Kagame asitusha msiba wa Mandela

 
huyo jamaa kwa visasi mwisho, ni kati ya marais watakao ondolewa madarakani kwa kuuwawa. ni mbabe mno!

sasa ni Ubabe upi alioufanya hapo? au ulitaka na yeye atumie fedha kibao za nchi yake kwenda huko mara mbili kwa kutaka sifa na apewe na Mic kuhutubia. unatakiwa ujue yeye amejitenga na UBISHOO anaangalia maslahi ya nchi kwanza na ndio maana Rwanda inaendelea kwa kasi huku sisi madeni mzigo kila mwaka hayapungui.
 
 
Kwan yupo pale kwa ajir ya kutengeneza urafik na marais ama kuwatumikia warwanda? Cheki takwimu kiuchumi kati ya jk mwenye marafik wengi vs pk ambaye mnasema hana marafiki
 
Kwan yupo pale kwa ajir ya kutengeneza urafik na marais ama kuwatumikia warwanda? Cheki takwimu kiuchumi kati ya jk mwenye marafik wengi vs pk ambaye mnasema hana marafiki

Utwakwaza hawa waTz watakuja na hoja kua huwezi fananisha Rwanda na Tz ndio mwisho wao wa kufikiri Huyo jk wao kila siku kwa hao marafiki wanafiki hana Jipya PK ni Rais wa ukweli.
 
 
watusi ni hovyoooooooooo

Ndio wakina nan hao wanatokea wap hao Wivu tu kwa ka nchi Kadogo kama Rwanda shida wabongo mnapenda sifa nje kimataifa halafu kwenu hakuna kitu uvivu tu ndio umewajaa mambo ya fulan ana hela sijui katoa wap
 
 

kagame ni zaidi ya kisirani katika afrika, ona anavyochochea mauaji sudan kusini ili apate upenyo wa kuiba mafuta ya s. sudani, kagame ni zaidi ya mwalifu
 
Ndio wakina nan hao wanatokea wap hao Wivu tu kwa ka nchi Kadogo kama Rwanda shida wabongo mnapenda sifa nje kimataifa halafu kwenu hakuna kitu uvivu tu ndio umewajaa mambo ya fulan ana hela sijui katoa wap

wabongo hatutafuti sifa, kama ni sifa tunazo nyingi na hata kuzibeba hatuwezi, kuanzia ukombozi wa kusini mwa bara la afrika, na kudumisha amani ndani na nje ya dunia hii ikiwamo rwanda, Taifa pekee afrika lililoweka historia ya kumwadabisha raisi jeuri wa nchi nyingine na kuweka utawala wa kidemokrasia.
 
kagame ni zaidi ya kisirani katika afrika, ona anavyochochea mauaji sudan kusini ili apate upenyo wa kuiba mafuta ya s. sudani, kagame ni zaidi ya mwalifu

Ahaaaa kweli Kagame ni Noma naskia hata syria ana mikono yake kule
 

Sifa huku kwako kunaungua kudadeeek kweli w3 Ni soo...!!!!
Kukosa akili iga kwa marekani system ake
 
Kwan yupo pale kwa ajir ya kutengeneza urafik na marais ama kuwatumikia warwanda? Cheki takwimu kiuchumi kati ya jk mwenye marafik wengi vs pk ambaye mnasema hana marafiki

Rwanda hata hujui imefikia hapo ilipo kivipi.Rwanda haina uchumi ulioifanya ifikie hapo ilipo kama hujui tukuambie usichokijua.Rwanda imefikia hapo ilipo kwa fedha za rambirambi za Genocide.Baada ya genocide watu na nchi nyingi zilimwaga misaada mingi mno kama rambirambi kwa kuwahurumia wanyarwanda kwa waliyoyapata.

Ndio wengine wakaja kama wawekezaji,wasaidia bajeti ya Rwanda,wadau wa maendeleo n.k Lakini baada ya muda mfupi tu wanyarwanda wameanza jeuri hadi kukorofishana na jumuiya ya kimataifa. Hela za rambi rambi haziendelei kumwagika tena,wengi wakiwemo watoaji wakubwa wameshtuka.

Maendeleo hayo siri yake ni rambi rambi.Sasa hazipo tena subiri miaka mitano toka sasa halafu rudi hapa tena utuambie.Unaona tu mabarabara hujui siri yake nini.Hayo maendeleo si endelevu kwa kuwa yalijikita kwenye rambi rambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…