kafulila ni shujaa.anateswa na kile anachokiamini alichoamua kuwaambia viongozi wake kuwa wanakosea.
Hana ushujaa wowote. Yule kijana si mstaarabu,kiongozi gani hasiyejua yapi ya kusema,wapi na wakati gani? Kama ulisikiliza kauli ya nccr juu ya kulazimika kwao kumfukuza chama kafulila usingemwita shujaa. Nina mashaka na uelewa wako juu ya uendeshaji vyama. Migogoro ni kitu cha kawaida katika chama mara kwani inaonyesha hali ya kutofautiana juu ya jambo fulani,suala la kafulila ni ukosefu wa nidhamu tu, hivyo hafaiii, si wa kutetea.