Nashukuru kwa kushindwa kunishawishi kubadili msimamo wanguKafulila na Mwakyembe wote ni Vilaza mbele ya watanzania walioamka, lakini CCM wachache wajinga wajinga kama nyinyi ndiyo mnaweza kukaa mkawasiliza Tumbili kafulila na Mwakyembe wake huko walipokaa wakatumia pesa za Umma kutengeneza Sinema za kijinga badala ya kuzitumia hizo pesa kuwasaidia watanzania wanaotaabika kwa shida nyingi.
ulitegemea waseme nini ""? wakati wao ndio wapigaji deal wenyew ..ndio maana nikasema kuwa wewe nitatizo"""Hata mawaziri wamemkosoa mwenyekiti wa PAC kwa kauli ake na kuzipuuza na kuendelea na utekelezaji.
Mkuu,hii ilipaswa kuwa mada(thread) inayojitegemea.Mwenyekiti PAC awakosoa mawaziri wa JPM
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Naghenjwa Kaboyoka
Kwa ufupi
Kaboyoka amesema hoja za CAG zinapaswa kujibiwa na maofisa masuhuli na kurudishwa tena kwa CAG.
By Fidelis Butahe, Mwananchi fbutahe@mwananchi.co.tz
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Naghenjwa Kaboyoka amesema si sahihi mawaziri kujibu taarifa ya ukaguzi ya CAG.
Akizungumza bungeni leo Aprili 16, bungeni, Kaboyoka amesema kilichofanyika sasa ni makosa kwa sababu ukaguzi huo umefanyika mwaka 2016/17.
Amesema kama ni ubadhirifu au matumizi mabaya ya fedha si sahihi waziri kueleza kuwa fedha zilizopotea zimeanza kulipwa, wakati ubadhirifu huo umefanyika mwaka 2016/17.
“Sasa leo tuhoji jambo moja, kama fedha hizo zimepotea hizi wanazoanza kulipa sasa wamezitoa wapi. Kama kulikuwa na cheni ya ulaji tutaijuaje. Hicho ndio kitu cha msingi. Hoja za CAG zinapaswa kujibiwa na maofisa masuhuli na kurudishwa tena kwa CAG ili ahakikishe kama kilichojibiwa ni sahihi,” amesema Kaboyoka.
Wiki iliyopita mawaziri waliitisha mkutano na wanahabari kujibu hoja zilizoibuliwa katika ripoti ya CAG.
Nabaki na msimamo wa hujanishawishi.ulitegemea waseme nini ""? wakati wao ndio wapigaji deal wenyew ..ndio maana nikasema kuwa wewe nitatizo"""
Kafulila kweli{ very difficult person}kwa sasa kachagua upande usio sahihi lakini yote ni njaa kali.asingeweza kumiliki lile toto cheupe kule mjengoni bila pesayule Tumbili nilisoma nae ni mtu anaehangaishwa sana na njaa anapenda kujitutumua aonekana.. ni wa kumdharau tu
Kiukweli vyama vimetuvuruga hadi inakera, kuna wakati yatupasa tusimame kama taifa. Kinachoshangaza wengi wanafikiri kuhoji ni kosa na ili kumsaidia Raisi yatupasa tusiwe wanafiki,tumshangilie pale panapotupasa kumshangilia na tukiona watendaji wake wameenda wrong ni vizuri kuhoji ili na yeye Mh aone wapi kuna shida ili arekebishe. Naamini sote nia yetu ni njema tu kwa mstakabari wa nchi, tatizo ni misimamo ya vyama hadi tunashindwa kujielewa kipi tushangilie na kipi tuhoji. Na kuhoji isieleweke kama ni kuzomea.Wonders shall never end! Mimi sio mchumi, ila sijaona HOJA HATA MOJA ALIYOJIBU KAFULILA. REPORTS ZA CAG Nazifahamu siku nyingi Enzi za Mzee Utoh, nimejifunza kuzisoma na kuzielewa, Sasa kwa akili kama yako,sitegemei uongee tofauti na ulichoongea. Hakuna jibu lolote KAFULILA alilotoa lililozima Hoja za Zitto! Tuache Uchama, tuwe objective kwenye vitu sensitive Kama hivi kwa sababu ndiyo maisha yetu, NI FEDHA ZETU! Tukianza kuweka ushabiki kisa Vyama vyetu Taifa hili litabaki hapa lilipo Karne na Karne! Change your attitude!