TRUCK DRIVER
Member
- Dec 2, 2013
- 94
- 23
Umetembelea nchi ya Rwanda au umetembelea Kigali? umefika vijijini wewe? Taabu watu wengi wakitembelea kigali wanarudi na kusema wametembelea Rwanda na kuona ina maendeleo si kelele hizo watarudi na kutukana hadi nchi kuwa Tanzania bure Kabisa.Rwanda sio KIGALI pekee.
Nimefika Rwanda familia kula milo miwili ni kawaida. Kutokunywa chai kwa kukosa uwezo wa kununua sukari ni kwaida. Mgeni usishangae ukiambiwa ujitegemee kwa chakula au uchangie chakula. Kifupi hakuna chochote cha maana dhiki tu.Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Mbabe wapi mnampa sifa za kijinga tu huyu mpu mba vu Kagame. Ilibidi mibomu ya JWTZ itue hadi Ikulu ya Rwanda,mtu gani hadi mungu kamnyima afya na kumwachia mimacho kama bundi.huyo jamaa kwa visasi mwisho, ni kati ya marais watakao ondolewa madarakani kwa kuuwawa. ni mbabe mno!
Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Mbabe wapi mnampa sifa za kijinga tu huyu mpu mba vu Kagame. Ilibidi mibomu ya JWTZ itue hadi Ikulu ya Rwanda,mtu gani hadi mungu kamnyima afya na kumwachia mimacho kama bundi.
Huyu jamaa wampige risasi mtu mbaya sana kwa maendeleo ya kanda ya ziwa
Nimefika Rwanda familia kula milo miwili ni kawaida. Kutokunywa chai kwa kukosa uwezo wa kununua sukari ni kwaida. Mgeni usishangae ukiambiwa ujitegemee kwa chakula au uchangie chakula. Kifupi hakuna chochote cha maana dhiki tu.
Hamia huko mkale nae bata ndg yangu,kitongoji kilingane na Tanzania yote?Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Nimefika Rwanda familia kula milo miwili ni kawaida. Kutokunywa chai kwa kukosa uwezo wa kununua sukari ni kwaida. Mgeni usishangae ukiambiwa ujitegemee kwa chakula au uchangie chakula. Kifupi hakuna chochote cha maana dhiki tu.
Yakweli bora umemwambi,watz wengi wanatabia ya kusifia vya watu na kudharau vyakwetu.Ukiwa Kigali utasema Rwanda inamaendeleo lkn nenda vijijini utaona,ni kweli kwamba kuna ardhi yenye rutuba lkn je kwa mwananchi wa kawaida hali ni hiyo tunayohubiriwa?
Hamia huko mkale nae bata ndg yangu,kitongoji kilingane na Tanzania yote?
Hakuna Vision yoyote. Kawaibia DRC madini na mbao, akajenga nchi yake.
Hamia huko mkale nae bata ndg yangu,kitongoji kilingane na Tanzania yote?
Umetembelea nchi ya Rwanda au umetembelea Kigali? umefika vijijini wewe? Taabu watu wengi wakitembelea kigali wanarudi na kusema wametembelea Rwanda na kuona ina maendeleo si kelele hizo watarudi na kutukana hadi nchi kuwa Tanzania bure Kabisa.Rwanda sio KIGALI pekee.[/QUOTE
safi sana kwa maoni yako,,, Ruanda ina ukubwa sawa na baadhi ya mkoa mmoja wa tz,, ina watu wasiozidi 6mil, mtu anataka kuicompare na tz.. sawa sawa na mtu atembelee mwanza mjini halafu atuambie eti tanzania imeendelea..
Ruanda hii watu wamesahau kuwa UN watu walikaa vikao ili kuisaidia misaada ya bure ili kuiokoa baada ya vita..
kuna watu kaka ni wavivu wa kufikili tanzania kubwa sana,,
huyo jamaa kwa visasi mwisho, ni kati ya marais watakao ondolewa madarakani kwa kuuwawa. ni mbabe mno!
wezi wengi na wauwaji wana nyumba nzuri tuu, heri umasikini wa Tanzania, kuliko utajiri na mikono iliyojaa damu, kwenda zao, aende Uganda akanywe kahawa
Nchi yake wapi, kajenga kigali tu kwa ajili ya kuonyesha wazungu, kwingine kote choka mbaya.
Alipambwa hivyo kwa sababu kipindi kile alisaidiwa na nchi nyingi kuanzia ki-iinteligencia kivita n.k na mataifa mengi.Sasa hivi wamembwaga sababu habebeki ukimbeba anatoa miguu kwenye mbeleko mgongoni.Ile miguu yake mgongoni ni mirefu ukimbeba ukamfunga na mbeleko inafika hadi ardhini inaburuzika.Waliokuwa wakimbeba wameamua kumtua kwa kuwa hatulii mgongoni na hana shukrani.Kagame anajulikana kama mbabe wa vita