Kafulila: Ngoma ya Escrow bado mbichi sana

Kafulila: Ngoma ya Escrow bado mbichi sana

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,227
Reaction score
9,356
leo katika mkutano wake wa mjini kahama david kafulila amefunguka na kusema ngoma ya escrow bado mbichi sana,juzi alikutana na taasisi za kimataifa kutoka uingereza wakijadiliana namna ya kuhakikisha kila aliehusika na kashfa ya escrow ajute kuzaliwa.pia amepinga kitendo cha ikulu kumsafisha maswi akisema haiwezekani kesi ya nyani umpe ngedere
 
Ccm nivichaa tunaodhan wanaakili ilhali hamna kitu.
 
Ukoo wa panya
 

Attachments

  • 1431186396633.jpg
    1431186396633.jpg
    36.2 KB · Views: 1,587
Haiwezekani muhongo akawajibishwa kwa kuhusika na Escrow halafu katibu wake mkuu Maswi aonekane hana hatia!! Hapa lazima kuna walakini katika kutafuta haki kwa wahusika.
 
Tumbili analalamika kesi ya nyani imepelekwa kwa ngedere
 
CCM ya wakati huu clearly haiko kwa maslahi ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Wanatapanya Rasilimali za Taifa as if hakuna tena maisha baada ya wao kuondoka, Wanaua wanyama as if ndo mwisho wa Dunia, Wanapitisha Sheria za Kuwakomoa Wananchi as if hawataki kura zao... ILA sishangai sana kwa sasa kwani kuna wakati Walimhujumu Sioi Sumari kwaajili ya Kumkomoa Edward Lowassa!!! Something is very Wrong kwa hawa viongozi wa Sasa wenye kuwadunda wazee waasisi wa Chama..
 
Ratio mlishalishwa maneno ya uongo na kina Zitto Kabwe na mkapitisha hukumu. Kama hamkubaliani na uchunguzi huru wa Kamati ya maadili na Tume ya uchunguzi zilizomsafisha Ndugu Maswi na Prof Muhongo nendeni mahakamani.
 
CCM ya wakati huu clearly haiko kwa maslahi ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Wanatapanya Rasilimali za Taifa as if hakuna tena maisha baada ya wao kuondoka, Wanaua wanyama as if ndo mwisho wa Dunia, Wanapitisha Sheria za Kuwakomoa Wananchi as if hawataki kura zao... ILA sishangai sana kwa sasa kwani kuna wakati Walimhujumu Sioi Sumari kwaajili ya Kumkomoa Edward Lowassa!!! Something is very Wrong kwa hawa viongozi wa Sasa wenye kuwadunda wazee waasisi wa Chama..

Acheni kulalamika, watupeni kapuni dawa ni kutowachagua
 
Haiwezekani muhongo akawajibishwa kwa kuhusika na Escrow halafu katibu wake mkuu Maswi aonekane hana hatia!! Hapa lazima kuna walakini katika kutafuta haki kwa wahusika.

Wote ni wahusika,lkn ndio hivyo tena wamesafishwa sasa tungoje mkulu akirudi labda anaweza kuwarudishia nafasi zao
 
Ratio mlishalishwa maneno ya uongo na kina Zitto Kabwe na mkapitisha hukumu. Kama hamkubaliani na uchunguzi huru wa Kamati ya maadili na Tume ya uchunguzi zilizomsafisha Ndugu Maswi na Prof Muhongo nendeni mahakamani.

Lazima watafikishwa kwa pilato
 
nimefurahia na kucheka pale muda wa kuhutubia ulhpokuwa unakalibia kuisha,asikali kumuonyesha kwa ishara kafulira muda umekwisha ndipo lema aliposimama na kuwa bodigadi wake.
 
Wanasiasa uchwara katika ubora wao.
Wanaonyesha jinsi gani walivyo vibaraka wa wazungu!
 
Haiwezekani muhongo akawajibishwa kwa kuhusika na Escrow halafu katibu wake mkuu Maswi aonekane hana hatia!! Hapa lazima kuna walakini katika kutafuta haki kwa wahusika.

Mhongo, Nchimbi, Kagasheki, Maswi, na Vuai Nahodha WOTE wamesafishwa na ni ruksa kwao kuwania au kuteuliwa nafasi yoyote ile.

Pia alisema kujiuzuru kwao ni kwasababu za kisiasa tu!
Ombeni kaongeza pia ajira mpya ya Maswi iko mikononi mwa JK.

Hii ndio awamu JK bana hutaki una andamana.
Source: Daily News ya leo
 
Hakuna wa kubisha,Rais ndio mkuu wa nchi,tupende tusipende akisema yeye amesema lazima tukubali.Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa mbele ya haki mutaulizwa mulifanya nini kutetea haki.
 
CCM ya wakati huu clearly haiko kwa maslahi ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Wanatapanya Rasilimali za Taifa as if hakuna tena maisha baada ya wao kuondoka, Wanaua wanyama as if ndo mwisho wa Dunia, Wanapitisha Sheria za Kuwakomoa Wananchi as if hawataki kura zao... ILA sishangai sana kwa sasa kwani kuna wakati Walimhujumu Sioi Sumari kwaajili ya Kumkomoa Edward Lowassa!!! Something is very Wrong kwa hawa viongozi wa Sasa wenye kuwadunda wazee waasisi wa Chama..

unategemea mini kama dili limepigiwa shemeji mwenyewe.
 
Back
Top Bottom