda kuingia kwenye mgogoro ni sawa na ndugu wawili wenye nyendo za kiuhalifu wamehitilafiana. Uganda haina legitimacy yoyote ya kuifanya ionekane ina maana na haki zaidi ya Ruanda.

Jambo la mwisho, ni nani basi huyo atakaeyapeleka majeshi ya Tanzania yakapigane na kipenzi cha mtawala wetu? Kwa sasa Ruanda si jirani ama ndugu yetu tu bali ni rafiki yetu mkuu.

Tambua kuwa Tanzania ni Super power wa jumuia ya Afrika Mashariki. Unganisha eneo lote la Uganda, Kenya, Ruanda pamoja na Burundi bado ukubwa wake hautafikia eneo la Tanzania.

Acha kuchezea nchi ya Tanzania.
RWANDA SIO RUANDA....hahaha
 
Morogoro ni Kubwa kuliko Ubelgiji huwezi kupima Vita na Ukubwa wa Eneo Israel Ingesha angamizwa zamani.
 
Back
Top Bottom