Kagame, kuhusu soka la Rwanda

Kagame, kuhusu soka la Rwanda

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Katika Mkutano na Waandishi wa habari Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amekea wanaotegemea wachawi na kuhisi wao ndio wanaowapa ushindi badala ya kutegemea mafunzo na maandalizi mazuri kwenye soka.Aidha Rais Kagame aliwataka Wanamichezo na Mamlaka za Michezo kukuza vipaji katika michezo mbalimbali badala ya kutegemea uchawi.Rais Kagame amesema kuwa kilichomuweka pembeni na kuacha kwenda uwanjani kuangalia mpira, ni mambo machafu yakiwemo rushwa na uchawi.Nchini Rwanda kadiri miaka inavyosonga mbele, rushwa, ufisadi vinaendelea kuripotiwa na kuwa chanzo cha kudidimiza soka nchini humo.
 
Back
Top Bottom