Kafulila: Ngoma ya Escrow bado mbichi sana

Kafulila: Ngoma ya Escrow bado mbichi sana

Ratio mlishalishwa maneno ya uongo na kina Zitto Kabwe na mkapitisha hukumu. Kama hamkubaliani na uchunguzi huru wa Kamati ya maadili na Tume ya uchunguzi zilizomsafisha Ndugu Maswi na Prof Muhongo nendeni mahakamani.

Ipo siku hutakaa uje tena huku, kabda ubadili I'd yako!!
 
Jk muungwana sana... soon Chenge nae atatunukiwa nishani ya ushujaa....

Mhongo, Nchimbi, Kagasheki, Maswi, na Vuai Nahodha WOTE wamesafishwa na ni ruksa kwao kuwania au kuteuliwa nafasi yoyote ile.

Pia alisema kujiuzuru kwao ni kwasababu za kisiasa tu!
Ombeni kaongeza pia ajira mpya ya Maswi iko mikononi mwa JK.

Hii ndio awamu JK bana hutaki una andamana.
Source: Daily News ya leo
 
Wanasiasa uchwara katika ubora wao.
Wanaonyesha jinsi gani walivyo vibaraka wa wazungu!

Ni wapi hawa wanasiasa uchwara? ni haohao wanaolala na kuamkia wakiomba omba marekani kuchakutwa ama ni haohao wanaozorosha sector ya afya na wao wakajitibu ughaibuni hata pale wanapohitaji kujitibu uvimbe ama majipu?
 
Ni wapi hawa wanasiasa uchwara? ni haohao wanaolala na kuamkia wakiomba omba marekani kuchakutwa ama ni haohao wanaozorosha sector ya afya na wao wakajitibu ughaibuni hata pale wanapohitaji kujitibu uvimbe ama majipu?

hapo umenena mkuu
 
Ipo siku hutakaa uje tena huku, kabda ubadili I'd yako!!
Wacha vitisho ndugu. Enzi za vitisho tuliziacha kwenye mfumo wa chama kimoja. Wewe kama una hoja ziweke hadharani utushawishi kwa nguvu za hoja zako.
 
Jamaa hawana aibu hawa..., yaani macho makavu kabisa!
Komaa nao Kafulila..., tuko nyuma yako.
 
Inawezekana maswi ndio kiini cha yote name inawezekana ana siri nzito akitolewa na maccm yatang'ooka.
 
october, 2015 ccm itakuwa kinaitwa rasmi CHAMA CHA MAITI-CCM
 
Serikali ya ccm ni zaidi ya Ebola hapa nchini,,
 
Back
Top Bottom