Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

Congo DR haijapata rais mzalendo. Ilitakiwa vita ikaishie kigali kwa maslahi ya wakongomani.
Wiki ilopita nipata nafasi ya kuongea na askari jeshi wa Kongo pale hapatakaa patulie hata akija rais gani... Jeshi lina mamluki kibao, serikali ndo usiseme.. usaliti ni mkubwa mno pale..

Ndo ndomana majeshi ya msaada yalishindwa
 
Back
Top Bottom