Kafulila kuendelea na ubunge

katika harakati za kabwe kutaka kujisogeza pale magogoni.amejikuta anaangukia pua baada ya kudanganya waandishi nasi wadau hapa jamvini eti kafulila ameruhusiwa na mahakama kuendelea na kazi za kibunge mpaka kesi ya msingi isomwe.Dr mvungi amewahabarisha waandishi ukweli wakabaki wanashangaa na kujiuliza wamfanye ni kabwe kwa kuwadhalili,inshort hakuna taarifa ya mahakama inayosema alivyotuambia kabwe juu za mshirika wake.na kabwe jitazame utashusha heshima yako kwa jamii kwa kutaka umarufu kwa hila
Kqweli wenzetu mnafikiria mbali sana. Hivi ile post ya Zitto kwenye face book yake kuhusu Kinjunction ya kafulila nayo ni moja ya harakati zake kuelekea Ikulu!!!!!!!c Mh!
 
dr mvungi amesema katika injuction ya kafulila hakuna popote alipoomba mahakama itengue uamuzi wa nccr bali kaomba uongozi wa nccr usimjadili yeye mpaka mahakama iamue vinginevo. Hapa mi naona kafulila kaamua kumtumia mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa 2 kama wakili. Ni ajabu kwani kaomba mahakama ikataze nccr kumjadili yeye wakati nccr walimpa siku 14 akate rufaa,sasa ina maana kafulila pia kajifungia rufaa ndani ya chama pamoja na wenzie,sasa mahakama ikija kuruhusu nccr kujadili tayari jamaa atakuwa amep
 
Dr. Mvungi nae katoa maoni yake anavoifahamu sheria lakini inawezekana naye hayuko sahihi (japo hujasema alichosema). Mwulize Mbowe alivodanganywa na Tundu Lissu akijidai anatafsiri sheria kuwa Mbowe hawezi kamatwa popote, kesho yake jamaa kaingia ndani. Hawa sa nyingine ni wasanii, we tulia tutaona nani yuko sahihi
 
kwa nilivyoelewa Dr Mvungi Kawachanganya Vilaza! Hakuna jipya! Hivi nikisema "Mimi na Wewe" au "Wewe na Mimi" kuna tofauti enhe?
 
katika harakati za kabwe kutaka kujisogeza pale magogoni.amejikuta anaangukia pua baada ya kudanganya waandishi nasi wadau hapa jamvini eti kafulila ameruhusiwa na mahakama kuendelea na kazi za kibunge mpaka kesi ya msingi isomwe.Dr mvungi amewahabarisha waandishi ukweli wakabaki wanashangaa na kujiuliza wamfanye ni kabwe kwa kuwadhalili,inshort hakuna taarifa ya mahakama inayosema alivyotuambia kabwe juu za mshirika wake.na kabwe jitazame utashusha heshima yako kwa jamii kwa kutaka umarufu kwa hila

Sasa ukweli ni upi? Mbona hujatuelezea?
 
wadau mbona chanel ten wamerusha?.wandishi wetu hawapendi kufanya tafiti,wanasikiliza aliyewaita tu!.gazeti la habari leo waombe radhi
 
Mvungi njaa kali 2..anajifanya anatetea wanyonge wakati pale udsm ali2toza buku 5 kwa ajili ya muhuri wake wa uwakili kwa ajiri ya fomu za mkopo,so lazima ajipendeze kwa Mbatia
 
katika harakati za kabwe kutaka kujisogeza pale magogoni.amejikuta anaangukia pua baada ya kudanganya waandishi nasi wadau hapa jamvini eti kafulila ameruhusiwa na mahakama kuendelea na kazi za kibunge mpaka kesi ya msingi isomwe.Dr mvungi amewahabarisha waandishi ukweli wakabaki wanashangaa na kujiuliza wamfanye ni kabwe kwa kuwadhalili,inshort hakuna taarifa ya mahakama inayosema alivyotuambia kabwe juu za mshirika wake.na kabwe jitazame utashusha heshima yako kwa jamii kwa kutaka umarufu kwa hila

Kimsingi kauli ya Dr Mvungi imerushwa kama short clip kwenye Channel Ten news bulletin na haikujitosheleza sana kuweza kuielewa kama sio mwanachama wa NCCR au mwenye ufahamu wa katiba ya NCCR...lakini pia nadhani inatakiwa tafsiri iliyoshiba ya hili kabla ya kushangilia kuwa Zitto alichemka...kimsingi mimi sikubaliana na hizi harakati za Zitto na Kafulila,lakini siwezi changia kwa uhuru hoja kabla sijapata tafsiri iliyojitosheleza kwa hili.....
 
Nadhani Mh Zito yupo humu na atattupa yaliyojiri,maana unaweza unga mkono ama kuto unga mkono kumbe Mh akaja na jibu tofauti,
Karibu Mh umalize utata huu
 
nyie kwani hamumjui zitto? Zitto ni muongo wa kutupwa kwani alikana kuhusika na migogoro ndani ya NCCR pamoja na kafulila leo hii huyohuyo Zitto anakuwa msemaji wa kafulila. ni nafasi nyingine ya kumfahamu Zitto kabwe kwa undani
 
Back
Top Bottom