Kafulila kuendelea na ubunge

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
750
Ni amri ya Mahakama. Habari ndio hiyo!

SOURCE: http://twitter.com/#!/zittokabwe

===================

[URL="https://www.facebook.com/zittokabwe"]Zitto Kabwe



Kafulila kuendelea na Ubunge..... Mahakama Kuu imetoa amri muda mfupi uliopita.

Ataendelea kuwa Mbunge mpaka hapo kesi ya msingi itakapokwisha. Mungu yupo pamoja na wanyonge siku zote.
[/URL]

Kutoka Gazeti la Mwananchi:

KAFULILA aichanganta NCCR-Mageuzi

 
Ataendelea kuwa Mbunge mpaka hapo kesi ya msingi itakapokwisha.
 
Habari za kijiweni!
Kama ni gazeti basi habari imeandikwa "Na Mwandishi wetu"
 
Source nimeweka hapo juu.

Mkuu, hii ni amri ya muda pengine shauri la Kafulia likisubiriwa kutolewa uamuzi ,au mahakama imebatilisha kikao cha NCCR kilichomvua David ubunge? Hili zoezi lime-backfire. Badala ya kumjenga Mbatia, hata kale ka base kadogo alikokuwa nako NCCR kameondoka.
 

mahakama imeamuru aendelee na Ubunge mpaka kesi ya msingi (kuondolewa uanachama bila kufuata taratibu) itakapokwisha
 
[h=6]Zitto Kabwe
[/h][h=6]Kafulila kuendelea na Ubunge..... Mahakama Kuu imetoa amri muda mfupi uliopita.

Ataendelea kuwa Mbunge mpaka hapo kesi ya msingi itakapokwisha. Mungu yupo pamoja na wanyonge siku zote.[/h]
 
NCCR bado hawajaiandikia barua Bunge, wakiandikia bunge barua kuhusu suala hilo basi hana ubunge
 
Na hii ya kwenda mahakamani ndiyo hatua stahiki na sahihi badala ya ile ya kumlamba miguu Mbatia. Kila la heri David, justice'll prevail.
 
Zitto Zuberi Kabwe@


@AnnieTANZANIA mahakama imeamuru aendelee na Ubunge mpaka kesi ya msingi (kuondolewa uanachama bila kufuata taratibu) itakapokwisha

4 minutes ago

huu uamuzi wa mahakama haujakaa vizuri

mimi nilifikiri mahakama ingeamuru kafulila aendelee kuwa mwanachama wa nccr mpaka kesi ya msingi ya kuvuliwa uanachama bila kufuata utaratibu itakapomalizika, kwanini mahakama ime rush kwenye ku withold ubunge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…