nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 663
- 735
Mapango wa UN kupeleka Drone Tatu kwa ajili ya kufuatilia nyendo zote katika mpaka wa Rwanda na Congo umeipa wakati Mugumu serikali ya Rwanda kiasi cha Ujumbe wao UN kupinga moja kwa moja suala hili.
Rwanda wanapinga kwa hoja kuwa Drone hizo zitakua zinachunguza hadi ndani ya Rwanda.
Wakati huo huo kamati ya usalama ya SADC troika inakutana na Kabila kupanga namna ya kuwaangamiza M23 tena Zuma Mwenyewe akihudhuria.
Pia miongoni mwa mapendekezo ya UN ni kuweka Vikosi vipya vya kijeshi mpakani mwa Rwanda na Congo.
My take.
SADC watamjaza kichwa kabila agome kujadiliana na M23 ili wapate sababu ya kuwafyeka.
Rwanda wanapinga kwa hoja kuwa Drone hizo zitakua zinachunguza hadi ndani ya Rwanda.
Wakati huo huo kamati ya usalama ya SADC troika inakutana na Kabila kupanga namna ya kuwaangamiza M23 tena Zuma Mwenyewe akihudhuria.
Pia miongoni mwa mapendekezo ya UN ni kuweka Vikosi vipya vya kijeshi mpakani mwa Rwanda na Congo.
My take.
SADC watamjaza kichwa kabila agome kujadiliana na M23 ili wapate sababu ya kuwafyeka.