Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
HUYU jamaa PK ni dictator, huwezi kufukuza waziri hadharani, mbona Mukaruliza Monique kafanya mengi tuu EAC ??? Sema Monique doesn't suport his stand on EAC!!
- PK alisema kuwa JK ni garasa (karata isiyokuwa na thamani) alipokuwa anaongea na vijana
- Akasema atamtandika wakati sahihi
- Akasema ni mjivuni, mpenda sifa
- Na mengine mengi
Huyu ndio raisi wetu in a nutshell. Hana mchezo katika kazi. Hana ndugu katika kazi. Yeye anaangalia maslahi ya nchi kwanza. Maandalizi mabovu ya mkutano tu yanamfukuzisha kazi waziri. Uwajibikaji. Hapo tanzania haya yanawezekana kweli?
sidhan kama mheshimiwa wetu anaweza kufanya maamuzi kama haya.
Ameweza hayo lakini ameshindwa kuwa msimamizi wa mdomo wake!
Cheap shot. Halafu mkuu nimeona hapa kuwa wewe ni kiongozi wa chama pinzani hapo tanzania? If it is so, then you guys are in trouble kama hawa ndio viongozi wenu. Anyways, good luck guys.
This slim boy is very serious!!! Napenda uchapakazi wake kama si matusi yake ya juzi kwa Rais wetu bado ningemuona Rais wa mfano wa kuigwa!!
Kagame ni dictator, na anataka Mawaziri wake wafanye kazi kama anavyotaka yeye.
Hii taarifa ni ya upande mmoja; hatujasikia kutoka kwa waziri aliyefukuzwa. Tusichukulie tu kuwa Waziri alikuwa na makosa kwa sababu Kagame kasema.
Inawezekana Waziri alikuwa sahihi, ila walitofautiana kimtizamo, na Kagame akamtimua kwa kuwa ndiye mwenye uamuzi wa mwisho!
Chimpreports.com-Uganda News - Kagame: I Fired EAC Minister Due To Incompetence
Why EAC ministry bosses were sacked - The New Times Rwanda
Rwanda President Paul Kagame has said he sacked the Minister of East Africa Community affairs, Monique Mukaruliza on Thursday night over incompetence.
The President, who is well known for speaking his mind and holding to account civil servants in public, on Friday, revealed that he replaced Mukaluriza with Jacqueline Muhongayire because the former fell short of properly organizing the recent EAC delegates conference in Kigali.
Why can't you communicate, where's your coordination. We can't reach any goals without working efficiently. This is the reason why I decided to change the Minister of East African Community, said Kagame.
The President was presiding over the swearing-in ceremony of the new Chief of Defense Staff, Gen. Patrick Nyamvumba who replaced Gen Charles Kayonga and the new Deputy Inspector General of Police in charge of Operations, Dan Munyuza.
Muhongayire was also sworn-in today.
A visibly angry Kagame said he personally requested Foreign Affairs Minister Louise Mushikiwabo to apologize to East Africa Community (EAC) delegates because of how the meeting was poorly organized.
Kagame said he made the scandal public to stop any further speculation in the public domain.
It looks like some of you have forgotten their responsibilities. I hope that this is the right time for the leaders who sworn-in today to make sure they meet their goals, warned Kagame.
I'm reminding you that we have to collaboratively work together for the development of the country. Rwanda cannot be changed by words alone, we need action and we need to work together efficiently.
He further elaborated that for Rwanda to achieve her goals, it requires a change of mindset, an understanding of challenges and solutions, productivity and efficiency.
Rwandans must be ready for the struggle that is required to reach our own goals. Staying where we are today requires no effort but achieving our goals will require hard work and constant fight, the President encouraged his countrymen.
Kagame said he would not accept leaders who continue to neglect their duties.
Where our country stands today and where we hope to reach does not allow any of us to work at same pace as those more advanced. The responsibility we have been given is not one to take for granted or lightly, he added.
Acha uropokaji.
Kiongozi mzuri anajua kupima anachosema.Kiongozi mzuri hutumia busara na diplomasia.Ni jambo la ajabu kama unapinga hizi qualities
Tena dada Monique achunge saana kama wametofautina anaweza kupotezwa!!! PK ni Muuwaji !!!
Hapa kuna utata. usishangae hawa mabosi ukaona wanaikimbia Rwanda kama ilivyotokea kwa Kayumba nyamwasa halafu PK akawakuta huko huko ukimbizini kuwatandika (shooting) walivyofanywa akina sendashonga na kayumba nyamwasa (though the latter survived) . Hii inawezekana ni mabifu tu ya siku nyingi ambayo alikuwa anayatafutia kijisababu (appropriate time) so that he can hit as usual. YOu know PK ni mzee wa "waiting for an appropriate time and hit". Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya hayajafanyika kwa manufaa ya taifa, bali manufaa ya kwake mwenyewe and some few people. Msishabikie uendeshwaji wa nchi kwa mkono wa chuma halafu mnaona kama hiyo effectiveness. Iweje ufukuze watu wote hao kwa ajili ya handling ya mkutano tu?? Siyo matatizo ya fikra hayo??
Sasa mkuu, hivi bado unaongelea mambo ya mwezi wa 6? Hivi kama ingekuwa huu ugomvi ungekuwa na mke wako ina maana kuwa mngekuwa bado hamlali kitanda kimoja? Don't be childish. Haya mambo sio mara ya kwanza wala sio mara ya mwisho. Kama wewe ni mwanasiasa u should know better. Lakini kwa kuangalia avatar yako wewe bado kijana. Safari bado ndefu kwako.
JK alisema "...do not be deceived by my smile, I am serious on issues" hadi leo sijajua ni issues gani yupo serious
??????? ............. Matusi yako wapi hapo ???......
garasa = dhaifu !!
Nitakupuuza kwa sababu kwa mentality hii huna cha kutufundisha sisi vijana pamoja na umri wako.