Kafulila azichana hoja za Zitto kuhusu uchumi wa kati

JOYOPAPASI

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
250
408
JICHO LA PILI NA HOJA NANE KUHUSU UKOSOAJI REKODI YA UCHUMI WA KATI

Na David KAFULILA
Julai 5, 2020- SONGWE


Tangu Julai1,2020, Benki ya dunia itangaze Tanzania kuwa Taifa lenye Uchumi wa kati miaka 5 kabla ya mwaka 2025, mengi yamesemwa!

Naomba nisitumie makala hii kuwajibu lakini itoshe nianze kwa kuhitimisha kwamba kwa mapinduzi makubwa ya nchi hii chini ya JPM nisawa na kusema JPM anashindana na rekodi yake mwenyewe kama nitakavyoeleza miaka 5 ya mapigo 8 ya JPM..

#Pigo la kwanza ni dunia kutambua kwamba Tanzania chini ya JPM sio ileile!

Uchumi wa kati unamaanisha tumefuzu kujitegemea zaidi. Hii ni hatua muhimu kuelekea kuliondoa Taifa letu kwenye kundi la Mataifa yenye uchumi duni ambayo hupewa kipaumbele cha misaada na mikopo nafuu.

Uongozi wake kusomeka katika sura ya unyonge! Hivyo hili ni pigo la kwanza kwa ambao walipenda kuaminisha Umma kuwa Tanzania ni ileile.

Benki ya dunia wamejibu kwamba Tanzania ya awamu ya 5 sio ileile kwani sasa ipo uchumi wa kati!

#Pili ni hoja kwamba mikopo nafuu itapungua kwakuwa tumeingia uchumi wa kati.

Ingawa ni kweli kwamba mikopo nafuu itapungua lakini athari yake ni ndogo kulinganisha na faida ya kupanuka kwa wigo wa kukopa mikopo ya kibiashara ambayo kawaida haiambatani na masharti ya kikoloni.

Ukweli huu unathibitishwa na hoja mbili, kwanza ni kiasi cha misaada na mikopo hiyo kuendelea kuwa sehemu ndogo sana ya mapato ya yetu!

Tazama utekelezaji wa bajeti ya mwaka jana 2019/20, ambapo katika mapato yote yaliyofikia Trilioni 26 kufikia Mwezi Aprili2020, kiasi kilichotokana na misaada na mikopo nafuu kilikuwa Trilioni 2.4 sawa na asilimia 9% tu ya Trilioni26.

Hivyo kupungua kwa misaada na mikopo nafuu athari yake ni ndogo sana kwakuwa mwenendo(trend) wa kupungua kwa misaada na mikopo nafuu upo hivyo kwa muda sasa!

Zaidi kutanuka kwa upatikanaji wa mikopo ya kibiashara ambayo siku zote haiambatani na masharti ya kikoloni ni faida na zaidi ni heshima hasa kwa Serikali kama ya JPM iliyojizatiti kujenga msuli wa kujitegemea.

Serikali ya JPM inajenga msuli wa kujitegemea kwa uwekezaji mkubwa sekta ya miundombinu ya kiuchumi ya usafiri, ujenzi na umeme.

Sanjari na hayo, uwekezaji mkubwa kwenye rasilimali watu kama inavyonekana katika sekta za Elimu, Maji na Afya.

#Tatu, Hoja kwamba kipimo cha ongezeko la pato la mtu (per capital income) sio uhalisia katika maisha halisi. Hoja hii ni sahihi kwa mtazamo wa jumla katika taaluma ya uchumi .

Hii ni kwasababu inawezekana uchumi wa nchi husika sio jumuifu au sehemu kubwa ya kinachozalishwa kinaishia akaunti za mafisadi nje au matumizi makubwa yanafanyika kwenye mambo yasio na faida sana kwa wananchi wake.

Mfano ni Marekani inavyotumia sehemu kubwa ya pato lake kwenye vita badala ya kuboresha maisha ya watu wake na hivyo kufanya kuwa Taifa la saba duniani kwa ubora wa maisha ingawa linaongoza kwa ukubwa wa uchumi duniani ikiwa linamiliki asilimia 20% ya uchumi wa dunia.

Hata hivyo hoja hii kwa Tanzania chini ya JPM haibebi sura hiyo kwasababu kwanza, Tanzania ndio nchi inayongoza kwa uchumi jumuifu Afrika kusini Katikati nchi za Africa zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mantiki hii inamaanisha kwamba tofauti ya aliyenacho na asiyenacho ni ndogo( Ripoti ya World Economic Forum 2018).

Zaidi Tanzania inafanya vizuri sana duniani katika usimamizi wa matumizi ya Serikali ndio maana ikatajwa kuwa Taifa la 28 kati ya nchi 186 duniani kwa udhibiti wa matumizi ikiziacha mbali Kenya 70, Uganda100, Msumbiji 69, Malawi 106, Botswana 37 ( rejea ripoti ya WEF: Executive Opinion Survey 2019).

Nchi yenye picha hii ni wazi tafsiri ya ongezeko la pato la mtu inakuwa na maana pana kwa watu wengi kama nilivyoeleza .

# Nne, Hoja kwamba hakuna uwiano wa kiasi cha fedha za bajeti kilichotumika ndani ya miaka5 kulinganisha na ongezeko la pato la mtu mmoja mmoja.

Hoja hii ina makengeza kwasababu matokeo ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa( SGR), Mradi wa umeme wa Stirglers Gorge hata uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya Elimu, kufufua shirika la ndege, meli na bandari, matokeo yake sio ya muda mfupi (payback period).

Kwenye Sayansi ya uwekezaji, muda wa kurejesha ulichowekeza na hata faida vinategemea aina ya uwekezaji.

Ukiwekeza shamba la mchicha unaweza kurejesha mapato ndani ya mwezi. Lakin ukiwekeza shamba la miti utarejesha baada ya miaka10 na kuendelea lakin umejenga msingi endelevu.

Sasa pengine kuna watu walitamani nchi hii tuijenge kwa falsafa ya uwekezaji kwenye mchicha. Hakuna nchi iliendelea kwa falsafa hiyo. Iwe Vietnam, Malaysia, Korea kusini, Singapore, nk.

Mawazo ya namna hii yakipewa nafasi kwa kinachoitwa demokrasia tunaweza kugeuka Taifa la wachuuzi kwa nusu karne nyingine. Haya ni ya kukemea!

#Tano ni hoja kwamba mafanikio ya kufikia uchumi wa kati sio ya JPM kwani watangulizi wake walifanya pakubwa.

Hoja hii ina mapungufu ya aina mbili, kwanza kumekuwa na hoja kwa muda mrefu binafsi nakubaliana nayo;

kwamba nchi yetu ilichelewa sana kwani nchi tulizokuwa sambamba nazo kiuchumi hadi kufikia miaka ya 1990, nchi kama vietnam ( ilikuwa na uchumi wa $6.5bn sisi 4.5bn mwaka 1990- kwa ripoti za Bank ya dunia), leo zimeshatupita zaidi ya mara nne( Vietnam $260bn wakati Tanzania $63bn).

Takwimu hizi zinathibitisha kwamba tulikotoka hatukufanya vema. Mimi ninaamini miongo kadhaa tulipoteza na ndio siri ya kuachwa.

Lakini nina amini kwamba kwa msukumo mkubwa tulionao sasa katika kujenga miundombinu ya uchukuzi na umeme, niwazi haitachukua miongo mingi kabla ya Taifa hili kucheza ligi moja na waliotuacha tulipozubaa.

Mapinduzi anayofanya JPM leo walianza kufanya wenzetu miaka 30 nyuma, sisi tulibaki na mawazo bila kuyatekeleza ndio siri ya kuachwa.

Sasa leo yanatekelezwa anakuja mtu na mawazo yaleyale ya kujenga uchumi kwa falsafa mchicha kama nilivoeleza hapo juu.

Mapungufu ya pili ya hoja hii ni wivu tu wakisiasa kama vile mtu aseme mfungaji fulani asingefunga kama beki asingeanzisha pasi ikaenda katikati ndipo akapewa na kisha kufunga.

Sipuuzi mchango wa awamu zilizotangulia lakini sioni kwanini kasi kubwa ya msukumo huu wa kulazimisha sasa!Mzee Mwinyi, Rais mstaafu alipata kusema kila zama na kitabu chake.

# Sita:mfano wa kutumia uamuzi wa kununua ndege 11 kwamba hauna tija kwenye uchumi ni ukosoaji uliokosa nguvu kwa muda mrefu. Nchi hii imezungumza kwa miongo kadhaa kuhusu haja ya kufufua sekta ya uchukuzi ikiwemo shirika la ndege,usafiri wa maji na reli.

Tafiti zimeonesha mara kadhaa kwamba kwa bahati ya nafasi ya Tanzania kijiografia, tukiwekeza kwenye sekta ya uchukuzi kikamilifu, mchango wake utakuwa mkubwa sana kuliko sekta yoyote ( Rejea Poverty & Human Development Report 2008).

Kamati ya Bunge ya Miundombinu, katika Bunge la 11 ambalo nilikuwemo, walitoa taarifa na kurudia mara kwa mara kwamba zaidi ya asilimia 60% ya pesa anayoitumia mtalii inaishia kwenye usafiri wa ndege.

Sote tunajua Utalii ni sekta kinara kwa fedha za kigeni nchini. Sote tunaelewa umuhimu wa fedha za kigeni kwa dunia ya kisasa iliyounganishwa (modern globalized world).

Kwa upekee wa nafasi ya Tanzania kijiografia Africa, maamuzi ya kufufua Shirika la ndege isingepaswa kuwa hoja ya kubishaniwa.

Pengine hoja ingekuwa tunalifufuaje. Kwa mfano uamuzi wa kukodi ndege mbovu kwa dola milioni43, ndege ambayo ilifanya kazi miezi 6 na miezi 37 ikawa gereji haikuwa mkakati sahihi (rejea CAG ripoti ya Aprili 2020).

Lakini mkakati wasasa wa JPM kutumia dola 32m kununua bombardier mpya , kiasi ambacho ni pungufu ya tulichotumia kukodi ndege mbovu huko tulikotoka, ni mkakati ambao kila mwenye mapenzi ya nchi hii ingetosha kupongeza na kukiri kwamba tumetoka mbali!

# Saba: Hoja kwamba Serikali ina uhaba wa mafanikio ndio sababu imefurahia taarifa ya Benki ya dunia kuipandisha Tanzania daraja kuingia kundi la uchumi wa kati ni upofu wenye msukumo wa kisiasa.

Serikali ya awamu ya tano inarekodi kubwa zisizobishaniwa ( undisputeble) kitaifa na kimataifa. Rekodi ambazo kila anaejua kinachoendelea duniani anazifahamu.

Rekodi za ndani kama kugharamia elimu bure, kuvunja rekodi ya mapato na mauzo ya nje sekta ya madini, rekodi ya kuongeza kusambaza umeme vijijini zaidi ya vijiji 7000 ndani ya miaka 5 ( 2015-2020) na kufikia vijiji 9300 kutoka vijiji 2018 mwaka 2015 ni rekodi.

Rekodi ya kuongeza usambazaji maji vijijini kutoka asilimia 47% mwaka 2015 mpaka asilimia71% ni rekodi.

Rekodi ya kujenga hospitali 10 za rufaa za mikoa, kuongeza fedha za dawa na vifaa tiba kwa zaidi ya asilimia 700% kutoka billioni 31 mwaka 2015 mpaka billioni 269 ni rekodi.

Kifupi kasi ya kupungua kwa umasikini wa huduma ni kubwa sana. Tulikotoka gharama za huduma za afya zilikuwa kubwa maradufu kwa sababu sehemu kubwa ya gharama ilihusu kuifikia huduma yenyewe kuliko gharama halisi ya huduma kutokana na umbali wa kufikia na zaidi upatikanaji dawa.

Iliwezekana kutumia elfu 80 kwajili ya usafiri , Malazi na chakula kuifuata huduma ambayo unailipia elfu20.

Natamani wachumi zaidi wafanye Tafiti eneo hili la namna umasikini wa huduma ulivyopungua kutokana na ukaribu wa vituo vya kutolea huduma na ongezeko la upatikanaji wa huduma yenyewe kwa maana ya dawa.

Ujenzi wa reli, Meli, Shirika la ndege, mradi mkubwa wa umeme sanjari na kuliondoa Shirika la Tanesco kwenye mikataba mibovu hata kulifanya lijitegemee zote ni rekodi.

Tanesco kwa miaka 30 ilikuwa jini nyonyadamu kwa uchumi wa Tanzania. Kuna wakati gharama za kuliendesha ililingana na Bajeti ya Zanzibar kwa mikataba ya 'kijangili'. Kufyekwa mikataba ya hovyo na udhibiti ni mapinduzi makubwa.

Sijui mtu anayesema Serikali hii inauhaba wa rekodi alitaka rekodi zipi zaidi ndani ya miaka5.

Hizi nimetaja chache tena za ndani , lakini kimataifa, JPM ameshatengeneza rekodi lukuki kama nilivyoeleza wiki iliyopita kwenye makala yangu ya JPM NA REKODI SABA KIMATAIFA.

# Nane. Nihitimishe kwakusema kwamba nchi hii bado inasukwa. Ndani ya miaka5 , JPM ameisuka pakubwa sana. A Kauli mbiu za kisiasa za "Kazi na Bata" hazitofautiani sana na mzaha wa Mzee Cheyo mwaka 1995 ya KUJAZA WATU MAPESA.

IMG-20200706-WA0097.jpg
 
JICHO LA PILI NA HOJA NANE KUHUSU UKOSOAJI REKODI YA UCHUMI WA KATI

Na David KAFULILA
Julai 5, 2020- SONGWE


Tangu Julai1,2020, Benki ya dunia itangaze Tanzania kuwa Taifa lenye Uchumi wa kati miaka 5 kabla ya mwaka 2025, mengi yamesemwa!

Naomba nisitumie makala hii kuwajibu lakini itoshe nianze kwa kuhitimisha kwamba kwa mapinduzi makubwa ya nchi hii chini ya JPM nisawa na kusema JPM anashindana na rekodi yake mwenyewe kama nitakavyoeleza miaka 5 ya mapigo 8 ya JPM..

#Pigo la kwanza ni dunia kutambua kwamba Tanzania chini ya JPM sio ileile!

Uchumi wa kati unamaanisha tumefuzu kujitegemea zaidi. Hii ni hatua muhimu kuelekea kuliondoa Taifa letu kwenye kundi la Mataifa yenye uchumi duni ambayo hupewa kipaumbele cha misaada na mikopo nafuu.

Uongozi wake kusomeka katika sura ya unyonge! Hivyo hili ni pigo la kwanza kwa ambao walipenda kuaminisha Umma kuwa Tanzania ni ileile.

Benki ya dunia wamejibu kwamba Tanzania ya awamu ya 5 sio ileile kwani sasa ipo uchumi wa kati!

#Pili ni hoja kwamba mikopo nafuu itapungua kwakuwa tumeingia uchumi wa kati.

Ingawa ni kweli kwamba mikopo nafuu itapungua lakini athari yake ni ndogo kulinganisha na faida ya kupanuka kwa wigo wa kukopa mikopo ya kibiashara ambayo kawaida haiambatani na masharti ya kikoloni.

Ukweli huu unathibitishwa na hoja mbili, kwanza ni kiasi cha misaada na mikopo hiyo kuendelea kuwa sehemu ndogo sana ya mapato ya yetu!

Tazama utekelezaji wa bajeti ya mwaka jana 2019/20, ambapo katika mapato yote yaliyofikia Trilioni 26 kufikia Mwezi Aprili2020, kiasi kilichotokana na misaada na mikopo nafuu kilikuwa Trilioni 2.4 sawa na asilimia 9% tu ya Trilioni26.

Hivyo kupungua kwa misaada na mikopo nafuu athari yake ni ndogo sana kwakuwa mwenendo(trend) wa kupungua kwa misaada na mikopo nafuu upo hivyo kwa muda sasa!

Zaidi kutanuka kwa upatikanaji wa mikopo ya kibiashara ambayo siku zote haiambatani na masharti ya kikoloni ni faida na zaidi ni heshima hasa kwa Serikali kama ya JPM iliyojizatiti kujenga msuli wa kujitegemea.

Serikali ya JPM inajenga msuli wa kujitegemea kwa uwekezaji mkubwa sekta ya miundombinu ya kiuchumi ya usafiri, ujenzi na umeme.

Sanjari na hayo, uwekezaji mkubwa kwenye rasilimali watu kama inavyonekana katika sekta za Elimu, Maji na Afya.

#Tatu, Hoja kwamba kipimo cha ongezeko la pato la mtu (per capital income) sio uhalisia katika maisha halisi. Hoja hii ni sahihi kwa mtazamo wa jumla katika taaluma ya uchumi .

Hii ni kwasababu inawezekana uchumi wa nchi husika sio jumuifu au sehemu kubwa ya kinachozalishwa kinaishia akaunti za mafisadi nje au matumizi makubwa yanafanyika kwenye mambo yasio na faida sana kwa wananchi wake.

Mfano ni Marekani inavyotumia sehemu kubwa ya pato lake kwenye vita badala ya kuboresha maisha ya watu wake na hivyo kufanya kuwa Taifa la saba duniani kwa ubora wa maisha ingawa linaongoza kwa ukubwa wa uchumi duniani ikiwa linamiliki asilimia 20% ya uchumi wa dunia.

Hata hivyo hoja hii kwa Tanzania chini ya JPM haibebi sura hiyo kwasababu kwanza, Tanzania ndio nchi inayongoza kwa uchumi jumuifu Afrika kusini Katikati nchi za Africa zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mantiki hii inamaanisha kwamba tofauti ya aliyenacho na asiyenacho ni ndogo( Ripoti ya World Economic Forum 2018).

Zaidi Tanzania inafanya vizuri sana duniani katika usimamizi wa matumizi ya Serikali ndio maana ikatajwa kuwa Taifa la 28 kati ya nchi 186 duniani kwa udhibiti wa matumizi ikiziacha mbali Kenya 70, Uganda100, Msumbiji 69, Malawi 106, Botswana 37 ( rejea ripoti ya WEF: Executive Opinion Survey 2019).

Nchi yenye picha hii ni wazi tafsiri ya ongezeko la pato la mtu inakuwa na maana pana kwa watu wengi kama nilivyoeleza .

# Nne, Hoja kwamba hakuna uwiano wa kiasi cha fedha za bajeti kilichotumika ndani ya miaka5 kulinganisha na ongezeko la pato la mtu mmoja mmoja.

Hoja hii ina makengeza kwasababu matokeo ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa( SGR), Mradi wa umeme wa Stirglers Gorge hata uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya Elimu, kufufua shirika la ndege, meli na bandari, matokeo yake sio ya muda mfupi (payback period).

Kwenye Sayansi ya uwekezaji, muda wa kurejesha ulichowekeza na hata faida vinategemea aina ya uwekezaji.

Ukiwekeza shamba la mchicha unaweza kurejesha mapato ndani ya mwezi. Lakin ukiwekeza shamba la miti utarejesha baada ya miaka10 na kuendelea lakin umejenga msingi endelevu.

Sasa pengine kuna watu walitamani nchi hii tuijenge kwa falsafa ya uwekezaji kwenye mchicha. Hakuna nchi iliendelea kwa falsafa hiyo. Iwe Vietnam, Malaysia, Korea kusini, Singapore, nk.

Mawazo ya namna hii yakipewa nafasi kwa kinachoitwa demokrasia tunaweza kugeuka Taifa la wachuuzi kwa nusu karne nyingine. Haya ni ya kukemea!

#Tano ni hoja kwamba mafanikio ya kufikia uchumi wa kati sio ya JPM kwani watangulizi wake walifanya pakubwa.

Hoja hii ina mapungufu ya aina mbili, kwanza kumekuwa na hoja kwa muda mrefu binafsi nakubaliana nayo;

kwamba nchi yetu ilichelewa sana kwani nchi tulizokuwa sambamba nazo kiuchumi hadi kufikia miaka ya 1990, nchi kama vietnam ( ilikuwa na uchumi wa $6.5bn sisi 4.5bn mwaka 1990- kwa ripoti za Bank ya dunia), leo zimeshatupita zaidi ya mara nne( Vietnam $260bn wakati Tanzania $63bn).

Takwimu hizi zinathibitisha kwamba tulikotoka hatukufanya vema. Mimi ninaamini miongo kadhaa tulipoteza na ndio siri ya kuachwa.

Lakini nina amini kwamba kwa msukumo mkubwa tulionao sasa katika kujenga miundombinu ya uchukuzi na umeme, niwazi haitachukua miongo mingi kabla ya Taifa hili kucheza ligi moja na waliotuacha tulipozubaa.

Mapinduzi anayofanya JPM leo walianza kufanya wenzetu miaka 30 nyuma, sisi tulibaki na mawazo bila kuyatekeleza ndio siri ya kuachwa.

Sasa leo yanatekelezwa anakuja mtu na mawazo yaleyale ya kujenga uchumi kwa falsafa mchicha kama nilivoeleza hapo juu.

Mapungufu ya pili ya hoja hii ni wivu tu wakisiasa kama vile mtu aseme mfungaji fulani asingefunga kama beki asingeanzisha pasi ikaenda katikati ndipo akapewa na kisha kufunga.

Sipuuzi mchango wa awamu zilizotangulia lakini sioni kwanini kasi kubwa ya msukumo huu wa kulazimisha sasa!Mzee Mwinyi, Rais mstaafu alipata kusema kila zama na kitabu chake.

# Sita:mfano wa kutumia uamuzi wa kununua ndege 11 kwamba hauna tija kwenye uchumi ni ukosoaji uliokosa nguvu kwa muda mrefu. Nchi hii imezungumza kwa miongo kadhaa kuhusu haja ya kufufua sekta ya uchukuzi ikiwemo shirika la ndege,usafiri wa maji na reli.

Tafiti zimeonesha mara kadhaa kwamba kwa bahati ya nafasi ya Tanzania kijiografia, tukiwekeza kwenye sekta ya uchukuzi kikamilifu, mchango wake utakuwa mkubwa sana kuliko sekta yoyote ( Rejea Poverty & Human Development Report 2008).

Kamati ya Bunge ya Miundombinu, katika Bunge la 11 ambalo nilikuwemo, walitoa taarifa na kurudia mara kwa mara kwamba zaidi ya asilimia 60% ya pesa anayoitumia mtalii inaishia kwenye usafiri wa ndege.

Sote tunajua Utalii ni sekta kinara kwa fedha za kigeni nchini. Sote tunaelewa umuhimu wa fedha za kigeni kwa dunia ya kisasa iliyounganishwa (modern globalized world).

Kwa upekee wa nafasi ya Tanzania kijiografia Africa, maamuzi ya kufufua Shirika la ndege isingepaswa kuwa hoja ya kubishaniwa.

Pengine hoja ingekuwa tunalifufuaje. Kwa mfano uamuzi wa kukodi ndege mbovu kwa dola milioni43, ndege ambayo ilifanya kazi miezi 6 na miezi 37 ikawa gereji haikuwa mkakati sahihi (rejea CAG ripoti ya Aprili 2020).

Lakini mkakati wasasa wa JPM kutumia dola 32m kununua bombardier mpya , kiasi ambacho ni pungufu ya tulichotumia kukodi ndege mbovu huko tulikotoka, ni mkakati ambao kila mwenye mapenzi ya nchi hii ingetosha kupongeza na kukiri kwamba tumetoka mbali!

# Saba: Hoja kwamba Serikali ina uhaba wa mafanikio ndio sababu imefurahia taarifa ya Benki ya dunia kuipandisha Tanzania daraja kuingia kundi la uchumi wa kati ni upofu wenye msukumo wa kisiasa.

Serikali ya awamu ya tano inarekodi kubwa zisizobishaniwa ( undisputeble) kitaifa na kimataifa. Rekodi ambazo kila anaejua kinachoendelea duniani anazifahamu.

Rekodi za ndani kama kugharamia elimu bure, kuvunja rekodi ya mapato na mauzo ya nje sekta ya madini, rekodi ya kuongeza kusambaza umeme vijijini zaidi ya vijiji 7000 ndani ya miaka 5 ( 2015-2020) na kufikia vijiji 9300 kutoka vijiji 2018 mwaka 2015 ni rekodi.

Rekodi ya kuongeza usambazaji maji vijijini kutoka asilimia 47% mwaka 2015 mpaka asilimia71% ni rekodi.

Rekodi ya kujenga hospitali 10 za rufaa za mikoa, kuongeza fedha za dawa na vifaa tiba kwa zaidi ya asilimia 700% kutoka billioni 31 mwaka 2015 mpaka billioni 269 ni rekodi.

Kifupi kasi ya kupungua kwa umasikini wa huduma ni kubwa sana. Tulikotoka gharama za huduma za afya zilikuwa kubwa maradufu kwa sababu sehemu kubwa ya gharama ilihusu kuifikia huduma yenyewe kuliko gharama halisi ya huduma kutokana na umbali wa kufikia na zaidi upatikanaji dawa.

Iliwezekana kutumia elfu 80 kwajili ya usafiri , Malazi na chakula kuifuata huduma ambayo unailipia elfu20.

Natamani wachumi zaidi wafanye Tafiti eneo hili la namna umasikini wa huduma ulivyopungua kutokana na ukaribu wa vituo vya kutolea huduma na ongezeko la upatikanaji wa huduma yenyewe kwa maana ya dawa.

Ujenzi wa reli, Meli, Shirika la ndege, mradi mkubwa wa umeme sanjari na kuliondoa Shirika la Tanesco kwenye mikataba mibovu hata kulifanya lijitegemee zote ni rekodi.

Tanesco kwa miaka 30 ilikuwa jini nyonyadamu kwa uchumi wa Tanzania. Kuna wakati gharama za kuliendesha ililingana na Bajeti ya Zanzibar kwa mikataba ya 'kijangili'. Kufyekwa mikataba ya hovyo na udhibiti ni mapinduzi makubwa.

Sijui mtu anayesema Serikali hii inauhaba wa rekodi alitaka rekodi zipi zaidi ndani ya miaka5.

Hizi nimetaja chache tena za ndani , lakini kimataifa, JPM ameshatengeneza rekodi lukuki kama nilivyoeleza wiki iliyopita kwenye makala yangu ya JPM NA REKODI SABA KIMATAIFA.

# Nane. Nihitimishe kwakusema kwamba nchi hii bado inasukwa. Ndani ya miaka5 , JPM ameisuka pakubwa sana. A Kauli mbiu za kisiasa za "Kazi na Bata" hazitofautiani sana na mzaha wa Mzee Cheyo mwaka 1995 ya KUJAZA WATU MAPESA.

Kafulila na uchumi wapi na wapi?njaaa zingine bana
 
JICHO LA PILI NA HOJA NANE KUHUSU UKOSOAJI REKODI YA UCHUMI WA KATI

Na David KAFULILA
Julai 5, 2020- SONGWE


Tangu Julai1,2020, Benki ya dunia itangaze Tanzania kuwa Taifa lenye Uchumi wa kati miaka 5 kabla ya mwaka 2025, mengi yamesemwa!

Naomba nisitumie makala hii kuwajibu lakini itoshe nianze kwa kuhitimisha kwamba kwa mapinduzi makubwa ya nchi hii chini ya JPM nisawa na kusema JPM anashindana na rekodi yake mwenyewe kama nitakavyoeleza miaka 5 ya mapigo 8 ya JPM..

#Pigo la kwanza ni dunia kutambua kwamba Tanzania chini ya JPM sio ileile!

Uchumi wa kati unamaanisha tumefuzu kujitegemea zaidi. Hii ni hatua muhimu kuelekea kuliondoa Taifa letu kwenye kundi la Mataifa yenye uchumi duni ambayo hupewa kipaumbele cha misaada na mikopo nafuu.

Uongozi wake kusomeka katika sura ya unyonge! Hivyo hili ni pigo la kwanza kwa ambao walipenda kuaminisha Umma kuwa Tanzania ni ileile.

Benki ya dunia wamejibu kwamba Tanzania ya awamu ya 5 sio ileile kwani sasa ipo uchumi wa kati!

#Pili ni hoja kwamba mikopo nafuu itapungua kwakuwa tumeingia uchumi wa kati.

Ingawa ni kweli kwamba mikopo nafuu itapungua lakini athari yake ni ndogo kulinganisha na faida ya kupanuka kwa wigo wa kukopa mikopo ya kibiashara ambayo kawaida haiambatani na masharti ya kikoloni.

Ukweli huu unathibitishwa na hoja mbili, kwanza ni kiasi cha misaada na mikopo hiyo kuendelea kuwa sehemu ndogo sana ya mapato ya yetu!

Tazama utekelezaji wa bajeti ya mwaka jana 2019/20, ambapo katika mapato yote yaliyofikia Trilioni 26 kufikia Mwezi Aprili2020, kiasi kilichotokana na misaada na mikopo nafuu kilikuwa Trilioni 2.4 sawa na asilimia 9% tu ya Trilioni26.

Hivyo kupungua kwa misaada na mikopo nafuu athari yake ni ndogo sana kwakuwa mwenendo(trend) wa kupungua kwa misaada na mikopo nafuu upo hivyo kwa muda sasa!

Zaidi kutanuka kwa upatikanaji wa mikopo ya kibiashara ambayo siku zote haiambatani na masharti ya kikoloni ni faida na zaidi ni heshima hasa kwa Serikali kama ya JPM iliyojizatiti kujenga msuli wa kujitegemea.

Serikali ya JPM inajenga msuli wa kujitegemea kwa uwekezaji mkubwa sekta ya miundombinu ya kiuchumi ya usafiri, ujenzi na umeme.

Sanjari na hayo, uwekezaji mkubwa kwenye rasilimali watu kama inavyonekana katika sekta za Elimu, Maji na Afya.

#Tatu, Hoja kwamba kipimo cha ongezeko la pato la mtu (per capital income) sio uhalisia katika maisha halisi. Hoja hii ni sahihi kwa mtazamo wa jumla katika taaluma ya uchumi .

Hii ni kwasababu inawezekana uchumi wa nchi husika sio jumuifu au sehemu kubwa ya kinachozalishwa kinaishia akaunti za mafisadi nje au matumizi makubwa yanafanyika kwenye mambo yasio na faida sana kwa wananchi wake.

Mfano ni Marekani inavyotumia sehemu kubwa ya pato lake kwenye vita badala ya kuboresha maisha ya watu wake na hivyo kufanya kuwa Taifa la saba duniani kwa ubora wa maisha ingawa linaongoza kwa ukubwa wa uchumi duniani ikiwa linamiliki asilimia 20% ya uchumi wa dunia.

Hata hivyo hoja hii kwa Tanzania chini ya JPM haibebi sura hiyo kwasababu kwanza, Tanzania ndio nchi inayongoza kwa uchumi jumuifu Afrika kusini Katikati nchi za Africa zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mantiki hii inamaanisha kwamba tofauti ya aliyenacho na asiyenacho ni ndogo( Ripoti ya World Economic Forum 2018).

Zaidi Tanzania inafanya vizuri sana duniani katika usimamizi wa matumizi ya Serikali ndio maana ikatajwa kuwa Taifa la 28 kati ya nchi 186 duniani kwa udhibiti wa matumizi ikiziacha mbali Kenya 70, Uganda100, Msumbiji 69, Malawi 106, Botswana 37 ( rejea ripoti ya WEF: Executive Opinion Survey 2019).

Nchi yenye picha hii ni wazi tafsiri ya ongezeko la pato la mtu inakuwa na maana pana kwa watu wengi kama nilivyoeleza .

# Nne, Hoja kwamba hakuna uwiano wa kiasi cha fedha za bajeti kilichotumika ndani ya miaka5 kulinganisha na ongezeko la pato la mtu mmoja mmoja.

Hoja hii ina makengeza kwasababu matokeo ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa( SGR), Mradi wa umeme wa Stirglers Gorge hata uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya Elimu, kufufua shirika la ndege, meli na bandari, matokeo yake sio ya muda mfupi (payback period).

Kwenye Sayansi ya uwekezaji, muda wa kurejesha ulichowekeza na hata faida vinategemea aina ya uwekezaji.

Ukiwekeza shamba la mchicha unaweza kurejesha mapato ndani ya mwezi. Lakin ukiwekeza shamba la miti utarejesha baada ya miaka10 na kuendelea lakin umejenga msingi endelevu.

Sasa pengine kuna watu walitamani nchi hii tuijenge kwa falsafa ya uwekezaji kwenye mchicha. Hakuna nchi iliendelea kwa falsafa hiyo. Iwe Vietnam, Malaysia, Korea kusini, Singapore, nk.

Mawazo ya namna hii yakipewa nafasi kwa kinachoitwa demokrasia tunaweza kugeuka Taifa la wachuuzi kwa nusu karne nyingine. Haya ni ya kukemea!

#Tano ni hoja kwamba mafanikio ya kufikia uchumi wa kati sio ya JPM kwani watangulizi wake walifanya pakubwa.

Hoja hii ina mapungufu ya aina mbili, kwanza kumekuwa na hoja kwa muda mrefu binafsi nakubaliana nayo;

kwamba nchi yetu ilichelewa sana kwani nchi tulizokuwa sambamba nazo kiuchumi hadi kufikia miaka ya 1990, nchi kama vietnam ( ilikuwa na uchumi wa $6.5bn sisi 4.5bn mwaka 1990- kwa ripoti za Bank ya dunia), leo zimeshatupita zaidi ya mara nne( Vietnam $260bn wakati Tanzania $63bn).

Takwimu hizi zinathibitisha kwamba tulikotoka hatukufanya vema. Mimi ninaamini miongo kadhaa tulipoteza na ndio siri ya kuachwa.

Lakini nina amini kwamba kwa msukumo mkubwa tulionao sasa katika kujenga miundombinu ya uchukuzi na umeme, niwazi haitachukua miongo mingi kabla ya Taifa hili kucheza ligi moja na waliotuacha tulipozubaa.

Mapinduzi anayofanya JPM leo walianza kufanya wenzetu miaka 30 nyuma, sisi tulibaki na mawazo bila kuyatekeleza ndio siri ya kuachwa.

Sasa leo yanatekelezwa anakuja mtu na mawazo yaleyale ya kujenga uchumi kwa falsafa mchicha kama nilivoeleza hapo juu.

Mapungufu ya pili ya hoja hii ni wivu tu wakisiasa kama vile mtu aseme mfungaji fulani asingefunga kama beki asingeanzisha pasi ikaenda katikati ndipo akapewa na kisha kufunga.

Sipuuzi mchango wa awamu zilizotangulia lakini sioni kwanini kasi kubwa ya msukumo huu wa kulazimisha sasa!Mzee Mwinyi, Rais mstaafu alipata kusema kila zama na kitabu chake.

# Sita:mfano wa kutumia uamuzi wa kununua ndege 11 kwamba hauna tija kwenye uchumi ni ukosoaji uliokosa nguvu kwa muda mrefu. Nchi hii imezungumza kwa miongo kadhaa kuhusu haja ya kufufua sekta ya uchukuzi ikiwemo shirika la ndege,usafiri wa maji na reli.

Tafiti zimeonesha mara kadhaa kwamba kwa bahati ya nafasi ya Tanzania kijiografia, tukiwekeza kwenye sekta ya uchukuzi kikamilifu, mchango wake utakuwa mkubwa sana kuliko sekta yoyote ( Rejea Poverty & Human Development Report 2008).

Kamati ya Bunge ya Miundombinu, katika Bunge la 11 ambalo nilikuwemo, walitoa taarifa na kurudia mara kwa mara kwamba zaidi ya asilimia 60% ya pesa anayoitumia mtalii inaishia kwenye usafiri wa ndege.

Sote tunajua Utalii ni sekta kinara kwa fedha za kigeni nchini. Sote tunaelewa umuhimu wa fedha za kigeni kwa dunia ya kisasa iliyounganishwa (modern globalized world).

Kwa upekee wa nafasi ya Tanzania kijiografia Africa, maamuzi ya kufufua Shirika la ndege isingepaswa kuwa hoja ya kubishaniwa.

Pengine hoja ingekuwa tunalifufuaje. Kwa mfano uamuzi wa kukodi ndege mbovu kwa dola milioni43, ndege ambayo ilifanya kazi miezi 6 na miezi 37 ikawa gereji haikuwa mkakati sahihi (rejea CAG ripoti ya Aprili 2020).

Lakini mkakati wasasa wa JPM kutumia dola 32m kununua bombardier mpya , kiasi ambacho ni pungufu ya tulichotumia kukodi ndege mbovu huko tulikotoka, ni mkakati ambao kila mwenye mapenzi ya nchi hii ingetosha kupongeza na kukiri kwamba tumetoka mbali!

# Saba: Hoja kwamba Serikali ina uhaba wa mafanikio ndio sababu imefurahia taarifa ya Benki ya dunia kuipandisha Tanzania daraja kuingia kundi la uchumi wa kati ni upofu wenye msukumo wa kisiasa.

Serikali ya awamu ya tano inarekodi kubwa zisizobishaniwa ( undisputeble) kitaifa na kimataifa. Rekodi ambazo kila anaejua kinachoendelea duniani anazifahamu.

Rekodi za ndani kama kugharamia elimu bure, kuvunja rekodi ya mapato na mauzo ya nje sekta ya madini, rekodi ya kuongeza kusambaza umeme vijijini zaidi ya vijiji 7000 ndani ya miaka 5 ( 2015-2020) na kufikia vijiji 9300 kutoka vijiji 2018 mwaka 2015 ni rekodi.

Rekodi ya kuongeza usambazaji maji vijijini kutoka asilimia 47% mwaka 2015 mpaka asilimia71% ni rekodi.

Rekodi ya kujenga hospitali 10 za rufaa za mikoa, kuongeza fedha za dawa na vifaa tiba kwa zaidi ya asilimia 700% kutoka billioni 31 mwaka 2015 mpaka billioni 269 ni rekodi.

Kifupi kasi ya kupungua kwa umasikini wa huduma ni kubwa sana. Tulikotoka gharama za huduma za afya zilikuwa kubwa maradufu kwa sababu sehemu kubwa ya gharama ilihusu kuifikia huduma yenyewe kuliko gharama halisi ya huduma kutokana na umbali wa kufikia na zaidi upatikanaji dawa.

Iliwezekana kutumia elfu 80 kwajili ya usafiri , Malazi na chakula kuifuata huduma ambayo unailipia elfu20.

Natamani wachumi zaidi wafanye Tafiti eneo hili la namna umasikini wa huduma ulivyopungua kutokana na ukaribu wa vituo vya kutolea huduma na ongezeko la upatikanaji wa huduma yenyewe kwa maana ya dawa.

Ujenzi wa reli, Meli, Shirika la ndege, mradi mkubwa wa umeme sanjari na kuliondoa Shirika la Tanesco kwenye mikataba mibovu hata kulifanya lijitegemee zote ni rekodi.

Tanesco kwa miaka 30 ilikuwa jini nyonyadamu kwa uchumi wa Tanzania. Kuna wakati gharama za kuliendesha ililingana na Bajeti ya Zanzibar kwa mikataba ya 'kijangili'. Kufyekwa mikataba ya hovyo na udhibiti ni mapinduzi makubwa.

Sijui mtu anayesema Serikali hii inauhaba wa rekodi alitaka rekodi zipi zaidi ndani ya miaka5.

Hizi nimetaja chache tena za ndani , lakini kimataifa, JPM ameshatengeneza rekodi lukuki kama nilivyoeleza wiki iliyopita kwenye makala yangu ya JPM NA REKODI SABA KIMATAIFA.

# Nane. Nihitimishe kwakusema kwamba nchi hii bado inasukwa. Ndani ya miaka5 , JPM ameisuka pakubwa sana. A Kauli mbiu za kisiasa za "Kazi na Bata" hazitofautiani sana na mzaha wa Mzee Cheyo mwaka 1995 ya KUJAZA WATU MAPESA.

Nchi haisukwi kwa kuwabambikia kesi kuwapiga kuwahujumu kuwadhoofisha wapinzani, pesa inayotumika kujaribu kurejesha mfumo wa chama kimoja ni nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kuifanya Tanzania ikiwemo kwenye kundi la Nchi tajiri kulingana na Rasilimali zilizopo Tanzania, Hakuna maendeleo kima cha mishahara hakijapanda kwa miaka 5 ajira hakuna viwanda vimedoda, Bandari ya Bagamoyo imeishia kuwalipa fidia bure, mabilioni yamelipwa fidia bure pasipokuwa na Bandari ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
 
Tumbili atabaki kuwa TUMBILI TU.

JICHO LA PILI NA HOJA NANE KUHUSU UKOSOAJI REKODI YA UCHUMI WA KATI

Na David KAFULILA
Julai 5, 2020- SONGWE


Tangu Julai1,2020, Benki ya dunia itangaze Tanzania kuwa Taifa lenye Uchumi wa kati miaka 5 kabla ya mwaka 2025, mengi yamesemwa!

Naomba nisitumie makala hii kuwajibu lakini itoshe nianze kwa kuhitimisha kwamba kwa mapinduzi makubwa ya nchi hii chini ya JPM nisawa na kusema JPM anashindana na rekodi yake mwenyewe kama nitakavyoeleza miaka 5 ya mapigo 8 ya JPM..

#Pigo la kwanza ni dunia kutambua kwamba Tanzania chini ya JPM sio ileile!

Uchumi wa kati unamaanisha tumefuzu kujitegemea zaidi. Hii ni hatua muhimu kuelekea kuliondoa Taifa letu kwenye kundi la Mataifa yenye uchumi duni ambayo hupewa kipaumbele cha misaada na mikopo nafuu.

Uongozi wake kusomeka katika sura ya unyonge! Hivyo hili ni pigo la kwanza kwa ambao walipenda kuaminisha Umma kuwa Tanzania ni ileile.

Benki ya dunia wamejibu kwamba Tanzania ya awamu ya 5 sio ileile kwani sasa ipo uchumi wa kati!

#Pili ni hoja kwamba mikopo nafuu itapungua kwakuwa tumeingia uchumi wa kati.

Ingawa ni kweli kwamba mikopo nafuu itapungua lakini athari yake ni ndogo kulinganisha na faida ya kupanuka kwa wigo wa kukopa mikopo ya kibiashara ambayo kawaida haiambatani na masharti ya kikoloni.

Ukweli huu unathibitishwa na hoja mbili, kwanza ni kiasi cha misaada na mikopo hiyo kuendelea kuwa sehemu ndogo sana ya mapato ya yetu!

Tazama utekelezaji wa bajeti ya mwaka jana 2019/20, ambapo katika mapato yote yaliyofikia Trilioni 26 kufikia Mwezi Aprili2020, kiasi kilichotokana na misaada na mikopo nafuu kilikuwa Trilioni 2.4 sawa na asilimia 9% tu ya Trilioni26.

Hivyo kupungua kwa misaada na mikopo nafuu athari yake ni ndogo sana kwakuwa mwenendo(trend) wa kupungua kwa misaada na mikopo nafuu upo hivyo kwa muda sasa!

Zaidi kutanuka kwa upatikanaji wa mikopo ya kibiashara ambayo siku zote haiambatani na masharti ya kikoloni ni faida na zaidi ni heshima hasa kwa Serikali kama ya JPM iliyojizatiti kujenga msuli wa kujitegemea.

Serikali ya JPM inajenga msuli wa kujitegemea kwa uwekezaji mkubwa sekta ya miundombinu ya kiuchumi ya usafiri, ujenzi na umeme.

Sanjari na hayo, uwekezaji mkubwa kwenye rasilimali watu kama inavyonekana katika sekta za Elimu, Maji na Afya.

#Tatu, Hoja kwamba kipimo cha ongezeko la pato la mtu (per capital income) sio uhalisia katika maisha halisi. Hoja hii ni sahihi kwa mtazamo wa jumla katika taaluma ya uchumi .

Hii ni kwasababu inawezekana uchumi wa nchi husika sio jumuifu au sehemu kubwa ya kinachozalishwa kinaishia akaunti za mafisadi nje au matumizi makubwa yanafanyika kwenye mambo yasio na faida sana kwa wananchi wake.

Mfano ni Marekani inavyotumia sehemu kubwa ya pato lake kwenye vita badala ya kuboresha maisha ya watu wake na hivyo kufanya kuwa Taifa la saba duniani kwa ubora wa maisha ingawa linaongoza kwa ukubwa wa uchumi duniani ikiwa linamiliki asilimia 20% ya uchumi wa dunia.

Hata hivyo hoja hii kwa Tanzania chini ya JPM haibebi sura hiyo kwasababu kwanza, Tanzania ndio nchi inayongoza kwa uchumi jumuifu Afrika kusini Katikati nchi za Africa zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mantiki hii inamaanisha kwamba tofauti ya aliyenacho na asiyenacho ni ndogo( Ripoti ya World Economic Forum 2018).

Zaidi Tanzania inafanya vizuri sana duniani katika usimamizi wa matumizi ya Serikali ndio maana ikatajwa kuwa Taifa la 28 kati ya nchi 186 duniani kwa udhibiti wa matumizi ikiziacha mbali Kenya 70, Uganda100, Msumbiji 69, Malawi 106, Botswana 37 ( rejea ripoti ya WEF: Executive Opinion Survey 2019).

Nchi yenye picha hii ni wazi tafsiri ya ongezeko la pato la mtu inakuwa na maana pana kwa watu wengi kama nilivyoeleza .

# Nne, Hoja kwamba hakuna uwiano wa kiasi cha fedha za bajeti kilichotumika ndani ya miaka5 kulinganisha na ongezeko la pato la mtu mmoja mmoja.

Hoja hii ina makengeza kwasababu matokeo ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa( SGR), Mradi wa umeme wa Stirglers Gorge hata uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya Elimu, kufufua shirika la ndege, meli na bandari, matokeo yake sio ya muda mfupi (payback period).

Kwenye Sayansi ya uwekezaji, muda wa kurejesha ulichowekeza na hata faida vinategemea aina ya uwekezaji.

Ukiwekeza shamba la mchicha unaweza kurejesha mapato ndani ya mwezi. Lakin ukiwekeza shamba la miti utarejesha baada ya miaka10 na kuendelea lakin umejenga msingi endelevu.

Sasa pengine kuna watu walitamani nchi hii tuijenge kwa falsafa ya uwekezaji kwenye mchicha. Hakuna nchi iliendelea kwa falsafa hiyo. Iwe Vietnam, Malaysia, Korea kusini, Singapore, nk.

Mawazo ya namna hii yakipewa nafasi kwa kinachoitwa demokrasia tunaweza kugeuka Taifa la wachuuzi kwa nusu karne nyingine. Haya ni ya kukemea!

#Tano ni hoja kwamba mafanikio ya kufikia uchumi wa kati sio ya JPM kwani watangulizi wake walifanya pakubwa.

Hoja hii ina mapungufu ya aina mbili, kwanza kumekuwa na hoja kwa muda mrefu binafsi nakubaliana nayo;

kwamba nchi yetu ilichelewa sana kwani nchi tulizokuwa sambamba nazo kiuchumi hadi kufikia miaka ya 1990, nchi kama vietnam ( ilikuwa na uchumi wa $6.5bn sisi 4.5bn mwaka 1990- kwa ripoti za Bank ya dunia), leo zimeshatupita zaidi ya mara nne( Vietnam $260bn wakati Tanzania $63bn).

Takwimu hizi zinathibitisha kwamba tulikotoka hatukufanya vema. Mimi ninaamini miongo kadhaa tulipoteza na ndio siri ya kuachwa.

Lakini nina amini kwamba kwa msukumo mkubwa tulionao sasa katika kujenga miundombinu ya uchukuzi na umeme, niwazi haitachukua miongo mingi kabla ya Taifa hili kucheza ligi moja na waliotuacha tulipozubaa.

Mapinduzi anayofanya JPM leo walianza kufanya wenzetu miaka 30 nyuma, sisi tulibaki na mawazo bila kuyatekeleza ndio siri ya kuachwa.

Sasa leo yanatekelezwa anakuja mtu na mawazo yaleyale ya kujenga uchumi kwa falsafa mchicha kama nilivoeleza hapo juu.

Mapungufu ya pili ya hoja hii ni wivu tu wakisiasa kama vile mtu aseme mfungaji fulani asingefunga kama beki asingeanzisha pasi ikaenda katikati ndipo akapewa na kisha kufunga.

Sipuuzi mchango wa awamu zilizotangulia lakini sioni kwanini kasi kubwa ya msukumo huu wa kulazimisha sasa!Mzee Mwinyi, Rais mstaafu alipata kusema kila zama na kitabu chake.

# Sita:mfano wa kutumia uamuzi wa kununua ndege 11 kwamba hauna tija kwenye uchumi ni ukosoaji uliokosa nguvu kwa muda mrefu. Nchi hii imezungumza kwa miongo kadhaa kuhusu haja ya kufufua sekta ya uchukuzi ikiwemo shirika la ndege,usafiri wa maji na reli.

Tafiti zimeonesha mara kadhaa kwamba kwa bahati ya nafasi ya Tanzania kijiografia, tukiwekeza kwenye sekta ya uchukuzi kikamilifu, mchango wake utakuwa mkubwa sana kuliko sekta yoyote ( Rejea Poverty & Human Development Report 2008).

Kamati ya Bunge ya Miundombinu, katika Bunge la 11 ambalo nilikuwemo, walitoa taarifa na kurudia mara kwa mara kwamba zaidi ya asilimia 60% ya pesa anayoitumia mtalii inaishia kwenye usafiri wa ndege.

Sote tunajua Utalii ni sekta kinara kwa fedha za kigeni nchini. Sote tunaelewa umuhimu wa fedha za kigeni kwa dunia ya kisasa iliyounganishwa (modern globalized world).

Kwa upekee wa nafasi ya Tanzania kijiografia Africa, maamuzi ya kufufua Shirika la ndege isingepaswa kuwa hoja ya kubishaniwa.

Pengine hoja ingekuwa tunalifufuaje. Kwa mfano uamuzi wa kukodi ndege mbovu kwa dola milioni43, ndege ambayo ilifanya kazi miezi 6 na miezi 37 ikawa gereji haikuwa mkakati sahihi (rejea CAG ripoti ya Aprili 2020).

Lakini mkakati wasasa wa JPM kutumia dola 32m kununua bombardier mpya , kiasi ambacho ni pungufu ya tulichotumia kukodi ndege mbovu huko tulikotoka, ni mkakati ambao kila mwenye mapenzi ya nchi hii ingetosha kupongeza na kukiri kwamba tumetoka mbali!

# Saba: Hoja kwamba Serikali ina uhaba wa mafanikio ndio sababu imefurahia taarifa ya Benki ya dunia kuipandisha Tanzania daraja kuingia kundi la uchumi wa kati ni upofu wenye msukumo wa kisiasa.

Serikali ya awamu ya tano inarekodi kubwa zisizobishaniwa ( undisputeble) kitaifa na kimataifa. Rekodi ambazo kila anaejua kinachoendelea duniani anazifahamu.

Rekodi za ndani kama kugharamia elimu bure, kuvunja rekodi ya mapato na mauzo ya nje sekta ya madini, rekodi ya kuongeza kusambaza umeme vijijini zaidi ya vijiji 7000 ndani ya miaka 5 ( 2015-2020) na kufikia vijiji 9300 kutoka vijiji 2018 mwaka 2015 ni rekodi.

Rekodi ya kuongeza usambazaji maji vijijini kutoka asilimia 47% mwaka 2015 mpaka asilimia71% ni rekodi.

Rekodi ya kujenga hospitali 10 za rufaa za mikoa, kuongeza fedha za dawa na vifaa tiba kwa zaidi ya asilimia 700% kutoka billioni 31 mwaka 2015 mpaka billioni 269 ni rekodi.

Kifupi kasi ya kupungua kwa umasikini wa huduma ni kubwa sana. Tulikotoka gharama za huduma za afya zilikuwa kubwa maradufu kwa sababu sehemu kubwa ya gharama ilihusu kuifikia huduma yenyewe kuliko gharama halisi ya huduma kutokana na umbali wa kufikia na zaidi upatikanaji dawa.

Iliwezekana kutumia elfu 80 kwajili ya usafiri , Malazi na chakula kuifuata huduma ambayo unailipia elfu20.

Natamani wachumi zaidi wafanye Tafiti eneo hili la namna umasikini wa huduma ulivyopungua kutokana na ukaribu wa vituo vya kutolea huduma na ongezeko la upatikanaji wa huduma yenyewe kwa maana ya dawa.

Ujenzi wa reli, Meli, Shirika la ndege, mradi mkubwa wa umeme sanjari na kuliondoa Shirika la Tanesco kwenye mikataba mibovu hata kulifanya lijitegemee zote ni rekodi.

Tanesco kwa miaka 30 ilikuwa jini nyonyadamu kwa uchumi wa Tanzania. Kuna wakati gharama za kuliendesha ililingana na Bajeti ya Zanzibar kwa mikataba ya 'kijangili'. Kufyekwa mikataba ya hovyo na udhibiti ni mapinduzi makubwa.

Sijui mtu anayesema Serikali hii inauhaba wa rekodi alitaka rekodi zipi zaidi ndani ya miaka5.

Hizi nimetaja chache tena za ndani , lakini kimataifa, JPM ameshatengeneza rekodi lukuki kama nilivyoeleza wiki iliyopita kwenye makala yangu ya JPM NA REKODI SABA KIMATAIFA.

# Nane. Nihitimishe kwakusema kwamba nchi hii bado inasukwa. Ndani ya miaka5 , JPM ameisuka pakubwa sana. A Kauli mbiu za kisiasa za "Kazi na Bata" hazitofautiani sana na mzaha wa Mzee Cheyo mwaka 1995 ya KUJAZA WATU MAPESA.

 
Uchumi wa kati wakati kutwa wanakopakopa kwa riba kubwa pesa nyingi inatumika kukandamiza demokrasia badala ya maendeleo hakuna viwanda vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa hakuna barabara nzuri kote, yapo mapungufu mengi, pesa nyingi inapigwa na madalali wa siasa huko CCM kwa kisingizio cha kurejesha mfumo wa chama kimoja
 
Watetezi wa CCM mitandaoni wapo gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz wanavuta Bangi kisha waje kusumbua watu mitandaoni
 
JICHO LA PILI NA HOJA NANE KUHUSU UKOSOAJI REKODI YA UCHUMI WA KATI

Na David KAFULILA
Julai 5, 2020- SONGWE


Tangu Julai1,2020, Benki ya dunia itangaze Tanzania kuwa Taifa lenye Uchumi wa kati miaka 5 kabla ya mwaka 2025, mengi yamesemwa!

Naomba nisitumie makala hii kuwajibu lakini itoshe nianze kwa kuhitimisha kwamba kwa mapinduzi makubwa ya nchi hii chini ya JPM nisawa na kusema JPM anashindana na rekodi yake mwenyewe kama nitakavyoeleza miaka 5 ya mapigo 8 ya JPM..

#Pigo la kwanza ni dunia kutambua kwamba Tanzania chini ya JPM sio ileile!

Uchumi wa kati unamaanisha tumefuzu kujitegemea zaidi. Hii ni hatua muhimu kuelekea kuliondoa Taifa letu kwenye kundi la Mataifa yenye uchumi duni ambayo hupewa kipaumbele cha misaada na mikopo nafuu.

Uongozi wake kusomeka katika sura ya unyonge! Hivyo hili ni pigo la kwanza kwa ambao walipenda kuaminisha Umma kuwa Tanzania ni ileile.

Benki ya dunia wamejibu kwamba Tanzania ya awamu ya 5 sio ileile kwani sasa ipo uchumi wa kati!

#Pili ni hoja kwamba mikopo nafuu itapungua kwakuwa tumeingia uchumi wa kati.

Ingawa ni kweli kwamba mikopo nafuu itapungua lakini athari yake ni ndogo kulinganisha na faida ya kupanuka kwa wigo wa kukopa mikopo ya kibiashara ambayo kawaida haiambatani na masharti ya kikoloni.

Ukweli huu unathibitishwa na hoja mbili, kwanza ni kiasi cha misaada na mikopo hiyo kuendelea kuwa sehemu ndogo sana ya mapato ya yetu!

Tazama utekelezaji wa bajeti ya mwaka jana 2019/20, ambapo katika mapato yote yaliyofikia Trilioni 26 kufikia Mwezi Aprili2020, kiasi kilichotokana na misaada na mikopo nafuu kilikuwa Trilioni 2.4 sawa na asilimia 9% tu ya Trilioni26.

Hivyo kupungua kwa misaada na mikopo nafuu athari yake ni ndogo sana kwakuwa mwenendo(trend) wa kupungua kwa misaada na mikopo nafuu upo hivyo kwa muda sasa!

Zaidi kutanuka kwa upatikanaji wa mikopo ya kibiashara ambayo siku zote haiambatani na masharti ya kikoloni ni faida na zaidi ni heshima hasa kwa Serikali kama ya JPM iliyojizatiti kujenga msuli wa kujitegemea.

Serikali ya JPM inajenga msuli wa kujitegemea kwa uwekezaji mkubwa sekta ya miundombinu ya kiuchumi ya usafiri, ujenzi na umeme.

Sanjari na hayo, uwekezaji mkubwa kwenye rasilimali watu kama inavyonekana katika sekta za Elimu, Maji na Afya.

#Tatu, Hoja kwamba kipimo cha ongezeko la pato la mtu (per capital income) sio uhalisia katika maisha halisi. Hoja hii ni sahihi kwa mtazamo wa jumla katika taaluma ya uchumi .

Hii ni kwasababu inawezekana uchumi wa nchi husika sio jumuifu au sehemu kubwa ya kinachozalishwa kinaishia akaunti za mafisadi nje au matumizi makubwa yanafanyika kwenye mambo yasio na faida sana kwa wananchi wake.

Mfano ni Marekani inavyotumia sehemu kubwa ya pato lake kwenye vita badala ya kuboresha maisha ya watu wake na hivyo kufanya kuwa Taifa la saba duniani kwa ubora wa maisha ingawa linaongoza kwa ukubwa wa uchumi duniani ikiwa linamiliki asilimia 20% ya uchumi wa dunia.

Hata hivyo hoja hii kwa Tanzania chini ya JPM haibebi sura hiyo kwasababu kwanza, Tanzania ndio nchi inayongoza kwa uchumi jumuifu Afrika kusini Katikati nchi za Africa zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mantiki hii inamaanisha kwamba tofauti ya aliyenacho na asiyenacho ni ndogo( Ripoti ya World Economic Forum 2018).

Zaidi Tanzania inafanya vizuri sana duniani katika usimamizi wa matumizi ya Serikali ndio maana ikatajwa kuwa Taifa la 28 kati ya nchi 186 duniani kwa udhibiti wa matumizi ikiziacha mbali Kenya 70, Uganda100, Msumbiji 69, Malawi 106, Botswana 37 ( rejea ripoti ya WEF: Executive Opinion Survey 2019).

Nchi yenye picha hii ni wazi tafsiri ya ongezeko la pato la mtu inakuwa na maana pana kwa watu wengi kama nilivyoeleza .

# Nne, Hoja kwamba hakuna uwiano wa kiasi cha fedha za bajeti kilichotumika ndani ya miaka5 kulinganisha na ongezeko la pato la mtu mmoja mmoja.

Hoja hii ina makengeza kwasababu matokeo ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kwenye miundombinu mikubwa kama reli ya kisasa( SGR), Mradi wa umeme wa Stirglers Gorge hata uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya Elimu, kufufua shirika la ndege, meli na bandari, matokeo yake sio ya muda mfupi (payback period).

Kwenye Sayansi ya uwekezaji, muda wa kurejesha ulichowekeza na hata faida vinategemea aina ya uwekezaji.

Ukiwekeza shamba la mchicha unaweza kurejesha mapato ndani ya mwezi. Lakin ukiwekeza shamba la miti utarejesha baada ya miaka10 na kuendelea lakin umejenga msingi endelevu.

Sasa pengine kuna watu walitamani nchi hii tuijenge kwa falsafa ya uwekezaji kwenye mchicha. Hakuna nchi iliendelea kwa falsafa hiyo. Iwe Vietnam, Malaysia, Korea kusini, Singapore, nk.

Mawazo ya namna hii yakipewa nafasi kwa kinachoitwa demokrasia tunaweza kugeuka Taifa la wachuuzi kwa nusu karne nyingine. Haya ni ya kukemea!

#Tano ni hoja kwamba mafanikio ya kufikia uchumi wa kati sio ya JPM kwani watangulizi wake walifanya pakubwa.

Hoja hii ina mapungufu ya aina mbili, kwanza kumekuwa na hoja kwa muda mrefu binafsi nakubaliana nayo;

kwamba nchi yetu ilichelewa sana kwani nchi tulizokuwa sambamba nazo kiuchumi hadi kufikia miaka ya 1990, nchi kama vietnam ( ilikuwa na uchumi wa $6.5bn sisi 4.5bn mwaka 1990- kwa ripoti za Bank ya dunia), leo zimeshatupita zaidi ya mara nne( Vietnam $260bn wakati Tanzania $63bn).

Takwimu hizi zinathibitisha kwamba tulikotoka hatukufanya vema. Mimi ninaamini miongo kadhaa tulipoteza na ndio siri ya kuachwa.

Lakini nina amini kwamba kwa msukumo mkubwa tulionao sasa katika kujenga miundombinu ya uchukuzi na umeme, niwazi haitachukua miongo mingi kabla ya Taifa hili kucheza ligi moja na waliotuacha tulipozubaa.

Mapinduzi anayofanya JPM leo walianza kufanya wenzetu miaka 30 nyuma, sisi tulibaki na mawazo bila kuyatekeleza ndio siri ya kuachwa.

Sasa leo yanatekelezwa anakuja mtu na mawazo yaleyale ya kujenga uchumi kwa falsafa mchicha kama nilivoeleza hapo juu.

Mapungufu ya pili ya hoja hii ni wivu tu wakisiasa kama vile mtu aseme mfungaji fulani asingefunga kama beki asingeanzisha pasi ikaenda katikati ndipo akapewa na kisha kufunga.

Sipuuzi mchango wa awamu zilizotangulia lakini sioni kwanini kasi kubwa ya msukumo huu wa kulazimisha sasa!Mzee Mwinyi, Rais mstaafu alipata kusema kila zama na kitabu chake.

# Sita:mfano wa kutumia uamuzi wa kununua ndege 11 kwamba hauna tija kwenye uchumi ni ukosoaji uliokosa nguvu kwa muda mrefu. Nchi hii imezungumza kwa miongo kadhaa kuhusu haja ya kufufua sekta ya uchukuzi ikiwemo shirika la ndege,usafiri wa maji na reli.

Tafiti zimeonesha mara kadhaa kwamba kwa bahati ya nafasi ya Tanzania kijiografia, tukiwekeza kwenye sekta ya uchukuzi kikamilifu, mchango wake utakuwa mkubwa sana kuliko sekta yoyote ( Rejea Poverty & Human Development Report 2008).

Kamati ya Bunge ya Miundombinu, katika Bunge la 11 ambalo nilikuwemo, walitoa taarifa na kurudia mara kwa mara kwamba zaidi ya asilimia 60% ya pesa anayoitumia mtalii inaishia kwenye usafiri wa ndege.

Sote tunajua Utalii ni sekta kinara kwa fedha za kigeni nchini. Sote tunaelewa umuhimu wa fedha za kigeni kwa dunia ya kisasa iliyounganishwa (modern globalized world).

Kwa upekee wa nafasi ya Tanzania kijiografia Africa, maamuzi ya kufufua Shirika la ndege isingepaswa kuwa hoja ya kubishaniwa.

Pengine hoja ingekuwa tunalifufuaje. Kwa mfano uamuzi wa kukodi ndege mbovu kwa dola milioni43, ndege ambayo ilifanya kazi miezi 6 na miezi 37 ikawa gereji haikuwa mkakati sahihi (rejea CAG ripoti ya Aprili 2020).

Lakini mkakati wasasa wa JPM kutumia dola 32m kununua bombardier mpya , kiasi ambacho ni pungufu ya tulichotumia kukodi ndege mbovu huko tulikotoka, ni mkakati ambao kila mwenye mapenzi ya nchi hii ingetosha kupongeza na kukiri kwamba tumetoka mbali!

# Saba: Hoja kwamba Serikali ina uhaba wa mafanikio ndio sababu imefurahia taarifa ya Benki ya dunia kuipandisha Tanzania daraja kuingia kundi la uchumi wa kati ni upofu wenye msukumo wa kisiasa.

Serikali ya awamu ya tano inarekodi kubwa zisizobishaniwa ( undisputeble) kitaifa na kimataifa. Rekodi ambazo kila anaejua kinachoendelea duniani anazifahamu.

Rekodi za ndani kama kugharamia elimu bure, kuvunja rekodi ya mapato na mauzo ya nje sekta ya madini, rekodi ya kuongeza kusambaza umeme vijijini zaidi ya vijiji 7000 ndani ya miaka 5 ( 2015-2020) na kufikia vijiji 9300 kutoka vijiji 2018 mwaka 2015 ni rekodi.

Rekodi ya kuongeza usambazaji maji vijijini kutoka asilimia 47% mwaka 2015 mpaka asilimia71% ni rekodi.

Rekodi ya kujenga hospitali 10 za rufaa za mikoa, kuongeza fedha za dawa na vifaa tiba kwa zaidi ya asilimia 700% kutoka billioni 31 mwaka 2015 mpaka billioni 269 ni rekodi.

Kifupi kasi ya kupungua kwa umasikini wa huduma ni kubwa sana. Tulikotoka gharama za huduma za afya zilikuwa kubwa maradufu kwa sababu sehemu kubwa ya gharama ilihusu kuifikia huduma yenyewe kuliko gharama halisi ya huduma kutokana na umbali wa kufikia na zaidi upatikanaji dawa.

Iliwezekana kutumia elfu 80 kwajili ya usafiri , Malazi na chakula kuifuata huduma ambayo unailipia elfu20.

Natamani wachumi zaidi wafanye Tafiti eneo hili la namna umasikini wa huduma ulivyopungua kutokana na ukaribu wa vituo vya kutolea huduma na ongezeko la upatikanaji wa huduma yenyewe kwa maana ya dawa.

Ujenzi wa reli, Meli, Shirika la ndege, mradi mkubwa wa umeme sanjari na kuliondoa Shirika la Tanesco kwenye mikataba mibovu hata kulifanya lijitegemee zote ni rekodi.

Tanesco kwa miaka 30 ilikuwa jini nyonyadamu kwa uchumi wa Tanzania. Kuna wakati gharama za kuliendesha ililingana na Bajeti ya Zanzibar kwa mikataba ya 'kijangili'. Kufyekwa mikataba ya hovyo na udhibiti ni mapinduzi makubwa.

Sijui mtu anayesema Serikali hii inauhaba wa rekodi alitaka rekodi zipi zaidi ndani ya miaka5.

Hizi nimetaja chache tena za ndani , lakini kimataifa, JPM ameshatengeneza rekodi lukuki kama nilivyoeleza wiki iliyopita kwenye makala yangu ya JPM NA REKODI SABA KIMATAIFA.

# Nane. Nihitimishe kwakusema kwamba nchi hii bado inasukwa. Ndani ya miaka5 , JPM ameisuka pakubwa sana. A Kauli mbiu za kisiasa za "Kazi na Bata" hazitofautiani sana na mzaha wa Mzee Cheyo mwaka 1995 ya KUJAZA WATU MAPESA.

Tungeje Mkuu mwingine wa Mkoa aombe kwenda kutia nia kwenye Ubunge huenda "RAS" akawa "RC" wa Mkoa fulani
 
Back
Top Bottom