Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,575
- 2,437
Serikali ya Congo DR ni dhaifu sana si kijeshi tu bali hata kwenye ushawishi wa kimataifa. Congo ikipata rais mzalendo na anayejua anachotakiwa kufanya basi ataanza kuondoa ujumbe mzima wa UN nchini Congo DR kisha operation ya kuisafisha Congo ianze na ifanywe ma wakongomani wenyewe...Ni kwasababu hajabondwa. Siku akitokea mbabe akambonda Marekani na Magharibi wataachana naye.