Kwa mujibu ya taarifa ya habari ya Star TV leo saa mbili usiku, uongozi wa NCCR Mageuzi umetangaza kuwa Kafulila ni mwanachama halali wa chama hicho na si mbunge wa mahakama tena.Imeelezwa kwamba mgogoro umesuluhishwa nje ya mahakama
My Take: CHADEMA wanalo la kujifunza hapa kuhusiana na mgogoro wa Zitto.
My Take: CHADEMA wanalo la kujifunza hapa kuhusiana na mgogoro wa Zitto.