East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Siyo Georges Grill?
Ni georges Grill
Siyo Georges Grill?
Hao wavunja vitofali kwa vichwa ndio hao waliowapa kipigo cha mbwa mwizi M23.Nafikiri kile kipigo bado hujakisahau.Waliopiga ni hao hao wavunja vitofali uliowaona.Kile kipigo kwa M23 haukuwa mkwara kilikuwa kipigo halisi kutoka kwa wavunja vitofali kwa kichwa wa JWTZ.
halafu namlaumu sana jk, hakutakiwa kwenda membe kumpokea huyu paka, alitakiwa aende kova au jeri slaa, au hata makonda akampokee huyu mwanadamu. kumpelekea membe amemheshimu sana ashukuru Mungu kwa heshima hiyo.Leave Kagame alone. Hapa mafala ndio wanaongea vitu havina kichwa wala miguu kwa chuki za kingese.
Tafuteni elimu.
Upepo mbaya wapi? nyie ndo mnashukuru. mngekufa na njaa. Kanchi kadogo lakini kelele kama kwale.
Wewe si ulisema we we ni mnyarwanda na unajua kuongea kiswahili vizuri.....imekuaje tena kusema "Tanzania hatuwezi kumchagua mafia na muuaji akae magogoni"![]()
![]()
Karibu nyumbani
Ningekuwepo dar ningeenda kumpokea.Nimkumbushe enzi za pale GEORGES CLUB.Bahati mbaya club yenyewe imekufa ningempeleka akasalimiane na washikaji wa enzi hizo wa kijiwe cha Georges.
huyu jamaa paul kagame nampenda hadi nahisi nataka kukufuru! Halafu sijui kwanini nawapenda watu hawa :
1. Paul kagame.
2. Yoweri museveni.
3. Joseph kabila.
4. Vladmir putin.
5. Benjamin netanyahu
6. Jamii forum.
7. Mohamed emwanzi yule mchinjaji maarufu wa is ( jihad john ).
Nimekuwa Mnyarwanda tena toba, una kaupeo kiduchu sana
Samahani mkuu kama wewe siyo.
embu wacha upuuzi wakoo
samahani haisaidii! cha muhimu ni kuacha hiyo tabia ya kulopokalopoka wewe kiao-kata
Ilikuwepo wapi hiyo mkuu?
OK kama ni hivyo basi hata usihangaike! ngoja tumuite kibao-kata JustDoItNow atuelezee vizuri... ndio mitaa yake hiyo lolNaomba isije ikawa, uwanja wa fisi, manzese tehtehtehtehhhh
angalia kwenye red, hata kama hawana maliasili wala ardhi, wanavyo vivutio vinavyowapa pesa. vivutio hivyo ni gorilla and women. vitombi hao na wanapenda kweli kuwavulia watz alimradi tu uwape chapaa. hao magolila ndio wanayalinda kuliko wanaamu kwasababu bila hao hawatakuwa na mnyama wa maliasili yeyote kwani hawana. hawajui hata tembo yukoje, hawajui pundamilia na nyati wanaona tu kwenye tv. halafu wanasema watashindana na tz...hahahani kwamba tu sikio la kufa halisikii dawa.Hawa wanyarwanda eanafikiri vita ni mchezo wa drafti tu ukipata kingi basi ndio unatesaaa weeee.hawajui kua ubora wa jesh hujengwa na vitu vingi sana.haya leo et wanajigamba wana intelijensia nzuri sana yan ka nchi kenyewe hakina ardhi ya kutosha wala maliasili ya.kueleweka na kaliingia vitani (vita ya wenyewe kwa wenyewe) sasa sijui intelijensia yake ilikua wap.
embu angalien tz jinsi ilivyo na mali nyingi na bado aman ipo unafikiri hakuna watu wenye roho mbaya ka ninyi mnaotaka vita itokee ili mje kujizolea mali kwetu.
hapa ndio utagundua kua intelejensia yetu iko juu kwelikweli.