Kafulila si mbunge wa mahakama tena

Kafulila si mbunge wa mahakama tena

Natural

Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
49
Reaction score
12
Kwa mujibu ya taarifa ya habari ya Star TV leo saa mbili usiku, uongozi wa NCCR Mageuzi umetangaza kuwa Kafulila ni mwanachama halali wa chama hicho na si mbunge wa mahakama tena.Imeelezwa kwamba mgogoro umesuluhishwa nje ya mahakama

My Take: CHADEMA wanalo la kujifunza hapa kuhusiana na mgogoro wa Zitto.
 
Kwa mujibu ya taarifa ya habari ya Star TV leo saa mbili usiku, uongozi wa NCCR Mageuzi umetangaza kuwa Kafulila ni mwanachama halali wa chama hicho na si mbunge wa mahakama tena.Imeelezwa kwamba mgogoro umesuluhishwa nje ya mahakama

My Take: CHADEMA wanalo la kujifunza hapa kuhusiana na mgogoro wa Zitto.
NCCR Mageuzi wamekomaa sana kisiasa

Hiki ndio chama pekee cha upinzani ambacho kityakuja kushika dola hapo mbeleni.

Nawapongeza NCCR kwa kuonyesha uadilifu na ukomavu wa kisiasa.

Hongera David Kafulila jembe la mwisho wa reli
 
Mtaisifia sana NCCR MAGEUZI lakini ukweli nikuwa CHADEMA ndio chama cha upinzania kuibana serikali ya CCM vilivyo sana na ndo chama upinzani kilichoshinda hujuma dhidi ya mafisadivwa nchii hii. Mtaichukia sana lakini ukweli utabaki ktk historia. Na njue kabsa historia ndo itakiangamiza chama cha Mapinduzi.
 
Hata kama ni kama ni kauka niuvae lakini mwenyekiti wao Mbatia toka aingie bungeni ameonesha umakini wa hali ya juu na amepandisha hadhi ya chama chake. Nawapongeza kwa kweli.
 
Deka nakubaliana na wewe lkn ili CDM iendelee kubaki na hiyo hadhi yake shart ijitathmini na irekebishe mapungufu yake ambayo kwa sasa yanaonekana dhahiri.
 
NCCR lazima watakua makini maana waliokuwa wanaivuruga wote wapo cdm sasa hivi.
 
penye hamna, NCCR nacho chama cha upinzani??? ZZK aende wakamalizane huko, CHAMA CHA UPINZANI AMBACHO MWENYEKITI WAKE NI MTEULE MAALUM WA RAIS??? kweli upinzani au upunguani??? kwa lipi special alilonalo mbatia ateuliwe??? CCM-C
 
Teh teh, kafulila atakuwa amemwomba msamaha mbatia kuhusu kutaka uenyekiti wake!
 
NCCR Mageuzi wamekomaa sana kisiasa

Hiki ndio chama pekee cha upinzani ambacho kityakuja kushika dola hapo mbeleni.

Nawapongeza NCCR kwa kuonyesha uadilifu na ukomavu wa kisiasa.

Hongera David Kafulila jembe la mwisho wa reli

kama mlevi vile!!
 
NCCR Mageuzi wamekomaa sana kisiasa

Hiki ndio chama pekee cha upinzani ambacho kityakuja kushika dola hapo mbeleni.

Nawapongeza NCCR kwa kuonyesha uadilifu na ukomavu wa kisiasa.

Hongera David Kafulila jembe la mwisho wa reli

Acha unafiki wewe,na acha ndoto za kutafuta ulaji kwa siasa za kujipendekeza,kijana bado wewe find a real job kuliko majitaka ya magamba
 
Kwi kwi kwi kwi kwi nilisha sahau kuwa kunachama kinaitwa NCCR, usikute pesa ya kufanyia press wamepewa na kinana
 
Teh teh, kafulila atakuwa amemwomba msamaha mbatia kuhusu kutaka uenyekiti wake!

Kafulila alimwaga chozi miguuni kwa Mbatia akisihi asamehewe.Jambo hilo la kujishusha na kuomba msamaha wangelifanya watuhumiwa wote wa usaliti sidhani kama CHADEMA wasingewasamehe.Msamaha huo umempata Kafulila kwa sababu busara zake zilimtuma aombe radhi jambo ambalo linakubalika sana!Siyo mtu kibri,majivuno na kashfa kibao halafu mnasema eti tumsamehe itakuwa kituko cha pekee na udhaifu mkubwa.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
NCCR Mageuzi wamekomaa sana kisiasa

Hiki ndio chama pekee cha upinzani ambacho kityakuja kushika dola hapo mbeleni.

Nawapongeza NCCR kwa kuonyesha uadilifu na ukomavu wa kisiasa.

Hongera David Kafulila jembe la mwisho wa reli

Duuuu.Kwa hiyo 2015 CCM out!!? Inawezekana wewe ni nabii
 
Chris Lukosi usisahau kwamba Kafulila alikuwa mbunge wa mahakama for sometime before huo usuluhishi wa nje ya mahakama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom