Kafulila: CAG amekwepa jukumu lake kwa kushindwa kuweka msingi wa zilipo sh 1.5 trilioni

Kupitia kipindi cha Clouds 360 Kafulila akihojiwa kwa njia ya simu amesema CAG alipaswa kusema ni wapi alipoona upungufu wa hizo sh 1.5 tril.

Kafulila anasema CAG ameamua au kudanganya ama kuwachanganya wananchi kwa kusema tu kuwa hizo fedha zilikusanywa halafu hazijulikani zilipo huu ni upuuzi.

CAG alitakiwa aende mbali kuelezea ni wapi fedha hizo zimepotelea na kamwe hilo siyo jukumu la bunge.

Chanzo: Clouds tv!
ahahahaaaaaaaaaaaaa Tanzania yangu wenye mamlaka nchi imewashinda tutaambiwa CAG anatumika na chadema
 
Nyie ndio watu huwa wanawashangaa mliopo upende huo namna jema na kwenu kila kitu kinachofanywa na Serikali ni hovyo lakini cha CHADEMA ni poa tu hata kama mnapigwa fedha na mkiwa mnaendelea kupanga Ofisi.
Huu uzi unahusu upigaji wa 1.5Tril uliofanywa na Nyinyi,
Ukitaka wa Hela za Chadema fungulia uzi wake
 
Kafulila kweli kweli ccm imekulevya vibaya huku hivi kwenye escrow hadi hukahitwa tumbili kumbuka hilo, amepewa sh ngapi huyu mtu hadi kawa hivi
 
Huyu si jana alikuwa akiwatete amakweli mnafiki ni mnafiki tu.

CCM watasema yote na baadaye itakuwa kama Escow.
 
HAWA MAODITA WANANISHANGAZA. MFANO WANAKUTA GARI LIMENUNULIWA WANALIONA ILA HAJAONA DELIVERY NOTE AU RISITI TU. HUNDI ILIYOLIPIWA LABDA NAYO WAMEIONAA NA KWENYE LEJA IMEWEKWA SASA UNAJUA WATARPOTI KWA NI HASARA KWA SERIKALI!!! HAYO TU NDIO MUELEWE HIYO 1.5 TR YAWEZA KUWA NYINGI NI KTK KUNDI HILI INGEBIDI WAWEKE BAYANA NI NINI KIMEKOSEKANA .
Unaamini kwamba katika awamu hii inayopiga vita ufisadi makosa kama hayo yanaweza kutokea na kusababisha kashfa ya upotevu ambao unaweka historia ya kupita upotevu wa awamu zote zilizotangulia?
 
Ni sawa na wakati wa pesa za Escrow ripoti ya CAG iliacha maswali kuwa pesa zilikuwa za serikali au la , Kafulila ana pointi CAG alitakiwa aende ndani zaidi tujue kama pesa zimeliwa waliokula ni wakina nani sio kuishia kusema hazijulikani ziko wapi
Fedha zikishaliwa sio kazi ya CAG tena,yeye ni mkaguzi kutokana na vielelezo ulivyomletea mezani.sasa yanayoendelea baada ya hapo ndio unaona kuna watendaji wanasimamishwa kazi kupisha uchunguzi hiyo inakuwa sio kazi ya CAG.
 
Mkiambiwa siasa ni mbaya kuliko ukahaba mkubali.

Nilishawaasa wanangu, na ntaendelea kufanya hivyo siku za uhai wangu kama wataweza, wasijiingize kwenye siasa.
Huo ni ushauri mbaya. Washauri wajekuwa wanasiasa wema wenye kujali maslahi ya nchi na raia wote.
Bila kufanya hivyo tutajapata viongozi wasio jali
 
Tanzania ina takribani vijiji 16,000 nchi nzima. Nakumbuka wakati wa kampeni rais Magufuli aliahidi kugawa milioni 50 kwa kila kijiji, baada ya miaka miwili madarakani alikuja kukaririwa akisema serikali haina pesa za kugawa bure.

Hizi pesa zaidi ya trn 1.5 zilizopotea yaani matumizi yake hayajulikani serikali ingeweza kugawa million 100 kwa kila kijiji.

Kupanga ni kuchagua lkn wao wamechagua kuziweka kwenye mifuko ya watu binafisi halafu wanajiita ni wazalendo wanaopambana na ufisadi.
Siku hizi msemo wa vi-wonder mmeusahau !
 
Naona unakoelekea sasa siko!

Kivipi fafanua, mana akama ni vitisho sahahu huwezi nitisha kijana.

Ila turudi kwenye hoja unajitoa ufahamu au unasahahu CAG akilalamika kunyimwa Budget na kushindwa majukumu yake?
nilikuleete huzi za humu na magazeti au ?

Najua hata mwaka huu Mtampunguzia ili ashindwe kabisa kufanya kazi yake ipasavyo.

Uzuri wake huyo ni zaidi ya JAJI MKUU huwezi mtoa maishaaa!
 
Tuko huku kwenye 1.5 trillion... Au unaweza sema bilioni 1,500
UKILINGANISHA NA CHADEMA bil.7HATA ASILIMIA 1 HAIFIKII.

Billion 7 zilizoliwa na chadema kwa kununua helkopita hewa ni sawa na bajeti nzima ya wizara ya maji na chenji inabaki
 
Kwa wasiomjua Kafulila ,ni kwamba anachokifanya ni kupigana vita na ZZK ,na vita hii hajaiaza leo mm na ushahidi wa vita kwa sehemu ya vita yao.
Alipokuwa upinzani alikuwa akimpiga ZZK kupitia vijana mbalimbali nikiwepo mm mwenyewe toka ZZK alipohamia ACT
Mkitembelea ukurasa wangu mtayakuta maandiko mengi yanayompiga ZZT
 
Back
Top Bottom